Tetesi: Kilichomponza Diamond ni Sakata la ATCL

Tetesi: Kilichomponza Diamond ni Sakata la ATCL

Mkuu kama unaamini walichosema ATCL na kuona live ya Diamond ni uongo basi wewe ni mtu wa kuhurumiwa sana.

Ukweli ni kwamba, Diamond was right, na ATCL walichofanya ni damage control.

KIlichofanyika ni hivi, ATCL walikuwa wamebook abiria kuliko uwezo wa ndege. Sasa inapotokea hivyo, ATCL watachukua abiria walio -check in kwnza. Hata kama umefika airport ndani ya muda wa ku-check in, kwa kuwa kuna abiria waliozidi uwezo wa ndege, wale walio check in kwanza ndio watasafiri.

Kwa hiyo katika utetezi wao, ATCL WAMEDANGANYA UMMA kwa kusema Diamond alichelewa. Diamond alifika muda unaotakiwa bali kulikuwa na overbooking ya hiyo flight.
Tatizo kubwa ni kwamba wengi mnaochangia hapa kama wewe mnachangia kama wasafiri wa labda mabasi au wasafiri wa humu humu nchini.
Jiulize; Hivi wajua kuwa safari za ndege huhusiana kote ulimwenguni?? Kwa vipi? Kama nina safari kutoka Mza kwenda Jberg, naweza fanya booking yangu nikasafiri bila kulala Dar na nikaenda kulala home Jberg siku hiyo hiyo??
Sasa ndio maana unaambiwa, Fika even 2 hrs before departure time. Hii inakusaidia na pia inawasaidia wasafirishaji wanaokusafirisha kurekebisha mambo kama kweli walizidiwa na abiria.
Kivipi; Wakiona kuna msongamano au wamezidiwa wanafanya mpango kukodi ndege nyingine iliyopo jirani ili kukuwahisha dar chini ya nusu saa 7a muda uliokuwa umepangiwa kuingia. Unafika unaendelea na safari yako in time.
Mnaposema Mondi kaonewa, hakufanyiwa haki, Je, kuchelewa kwake ati nusu saa kabla ya departure time ndio kuiharibie sifa ATCL kwa sababu ya "Ujuha wake?"
Next time, akodi bus au ndege yake binafsi
 
Natamani ungemuelewa walau kidogo mleta mada ..ingekusaidia sana .

.. Iwe tickets za wcb ziliuzwa kwa watu wengine au wcb walichelewa Ujinga alioufanya domo nikuipaka kinyesi taasisi nyeti ya serikali " kisha akakipost kinyesi chake kwenye mitandao ya kijamii ... huu ni uzwazwa mkubwa Sana ambao unapaswa kukemewa " diamond alipaswa kuwasilisha malalamiko yake katika uongozi wa ATCL ama kwenda kufungua kesi na kudai fidia .. nasio kufanya upuuzi alioufanya " ambao unapelekea kuchafua brand ya ATCL kibiashara " ... diamond ni kioo cha jamii anafuatiliwa na watu wengi inapotokea akawa na conflict na taasisi nyeti kama ATCL ni rahisi " sana kuifanya tasnia hiyo isiaminike pia itaingia hasara kwakukosa wateja " .... diamond akiwa kama icon alipaswa " kuweka uzalendo mbele nakuficha madhaifu ya ATCL asiyaonyeshe kwenye public..
.
.kisha angefuata protocol ambayo ilikuwa ni kwenda kufikisha malalamiko yake ama maoni katika uongozi husika " ..... so ule alioufanya ni ujinga " unaoweza kuligharimu shirika na kulifilisi " pia amechangia kutaka kuwavunja moyo " wafanya kazi wote wa ATCL na Raisi wa nchi ambao wamekuwa wakitumia ma billions ya fedha kuhakikisha kwamba " taasisi hii ya usafiri wa anga inaleta matumaini upya nchini na kulipatia taifa faida

Mwambieni huyo jamaa Yenu apunguze misifa itamuharibia Maisha yake


Natumai huo ni mwanzo tu " kuna vikwazo vingi toka serikalini ambavyo sio vya kupendeza " vinavyo mfuata.

