We nae Abdu kiba mziki umekushinda unaongea nini hapa,toa nyimbo yako tuone [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]huku kutaka kutoa nyimbo kila siku ndio kuna mponza basi tu sababu mashabiki tusha kua kma misukule tuna jifanya nyimbo kali, usikiliza huo wimbo yaani ame unga unga nyimbo za watoto na Yope kanyaga kanyaga kwa mbali yaan vurugu tupu kati ya nyimbo mbovu alizo wahi kutoa hii ni top
Wimbo unasumbua kila kona ya afrika n maeneo ya dunia alafu mtu anakuja na uzi mbofu mbofu.‘...Magufuli baba lao... Makonda baba lao... Majaliwa Baba lao...Pohamba baba lao... dangote baba lao...’
UtukomeTeam Alikiba huwa Hanna tabia ya kujionyesha imekuwaje tena humu mmejazana?