Kenya 2022 Kilichomponza Raila ni urafiki na ufuasi wake wa sera za Hayati Magufuli, Chato Dynasty waangua kilio, walitarajia awape support 2025

Kenya 2022 Kilichomponza Raila ni urafiki na ufuasi wake wa sera za Hayati Magufuli, Chato Dynasty waangua kilio, walitarajia awape support 2025

Kenya 2022 General Election

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
William Samoei Rutto ameshinda urais. Ushindi wake ni pigo kubwa kwa Chato Dynasty ambao walidhani kwamba Raila angeshinda, basi angetoa support kwa mtu ambaye angegombea urais kwa kundi la JPM hapa Tanzania.

Nadhani mfumo nchini Kenya, baada ya kuona Raila yuko karibu sana na JPM, waliona maslahi ya Kenya yako hatarini, akaundiwa HANDSHAKE ili wamteke arudi Kenya. Mission ikatiki.

Piga picha JPM angekuwa Raisi kipindi hiki! Nadhani angemwaga Kila aina ya msaada kwa Jadong, jambo ambalo lingeingiza nchi zetu katika uhasama.

Sasa Ile mizizi ya mwendazake inafyekwa kitaalamu kabisa. Kenya iko salama, Tanzania iko salama.

Bila shaka Tanzania itakuwa imejaribu ku-influence kidogo Siasa za Kenya kuhakikisha mizizi ya mwenda inachimbuliwa kokote iliko
 
Ungejua kwamba aliyeangukia pua ni Utawala wa sasa wala usingesema, Uhuru Kenyata ndo patron wa chadema akina Tundu lisu pamoja na raisi wao, harakati zao zote zilianzia Kenya na Uhuru aliwasapoti sana, hivyo Raila alishangiliwa na kusapotiwa sana na utawala wenu uliopo, hivyo ni pigo kwa utawala sasa.

Ruto hajui Tanzania wala hana mpango na Tanzania kwanza Utawala wa sasa umetesa ndugu zake Ruto ambao ni Wamasai.

Kwa hiyo kama kuna pigo lolote basi ni kwa akina Tundu Lisu na raisi wao/wenu.

Kwa kifupi laana imeenza kuwatafuna imeanzia kwa patron wenu Kenyata na itavuka mipaka kuwafwata hapa Bongo, hamta toboa, jiandaeni kabisa!
 
Ungejua kwamba aliyeangukia pua ni Utawala wa sasa wala usingesema, Uhuru Kenyata ndo patron wa chadema akina Tundu lisu pamoja na raisi wao, harakati zao zote zilianzia Kenya na Uhuru aliwasapoti sana, hivyo Raila alishangiliwa na kusapotiwa sana na utawala wenu uliopo, hivyo ni pigo kwa utawala sasa.

Ruto hajui Tanzania wala hana mpango na Tanzania kwanza Samia katesa ndugu zake Ruto ambao ni Wamasai.

Kwa hiyo kama kuna pigo lolote basi ni kwa akina Tundu Lisu na raisi wao(nu)!
Kichwa unatumia kubebea meno? RUTO ni mmasai?
 
Ungejua kwamba aliyeangukia pua ni Utawala wa sasa wala usingesema, Uhuru Kenyata ndo patron wa chadema akina Tundu lisu pamoja na raisi wao, harakati zao zote zilianzia Kenya na Uhuru aliwasapoti sana, hivyo Raila alishangiliwa na kusapotiwa sana na utawala wenu uliopo, hivyo ni pigo kwa utawala sasa.

Ruto hajui Tanzania wala hana mpango na Tanzania kwanza Utawala wa sasa umetesa ndugu zake Ruto ambao ni Wamasai.

Kwa hiyo kama kuna pigo lolote basi ni kwa akina Tundu Lisu na raisi wao/wenu.

Kwa kifupi laana imeenza kuwatafuna imeanzia kwa patron wenu Kenyata na itavuka mipaka kuwafwata hapa Bongo, hamta toboa, jiandaeni kabisa!
Bado hujaelewa kitu kinaitwa HANDSHAKE

Jiongeze handshake ilikua nn
 
William Samoei Rutto ameshinda urais. Ushindi wake ni pigo kubwa kwa Chato Dynasty ambao walidhani kwamba Raila angeshinda, basi angetoa support kwa mtu ambaye angegombea urais kwa kundi la JPM hapa Tanzania.

Nadhani mfumo nchini Kenya, baada ya kuona Raila Yuko karibu sana na JPM, waliona maslahi ya Kenya yako hatarini, akaundiwa HANDSHAKE ili wamteke arudi Kenya. Mission ikatiki.

Piga picha JPM angekuwa Raisi kipindi hiki! Nadhani angemwaga Kila aina ya msaada kwa Jadong, jambo ambalo lingeingiza nchi zetu katika uhasama.

Sasa Ile mizizi ya mwendazake inafyekwa kitaalamu kabisa. Kenya iko salama, Tanzania iko salama.
Hofu ni gonjwa baya sana kuliko ugonjwa wenyewe. Unamuogopa mtu hata katika kutokuwepo kwake? kweli heroes rest in power.
 
Ungejua kwamba aliyeangukia pua ni Utawala wa sasa wala usingesema, Uhuru Kenyata ndo patron wa chadema akina Tundu lisu pamoja na raisi wao, harakati zao zote zilianzia Kenya na Uhuru aliwasapoti sana, hivyo Raila alishangiliwa na kusapotiwa sana na utawala wenu uliopo, hivyo ni pigo kwa utawala sasa.

Ruto hajui Tanzania wala hana mpango na Tanzania kwanza Utawala wa sasa umetesa ndugu zake Ruto ambao ni Wamasai.

Kwa hiyo kama kuna pigo lolote basi ni kwa akina Tundu Lisu na raisi wao/wenu.

Kwa kifupi laana imeenza kuwatafuna imeanzia kwa patron wenu Kenyata na itavuka mipaka kuwafwata hapa Bongo, hamta toboa, jiandaeni kabisa!
Hivi kumbe Ruto ni mmasai halafu mmetuficha?
 
"TANZANIA KUNA VIWANDA VYA UONGO" by Jakaya Mrisho Kikwete a.k.a Born Town
Ni kweli mkuu, awamu ya tano viwanda vingi wanavyosema walijenga, ilikuwa ni uongo, angalia hata mkoani kwako kama utaona kiwanda chochote
 
Bado mnapambana na marehemu baada ya mwaka sasa unaenda wapili kweli magufuli alikua simba wa Serengeti
 
Back
Top Bottom