Chief kwanza nikupongeze kwa hiki ulichokiandika. Pili ni kwamba watanzania wengi hawajui impact aliyokuwa nayo msanii hasa kwenye masuala ya biashara, Diamond ni msanii Mkubwa na ana influence kubwa kwa jamii. Kitendo alichofanya cha kupost video na kauli alizozitoa kina athari kubwa kwa Taasisi husika katika kupata abiria na kuongeza pato la uendeshaji wa huduma za taasisi hiyo. Diamond inabidi awe mfano kwa wasanii wengine katika kuheshimu biashara za watu binafsi na hata za taasisi za kiserikali.



Ningekuwepo pale airport ningemwambia Diamond... "GERARA HERE"
 
Huyu mwana muziki Diamond anaharibu sana MAADILI ya vijana wa kitanzania asipo dhibitiwa zaidi ya hapo atateketeza kizazi chetu.
Msanii bora ktk jamii yake anapaswa kuwa mfano mzuri kwa maadili sio kama anavyo fanya huyu dimondi na wenzake wanachafua maadili yetu
Kakutongozea mamaako au ?
 
Hii yako ya kumfungia maisha umeisoma wapi? 😂😂😂. Jamani hata kiswahili nacho hatuelewi.sasa sisi waswahili itumike lugha gani tuweze elewa? Basata wamemfungia diamond maisha? Imeandikwa wapi?

Ila hao ATCL wabadilike hyo tabia yao mbovu kumfungia diamond maisha ni adhabu kubwa kuliko maelezo.
 
Mimi ningekuwa daimond ningehama nchi na ningebadili uraia,mbona wakati anauza mitumba basata hawakumsumbua?yani tuna baraza la kufungia nyimbo peke yake.
 
Hii yako ya kumfungia maisha umeisoma wapi? [emoji23][emoji23][emoji23]. Jamani hata kiswahili nacho hatuelewi.sasa sisi waswahili itumike lugha gani tuweze elewa? Basata wamemfungia diamond maisha? Imeandikwa wapi?
Wewe ndo hujaelewa Hilo tamko. Kafungiwa kwa kipindi kisichojulikana hawajawa specific.
 
Mimi ningekuwa daimond ningehama nchi na ningebadili uraia,mbona wakati anauza mitumba basata hawakumsumbua?yani tuna baraza la kufungia nyimbo peke yake.
Mkuu baraza limemfungia kufanya onyesho na wala halikumfungia kutoa nyimbo.

Barua imesema "KUTOFANYA ONYESHO LOLOTEEE"

NA HAIKUSEMA "KUTOFANYA MZIKI WOWOTE"

Kwa hyo nadhani hawakufungiwa kufanya nyimbo.
 
Chief kwanza nikupongeze kwa hiki ulichokiandika. Pili ni kwamba watanzania wengi hawajui impact aliyokuwa nayo msanii hasa kwenye masuala ya biashara, Diamond ni msanii Mkubwa na ana influence kubwa kwa jamii. Kitendo alichofanya cha kupost video na kauli alizozitoa kina athari kubwa kwa Taasisi husika katika kupata abiria na kuongeza pato la uendeshaji wa huduma za taasisi hiyo. Diamond inabidi awe mfano kwa wasanii wengine katika kuheshimu biashara za watu binafsi na hata za taasisi za kiserikali.



Ningekuwepo pale airport ningemwambia Diamond... "GERARA HERE"
Ahsante mkuu " umenibariki Mnoo
 
Heeeh... Yaani bado unasisitiza kuwa ATCL wamemfungia diamond maisha?😂😂😂 Kwanza lazima uelewe waliomfungia si ATCL ni Basata.

