Kilichomponza Makonda ndicho hicho kingemponza Magufuli

I
NI KWELI MKUU ULIMI NDIO UNAOPIMA ALICHONACHO MTU NAFSINI MWAKE THAT WHY BIBLE INASEMA KIMWINGIACHO MTU HAKIMTII MTU UNAJISI BALI KIMTOKACHO NDICHO KIMTIACHO UNAJISI KWA MAANA HIYO HATA WATU WAKUSEME VIPI KAMWE MANENO YAO HAYAWEZI KUKUTIA UNAJISI ILA UNAJISI HULETWA NA MANENO YAMTOKAYO MTU TOKA MOYONI MWAKE NA KIUNGO KITUMIKACHO NI ULIMI,MFANO GWAJIMA HATA WATU WANGEMSEMA VIP WASINGEWEZA KUMTIA UNAJISI TATIZO NI MANENO YAKE NDIYO YAMEMCHAFUA (UNAJISI)
 
Nimegundua kushindwa kwa Makonda UK mkono wa ACT. Hivyo tu. Kilicho lengwa na kupimwa hapo ni umadhubuti wa JPM na maamuzi yake
 
Hawa acha wapambane na albadili zao wanavuna walichopanda. Ukipanda miba uvune vipi mahindi
 
Na kinaweza kumkuta mama misambano
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…