bloggerboy
JF-Expert Member
- Nov 13, 2017
- 568
- 1,217
Alisemaje?HABARI,
kilichomtoa Msonde NECTA ni Kufaulisha sana,bila mpangilio, Rais agusia leo kwa kumwambia kimafumbo kamwacha palepale elimu akahkikishe vijana aliowafaulisha anawajengea uwezo kama sio kuwaajiri kabisa.
na imeonekana na hasara kwa serikali kufaulisha kisiasa,tutegemee matokeo ya kuanzia mwaka huu heshima ya div 0ne kurudi.
sio kama ilivyo leo,ukipata one heshima hakuna tena.
Kailetea hasara serikali ya tshs tri 14 mpaka sasa, kwa mantiki hiyo kachangia kwenye deni kubwa la taifa kwa hasara hiyoDarasa eti linapata division 1 point 7 lote
Hapo lazima kuna shida somewhere
Tuliwaambia kipindi cha jpm huu ujinga wa sant sijui nini kufaulisha wanafunzi wote ulipotea kabisa sasa umerudi tena kipindi cha mamaHABARI,
kilichomtoa Msonde NECTA ni Kufaulisha sana,bila mpangilio, Rais agusia leo kwa kumwambia kimafumbo kamwacha palepale elimu akahkikishe vijana aliowafaulisha anawajengea uwezo kama sio kuwaajiri kabisa.
na imeonekana na hasara kwa serikali kufaulisha kisiasa,tutegemee matokeo ya kuanzia mwaka huu heshima ya div 0ne kurudi.
sio kama ilivyo leo,ukipata one heshima hakuna tena.
Vijiti vya St. Francis vikipungua japo kwa 1% tegemea maafa kwa St. Kayumba huko.Duh kwa hyo vijiti vya St Francis girls tutegemee kupungua?
Vip zile shulezake pendwa za TWIBHOKI na GRAINIYAKI yule mama mmilik sijui simu zilikuwa haziish kwa msonde sjui walikuwa marafik?
Uzuri yupo sekta ya elimu tutegemee mabadiriko toka kwake n mtu mwenye maono pia
wewe una ugomvi na Msonde maana naona unakaza nyuzi kumhusu Msonde kila leo. Utadharaulika kwa trend hiiHABARI,
Kilichomtoa Msonde NECTA ni Kufaulisha sana, bila mpangilio, Rais agusia leo kwa kumwambia kimafumbo kamwacha palepale elimu akahakikishe vijana aliowafaulisha anawajengea uwezo kama sio kuwaajiri kabisa.
Na imeonekana na hasara kwa Serikali kufaulisha kisiasa, tutegemee matokeo ya kuanzia mwaka huu heshima ya div 0ne kurudi.
Sio kama ilivyo leo, ukipata one heshima hakuna tena.
Mtoa mada utakuwa na roho mbaya sana...HABARI,
Kilichomtoa Msonde NECTA ni Kufaulisha sana, bila mpangilio, Rais agusia leo kwa kumwambia kimafumbo kamwacha palepale elimu akahakikishe vijana aliowafaulisha anawajengea uwezo kama sio kuwaajiri kabisa.
Na imeonekana na hasara kwa Serikali kufaulisha kisiasa, tutegemee matokeo ya kuanzia mwaka huu heshima ya div 0ne kurudi.
Sio kama ilivyo leo, ukipata one heshima hakuna tena.
Mbona hata hakusema maneno hayo Maza, kamwambia aliyoyafanya NECTA akaongeze huko aendako ndo maana yupo sekta hyo hyoHABARI,
Kilichomtoa Msonde NECTA ni Kufaulisha sana, bila mpangilio, Rais agusia leo kwa kumwambia kimafumbo kamwacha palepale elimu akahakikishe vijana aliowafaulisha anawajengea uwezo kama sio kuwaajiri kabisa.
Na imeonekana na hasara kwa Serikali kufaulisha kisiasa, tutegemee matokeo ya kuanzia mwaka huu heshima ya div 0ne kurudi.
Sio kama ilivyo leo, ukipata one heshima hakuna tena.
HABARI,
Kilichomtoa Msonde NECTA ni Kufaulisha sana, bila mpangilio, Rais agusia leo kwa kumwambia kimafumbo kamwacha palepale elimu akahakikishe vijana aliowafaulisha anawajengea uwezo kama sio kuwaajiri kabisa.
Na imeonekana na hasara kwa Serikali kufaulisha kisiasa, tutegemee matokeo ya kuanzia mwaka huu heshima ya div 0ne kurudi.
Sio kama ilivyo leo, ukipata one heshima hakuna tena.
Mkuu, siku hizi humu JF kumejaa wajinga. Alichokiandika mleta mada wala hakina mantiki kabisa. Wala haelewi hata michakato ya mitihani inaendaje mpk matokeo kutolewa.Kwani matokeo hayapiti Baraza la mawaziri kabla ya kutolewa? Walimuonya akashindwa? Kwa hio inabidi Saint zifeli ndio matokeo yatakuwa sawa? Yaani matokeo yapangwe kabla ya kusahihisha?
Multiple choiceMkuu, siku hizi humu JF kumejaa wajinga. Alichokiandika mleta mada wala hakina mantiki kabisa. Wala haelewi hata michakato ya mitihani inaendaje mpk matokeo kutolewa.
Na wajinga wenzie wanatoa maoni kama mazuzu. Hata hayajiulizi
Hii haikuamriwa ama kuanzishwa na Msonde. Mabadiliko ya muundo wa mitihani haianzii na kuishia kwa Msonde.Multiple choice