Pili HAWAJAMFUNGIA MAISHA. NI KWA MUDA USIOJULIKANA. AMBAO INAWEZA HATA KUWA SIKU TANO KAMA HUELEWI.

kwa nini watanzania wengi hawaelewi kiswahili au wanashindwa kuelewa kilichoandikwa ?


Wewe ndo hujaelewa Hilo tamko. Kafungiwa kwa kipindi kisichojulikana hawajawa specific.
 
Nilivyoisoma post yako nikakumbuka kuwa Tanzania inaongoza kwa unafiki duniani ikabidi nutulie tu.

Natamani ungemuelewa walau kidogo mleta mada ..ingekusaidia sana .

.. Iwe tickets za wcb ziliuzwa kwa watu wengine au wcb walichelewa Ujinga alioufanya domo nikuipaka kinyesi taasisi nyeti ya serikali " kisha akakipost kinyesi chake kwenye mitandao ya kijamii ... huu ni uzwazwa mkubwa Sana ambao unapaswa kukemewa " diamond alipaswa kuwasilisha malalamiko yake katika uongozi wa ATCL ama kwenda kufungua kesi na kudai fidia .. nasio kufanya upuuzi alioufanya " ambao unapelekea kuchafua brand ya ATCL kibiashara " ... diamond ni kioo cha jamii anafuatiliwa na watu wengi inapotokea akawa na conflict na taasisi nyeti kama ATCL ni rahisi " sana kuifanya tasnia hiyo isiaminike pia itaingia hasara kwakukosa wateja " .... diamond akiwa kama icon alipaswa " kuweka uzalendo mbele nakuficha madhaifu ya ATCL asiyaonyeshe kwenye public..
.
.kisha angefuata protocol ambayo ilikuwa ni kwenda kufikisha malalamiko yake ama maoni katika uongozi husika " ..... so ule alioufanya ni ujinga " unaoweza kuligharimu shirika na kulifilisi " pia amechangia kutaka kuwavunja moyo " wafanya kazi wote wa ATCL na Raisi wa nchi ambao wamekuwa wakitumia ma billions ya fedha kuhakikisha kwamba " taasisi hii ya usafiri wa anga inaleta matumaini upya nchini na kulipatia taifa faida

Mwambieni huyo jamaa Yenu apunguze misifa itamuharibia Maisha yake


Natumai huo ni mwanzo tu " kuna vikwazo vingi toka serikalini ambavyo sio vya kupendeza " vinavyo mfuata.
 
Heeeh... Yaani bado unasisitiza kuwa ATCL wamemfungia diamond maisha?😂😂😂 Kwanza lazima uelewe waliomfungia si ATCL ni Basata.

Pili HAWAJAMFUNGIA MAISHA. NI KWA MUDA USIOJULIKANA. AMBAO INAWEZA HATA KUWA SIKU TANO KAMA HUELEWI.

kwa nini watanzania wengi hawaelewi kiswahili au wanashindwa kuelewa kilichoandikwa ?
Atcl VS DIAMOND

VITU VIWILI TOFAUTI SIJUI WAKATI ANAANDIKA ALIKUWA AMEJAZA KVANT +SERENGETI LAGER NDOGO
 
Sawa mkuu mimi kiswahili ni lugha ya nne so mie sie mswahili ni lugha inayonisumbua
Heeeh... Yaani bado unasisitiza kuwa ATCL wamemfungia diamond maisha?[emoji23][emoji23][emoji23] Kwanza lazima uelewe waliomfungia si ATCL ni Basata.

Pili HAWAJAMFUNGIA MAISHA. NI KWA MUDA USIOJULIKANA. AMBAO INAWEZA HATA KUWA SIKU TANO KAMA HUELEWI.

kwa nini watanzania wengi hawaelewi kiswahili au wanashindwa kuelewa kilichoandikwa ?
 
Back
Top Bottom