Kilichomtoa Dkt. Msonde NECTA ni Kufaulisha sana bila mpangilio, Rais agusia leo, matokeo ya mwaka huu tutegemee heshima NECTA

Kilichomtoa Dkt. Msonde NECTA ni Kufaulisha sana bila mpangilio, Rais agusia leo, matokeo ya mwaka huu tutegemee heshima NECTA

Ndyo Had Headmaster wa shule kuwa Afisa Elimu mkoa wa Mtwara.
Sio kesi

Kama anao uzoefu wa kazi miaka mingi zaidi ya 15 anayo elimu ya kutosha kuanzia shahada au masters

Hivyo ni vyeo tu

Maana afisa elimu yeyote technically ni mwalimu.

Muhasibu hawezi kua afisa elimu.

Na walimu ni viongozi by nature na professional wise.
 
Tunakutana nao advance na chuoni, tunawajua vizuri.
Ukitaka kuamini, mchukue huyo wa st francis afu advance akasome GVT utaona sasa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
We ulisoma kigonsera au usevya huko au madibira.
 
Mambo ya kutambia chuo yalishapitwa na wakati

Udsm chuo cha kawaida tu siku hizi wala hakitishi.

Kimebaki na jina kubwa tu

Hata wachimbachumvi wanasoma udsm siku hizi na wanagraduaate
Mkuu umetisha. UDSM wamempa First Degree Shigongo wakijua hakusoma elimu yoyote ya O-Level. Sasa anataka kusoma Masters wanamwambia alete cheti cha form four! Kinyago walichochonga wenyewe sasa kinawatisha! ahahahahaha!!
 
Mkuu umetisha. UDSM wamempa First Degree Shigongo wakijua hakusoma elimu yoyote ya O-Level. Sasa anataka kusoma Masters wanamwambia alete cheti cha form four! Kinyago walichochonga wenyewe sasa kinawatisha! ahahahahaha!!
Andika kwa fact mkuu

Shigongo hajasoma udsm nadhan amesoma tumain
 
HABARI,

Kilichomtoa Msonde NECTA ni Kufaulisha sana, bila mpangilio, Rais agusia leo kwa kumwambia kimafumbo kamwacha palepale elimu akahakikishe vijana aliowafaulisha anawajengea uwezo kama sio kuwaajiri kabisa.

Na imeonekana na hasara kwa Serikali kufaulisha kisiasa, tutegemee matokeo ya kuanzia mwaka huu heshima ya div 0ne kurudi.

Sio kama ilivyo leo, ukipata one heshima hakuna tena.
Kama kweli, sawa. Kila mtu avune alichopanda. Tutegemee heshima ya Private Schools kurudi na Shule za kata kuvuta wanachostahili!! Siasa ilipoingilia taaluma tuliletewa ufaulu usio halisia!
 
Shule za misikiti hazitokuka faulu hata siku moja hata necta akiwa imamu au rafiki yake na mtume.

Sababu hizo shule ziko ziko tu
[emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom