Tetesi: Kilichomponza Diamond ni Sakata la ATCL

Tetesi: Kilichomponza Diamond ni Sakata la ATCL

Mkuu kama unaamini walichosema ATCL na kuona live ya Diamond ni uongo basi wewe ni mtu wa kuhurumiwa sana.

Ukweli ni kwamba, Diamond was right, na ATCL walichofanya ni damage control.

KIlichofanyika ni hivi, ATCL walikuwa wamebook abiria kuliko uwezo wa ndege. Sasa inapotokea hivyo, ATCL watachukua abiria walio -check in kwnza. Hata kama umefika airport ndani ya muda wa ku-check in, kwa kuwa kuna abiria waliozidi uwezo wa ndege, wale walio check in kwanza ndio watasafiri.

Kwa hiyo katika utetezi wao, ATCL WAMEDANGANYA UMMA kwa kusema Diamond alichelewa. Diamond alifika muda unaotakiwa bali kulikuwa na overbooking ya hiyo flight.
Tupe ushahidi kama kweli aliwahi airport?
 
Tupe ushahidi kama kweli aliwahi airport?
Mbona amekuambia, kwamba katika watu aliofika nao wakati mmoja airport kuna waliochukuliwa, pale walipoambiwa tuna nafasi za watu wawili tu kwenye kundi lenu?

Kukiwa na overbooking mnaweza mkawa watano mmefika wakati mmoja akaondoka mmoja tu kati yenu
 
Baraza la Sanaa la Taifa (Basata) limetangaza kumfungia msanii Diamond Platnumz na mwenzake Rayvanny kufanya maonesho yoyote ndani au nje ya nchi kwa muda usiofahamika. Si hivyo tu, bali pia wamelifutilia mbali Tamasha la Wasafi Festival ambalo limekuwa gumzo kubwa katika siku za hivi karibuni.

Sababu zinazotolewa na Basata, ambazo zina ushahidi wa wazi, ni kwamba msanii huyo amekiuka maelekezo aliyopewa na Basata, ya kuacha kuperform wimbo wa Nyegezi (Mwanza) uliofungiwa na Basata kwa kile kilichoelezwa kwamba ni kukiuka maadili ya Kitanzania.

Tukio la Diamond kupigwa pini na Basata, limekuja muda mfupi baada ya Mbongo Fleva huyo kusababisha hali ya sintofahamu katika Uwanja wa Ndege wa Mwanza baada ya video kusambaa kwenye mitandao ya kijamii, ikimuonesha 'bwa mdogo' huyo akiwatemea mbovu wafanyakazi wa uwanja huo, kwa kile alichodai kwamba wamemchezea rafu kwa kuuza tiketi alizozifanyia booking mapema na kusababisha ashindwe kusafiri kurejea Dar baada ya kumalizika kwa shoo yake jijini Mwanza.

Madai hayo yalililazimu shirika la ndege la ATCL kutoa tamko rasmi na kukanusha madai ya Diamond ambapo taarifa ilieleza kwamba hakuna aliyeuza tiketi yake isipokuwa yeye ndiye aliyefanya makosa kwa kuchelewa kufika uwanja wa ndege hivyo kwa mujibu wa kanuni na taratibu, alipoteza sifa za kusafiri na ndege hiyo hivyo kuomba kupangiwa siku iliyofuatia.

Kabla ya ATCL kutoa ufafanuzi huo, watu wengi waliotazama video hiyo, waliamini kwamba kweli ATCL wamefanya uzembe, wamepiga dili kwa kuuza tiketi ya Diamond na kundi lake kwa watu wengine, kwa lugha nyepesi Diamond aliwaaminisha watu kwamba ATCL si waaminifu kwa wateja wake na ndiyo maana wameuza tiketi ambazo zilishafanyiwa booking kwa watu wengine.

Ikumbukwe kwamba ATCL ni shirika la serikali na serikali ya awamu ya tano imewekeza nguvu kubwa kulihuisha shirika hilo lililokuwa mahututi kwa kununua ndege mpya na kulifanya sasa angalau liwe na uhai baada ya kudoda kwa muda miaka mingi. Tayari ndege tano zimeshafika nchini na zinafanya kazi na matarajio ni kuleta mashine kubwa zaidi, Airbus mapema mwezi huu.

Wakati serikali ikihangaika kuhakikisha ATCL inapata wateja wa uhakika na kujiendesha kwa faida, anatokea 'mwehu' mmoja na kuibua tuhuma ambazo zinawafanya wateja wapoteze imani na shirika hilo na hivyo kulikosesha wateja na mapato.

Diamond ambaye kwa heshima na taadhima, alialikwa wakati moja kati ya ndege hizo ikiwasili nchini, badala ya kuwa balozi wa kuwahimiza watu wengine watumie huduma za ATCL, yeye anahujumu kwa kuibua tuhuma za uongo zenye lengo la kuikosesha ATCL wateja na mapato.

Fyekelea mbali ili siku nyingine ajifunze kuwa na adabu na uzalendo! Siku zote serikali inaweza kuwa inajua kwamba unafanya makosa lakini kwa sababu hugusi maslahi yake, ikakuacha uendelee kukosea! Ndiyo, kwani Diamond ameanza kuidharau Basata leo kwa kuimba Nyegezi? Upo ushahidi wa mpaka video akiwa Zanzibar na kwingineko, alionekana akiwaimbisha mashabiki kijanja.

Kama ishu ingekuwa ni hiyo tu, Basata wangeweza kuweka pamba masikioni au kuitana kishkaji, Mngereza alikuwepo kwenye uzinduzi kule Mtwara, kwa hiyo kwao siyo adui tena bali mlezi, wangeweza kunena kwa lugha moja wakayamaliza ili kuepusha hasara ya mamilioni ambayo sasa ataipata kwa kufungiwa.

Diamond, man up! Don't mess with the government!
Kwani yule Konki master anasemaje??
 
Mbona amekuambia, kwamba katika watu aliofika nao wakati mmoja airport kuna waliochukuliwa, pale walipoambiwa tuna nafasi za watu wawili tu kwenye kundi lenu?

Kukiwa na overbooking mnaweza mkawa watano mmefika wakati mmoja akaondoka mmoja tu kati yenu
Labda ndiyo waliowahi una ushahidi walifika wote pamoja?
 
Baraza la Sanaa la Taifa (Basata) limetangaza kumfungia msanii Diamond Platnumz na mwenzake Rayvanny kufanya maonesho yoyote ndani au nje ya nchi kwa muda usiofahamika. Si hivyo tu, bali pia wamelifutilia mbali Tamasha la Wasafi Festival ambalo limekuwa gumzo kubwa katika siku za hivi karibuni.

Sababu zinazotolewa na Basata, ambazo zina ushahidi wa wazi, ni kwamba msanii huyo amekiuka maelekezo aliyopewa na Basata, ya kuacha kuperform wimbo wa Nyegezi (Mwanza) uliofungiwa na Basata kwa kile kilichoelezwa kwamba ni kukiuka maadili ya Kitanzania.

Tukio la Diamond kupigwa pini na Basata, limekuja muda mfupi baada ya Mbongo Fleva huyo kusababisha hali ya sintofahamu katika Uwanja wa Ndege wa Mwanza baada ya video kusambaa kwenye mitandao ya kijamii, ikimuonesha 'bwa mdogo' huyo akiwatemea mbovu wafanyakazi wa uwanja huo, kwa kile alichodai kwamba wamemchezea rafu kwa kuuza tiketi alizozifanyia booking mapema na kusababisha ashindwe kusafiri kurejea Dar baada ya kumalizika kwa shoo yake jijini Mwanza.

Madai hayo yalililazimu shirika la ndege la ATCL kutoa tamko rasmi na kukanusha madai ya Diamond ambapo taarifa ilieleza kwamba hakuna aliyeuza tiketi yake isipokuwa yeye ndiye aliyefanya makosa kwa kuchelewa kufika uwanja wa ndege hivyo kwa mujibu wa kanuni na taratibu, alipoteza sifa za kusafiri na ndege hiyo hivyo kuomba kupangiwa siku iliyofuatia.

Kabla ya ATCL kutoa ufafanuzi huo, watu wengi waliotazama video hiyo, waliamini kwamba kweli ATCL wamefanya uzembe, wamepiga dili kwa kuuza tiketi ya Diamond na kundi lake kwa watu wengine, kwa lugha nyepesi Diamond aliwaaminisha watu kwamba ATCL si waaminifu kwa wateja wake na ndiyo maana wameuza tiketi ambazo zilishafanyiwa booking kwa watu wengine.

Ikumbukwe kwamba ATCL ni shirika la serikali na serikali ya awamu ya tano imewekeza nguvu kubwa kulihuisha shirika hilo lililokuwa mahututi kwa kununua ndege mpya na kulifanya sasa angalau liwe na uhai baada ya kudoda kwa muda miaka mingi. Tayari ndege tano zimeshafika nchini na zinafanya kazi na matarajio ni kuleta mashine kubwa zaidi, Airbus mapema mwezi huu.

Wakati serikali ikihangaika kuhakikisha ATCL inapata wateja wa uhakika na kujiendesha kwa faida, anatokea 'mwehu' mmoja na kuibua tuhuma ambazo zinawafanya wateja wapoteze imani na shirika hilo na hivyo kulikosesha wateja na mapato.

Diamond ambaye kwa heshima na taadhima, alialikwa wakati moja kati ya ndege hizo ikiwasili nchini, badala ya kuwa balozi wa kuwahimiza watu wengine watumie huduma za ATCL, yeye anahujumu kwa kuibua tuhuma za uongo zenye lengo la kuikosesha ATCL wateja na mapato.

Fyekelea mbali ili siku nyingine ajifunze kuwa na adabu na uzalendo! Siku zote serikali inaweza kuwa inajua kwamba unafanya makosa lakini kwa sababu hugusi maslahi yake, ikakuacha uendelee kukosea! Ndiyo, kwani Diamond ameanza kuidharau Basata leo kwa kuimba Nyegezi? Upo ushahidi wa mpaka video akiwa Zanzibar na kwingineko, alionekana akiwaimbisha mashabiki kijanja.

Kama ishu ingekuwa ni hiyo tu, Basata wangeweza kuweka pamba masikioni au kuitana kishkaji, Mngereza alikuwepo kwenye uzinduzi kule Mtwara, kwa hiyo kwao siyo adui tena bali mlezi, wangeweza kunena kwa lugha moja wakayamaliza ili kuepusha hasara ya mamilioni ambayo sasa ataipata kwa kufungiwa.

Diamond, man up! Don't mess with the government!
Kaisha ota mapembe huyo.......kakua.
 
Natamani ungemuelewa walau kidogo mleta mada ..ingekusaidia sana .

.. Iwe tickets za wcb ziliuzwa kwa watu wengine au wcb walichelewa Ujinga alioufanya domo nikuipaka kinyesi taasisi nyeti ya serikali " kisha akakipost kinyesi chake kwenye mitandao ya kijamii ... huu ni uzwazwa mkubwa Sana ambao unapaswa kukemewa " diamond alipaswa kuwasilisha malalamiko yake katika uongozi wa ATCL ama kwenda kufungua kesi na kudai fidia .. nasio kufanya upuuzi alioufanya " ambao unapelekea kuchafua brand ya ATCL kibiashara " ... diamond ni kioo cha jamii anafuatiliwa na watu wengi inapotokea akawa na conflict na taasisi nyeti kama ATCL ni rahisi " sana kuifanya tasnia hiyo isiaminike pia itaingia hasara kwakukosa wateja " .... diamond akiwa kama icon alipaswa " kuweka uzalendo mbele nakuficha madhaifu ya ATCL asiyaonyeshe kwenye public..
.
.kisha angefuata protocol ambayo ilikuwa ni kwenda kufikisha malalamiko yake ama maoni katika uongozi husika " ..... so ule alioufanya ni ujinga " unaoweza kuligharimu shirika na kulifilisi " pia amechangia kutaka kuwavunja moyo " wafanya kazi wote wa ATCL na Raisi wa nchi ambao wamekuwa wakitumia ma billions ya fedha kuhakikisha kwamba " taasisi hii ya usafiri wa anga inaleta matumaini upya nchini na kulipatia taifa faida

Mwambieni huyo jamaa Yenu apunguze misifa itamuharibia Maisha yake


Natumai huo ni mwanzo tu " kuna vikwazo vingi toka serikalini ambavyo sio vya kupendeza " vinavyo mfuata.
Mkuu mimi nimekuelewa na umeandika kitu nilichotaka kuandika.

Kuna mambo Diamond anafanya ninasema labda ni sababu ya kutokusoma lakini hapana wapo wasiosoma na wanaweza kuchambua baya na zuri.

Watu wanakosewa sana kwenye taasisi mbali mbali ukipeleka malalamika tena kwa mtu maarufu kama yeye lazima a ange respond na ku apologise sio kuliharibia shirika la umma wakati serikali ndio inapambana kuliweka sehemu nzuri.

Tena Diamond aombe BASATa iwe imeamua yenyewe lakini kama ndio wameelekezwa kutoka juu basi mengi yatamuandama na hakuna wa kupambana na mamlaka.
 
Mkuu mimi nimekuelewa na umeandika kitu nilichotaka kuandika.

Kuna mambo Diamond anafanya ninasema labda ni sababu ya kutokusoma lakini hapana wapo wasiosoma na wanaweza kuchambua baya na zuri.

Watu wanakosewa sana kwenye taasisi mbali mbali ukipeleka malalamika tena kwa mtu maarufu kama yeye lazima a ange respond na ku apologise sio kuliharibia shirika la umma wakati serikali ndio inapambana kuliweka sehemu nzuri.

Tena Diamond aombe BASATa iwe imeamua yenyewe lakini kama ndio wameelekezwa kutoka juu basi mengi yatamuandama na hakuna wa kupambana na mamlaka.
Ahsante mkuu " nifuraha sana " kuona unaongea jambo halafu watu wakalipokea kwa mapokeo chanya " inatia hamasa sana yakujifunza zaidi .. ubarikiwe
 
Baraza la Sanaa la Taifa (Basata) limetangaza kumfungia msanii Diamond Platnumz na mwenzake Rayvanny kufanya maonesho yoyote ndani au nje ya nchi kwa muda usiofahamika. Si hivyo tu, bali pia wamelifutilia mbali Tamasha la Wasafi Festival ambalo limekuwa gumzo kubwa katika siku za hivi karibuni.

Sababu zinazotolewa na Basata, ambazo zina ushahidi wa wazi, ni kwamba msanii huyo amekiuka maelekezo aliyopewa na Basata, ya kuacha kuperform wimbo wa Nyegezi (Mwanza) uliofungiwa na Basata kwa kile kilichoelezwa kwamba ni kukiuka maadili ya Kitanzania.

Tukio la Diamond kupigwa pini na Basata, limekuja muda mfupi baada ya Mbongo Fleva huyo kusababisha hali ya sintofahamu katika Uwanja wa Ndege wa Mwanza baada ya video kusambaa kwenye mitandao ya kijamii, ikimuonesha 'bwa mdogo' huyo akiwatemea mbovu wafanyakazi wa uwanja huo, kwa kile alichodai kwamba wamemchezea rafu kwa kuuza tiketi alizozifanyia booking mapema na kusababisha ashindwe kusafiri kurejea Dar baada ya kumalizika kwa shoo yake jijini Mwanza.

Madai hayo yalililazimu shirika la ndege la ATCL kutoa tamko rasmi na kukanusha madai ya Diamond ambapo taarifa ilieleza kwamba hakuna aliyeuza tiketi yake isipokuwa yeye ndiye aliyefanya makosa kwa kuchelewa kufika uwanja wa ndege hivyo kwa mujibu wa kanuni na taratibu, alipoteza sifa za kusafiri na ndege hiyo hivyo kuomba kupangiwa siku iliyofuatia.

Kabla ya ATCL kutoa ufafanuzi huo, watu wengi waliotazama video hiyo, waliamini kwamba kweli ATCL wamefanya uzembe, wamepiga dili kwa kuuza tiketi ya Diamond na kundi lake kwa watu wengine, kwa lugha nyepesi Diamond aliwaaminisha watu kwamba ATCL si waaminifu kwa wateja wake na ndiyo maana wameuza tiketi ambazo zilishafanyiwa booking kwa watu wengine.

Ikumbukwe kwamba ATCL ni shirika la serikali na serikali ya awamu ya tano imewekeza nguvu kubwa kulihuisha shirika hilo lililokuwa mahututi kwa kununua ndege mpya na kulifanya sasa angalau liwe na uhai baada ya kudoda kwa muda miaka mingi. Tayari ndege tano zimeshafika nchini na zinafanya kazi na matarajio ni kuleta mashine kubwa zaidi, Airbus mapema mwezi huu.

