Wajinga design hiyo mbona wengi? Kwani Odinga kagombea mara ngapi na kote huko anashindwa?Inamaana watu wa Kenya hawajamchagua odinga kisa urafiki wake na JPM?
We jamaa kiwango chako cha ujinga kimevuka ukomo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wajinga design hiyo mbona wengi? Kwani Odinga kagombea mara ngapi na kote huko anashindwa?Inamaana watu wa Kenya hawajamchagua odinga kisa urafiki wake na JPM?
We jamaa kiwango chako cha ujinga kimevuka ukomo.
Hizo zinafanyika jitihada za kufuta legacy ya Magufuli. Je kutakuwa na mafanikiyo?Bado mnapambana na marehemu baada ya mwaka sasa unaenda wapili kweli magufuli alikua simba wa Serengeti
TZ ilitangazwa na WB kuwepo uchumi wa kati. Nasikia hao hao WB wametuporomosha sasa tumerudi wa chini.Ni kweli mkuu, awamu ya tano viwanda vingi wanavyosema walijenga, ilikuwa ni uongo, angalia hata mkoani kwako kama utaona kiwanda chochote
BT"TANZANIA KUNA VIWANDA VYA UONGO" by Jakaya Mrisho Kikwete a.k.a Born Town
Akili za vijana wa ufipa wanazijua wenyewe.Inamaana watu wa Kenya hawajamchagua odinga kisa urafiki wake na JPM?
We jamaa kiwango chako cha ujinga kimevuka ukomo.