Wakati serikali ikihangaika kuhakikisha ATCL inapata wateja wa uhakika na kujiendesha kwa faida, anatokea 'mwehu' mmoja na kuibua tuhuma ambazo zinawafanya wateja wapoteze imani na shirika hilo na hivyo kulikosesha wateja na mapato.

Diamond ambaye kwa heshima na taadhima, alialikwa wakati moja kati ya ndege hizo ikiwasili nchini, badala ya kuwa balozi wa kuwahimiza watu wengine watumie huduma za ATCL, yeye anahujumu kwa kuibua tuhuma za uongo zenye lengo la kuikosesha ATCL wateja na mapato.

Fyekelea mbali ili siku nyingine ajifunze kuwa na adabu na uzalendo! Siku zote serikali inaweza kuwa inajua kwamba unafanya makosa lakini kwa sababu hugusi maslahi yake, ikakuacha uendelee kukosea! Ndiyo, kwani Diamond ameanza kuidharau Basata leo kwa kuimba Nyegezi? Upo ushahidi wa mpaka video akiwa Zanzibar na kwingineko, alionekana akiwaimbisha mashabiki kijanja.

Kama ishu ingekuwa ni hiyo tu, Basata wangeweza kuweka pamba masikioni au kuitana kishkaji, Mngereza alikuwepo kwenye uzinduzi kule Mtwara, kwa hiyo kwao siyo adui tena bali mlezi, wangeweza kunena kwa lugha moja wakayamaliza ili kuepusha hasara ya mamilioni ambayo sasa ataipata kwa kufungiwa.

Diamond, man up! Don't mess with the government!
Kwa hiyo Atcl ukifanya booking ukalipa unawai kuzibiti siti kwa kuwai kufika!!!.so akuna tofauti na mabasi?
 
Siko hapa kuongelea usanii wa Diamond na kufungiwa kwake kwa sababu mimi sio mdau wa miziki ya duniani BALI nataka niiongelee ATCL ambayo imetajwa kwenye mada hii.

Hakuna mtu/kitu kisichokuwa na mapungufu; Kwa hiyo yapo pia mapungufu kadhaa kwa ATCL, LAKINI hayo mapungufu hayawezi kuondoa MAZURI mengi waliyoyaonyesha tangu uhuishaji wa shirika uanze.

Kwa mfano;

1. Nauli rafiki - Last time nilipanda ATCL (Dar - Mza) kwa Tshs. 254K kwenda na kurudi tena ile Dreamliner. Fastjet waliniambia nitoe 365K, wakati Precision Air is even more expensive.

2. Wahudumu wa ATCL (wa ndani ya ndege) - Walikuwa rafiki na walionyesha ushirikiano. Changamoto iko kwa watumishi wa mamlaka ya ndege kwa ujumla (sio wote), na taasisi zingine pale (sihitaji kuzitaja) ambao huwa na lugha za hovyo.

Ila, ukiongelea wahudumu wa ATCL as ATCL hasa wale wa ndani ya ndege niliwapenda sana kwa huduma zao, japo wapo watumishi wasio na huduma nzuri hasa wale wa ukatishaji tiketi/check in (sio wote) na wajirekebishe.

3. Huduma kwa wateja - Hata, nilipopiga ile namba yao ya customer care walirespond vyema na kunipa majibu ya maswali niliyowauliza.

4. Muda wa kusafiri - Muda wa kusafiri umepungua hadi dak. 65 kwa ndege kubwa (Dar - Mza) ... Yaani hata usiku naweza kusafiri kwa sasa nikiamini nitafika.

Changamoto kadhaa zipo, ambazo huyakumbuka mashirika mengine duniani kama vile kuchelewa kuondoka/kufika kutegemeana na issue fulani.

Ila kwa ujumla naona ATCL ime IMPROVE sana, na tusiwavunje moyo bali tuwasapoti. Kosa la mtu mmoja/kikundi lisiwe sababu ya kulisulubisha shirika zima.

MUNGU IBARIKI TANZANIA.
 
Back
Top Bottom