Kilichomtoa Dkt. Msonde NECTA ni Kufaulisha sana bila mpangilio, Rais agusia leo, matokeo ya mwaka huu tutegemee heshima NECTA

Kilichomtoa Dkt. Msonde NECTA ni Kufaulisha sana bila mpangilio, Rais agusia leo, matokeo ya mwaka huu tutegemee heshima NECTA

Na ujinga huu unatucost sana Watanzania. Leo hii nenda Marekani. Vyuo vikuu karibu vyote walimu wa Kiswahili wanatoka Kenya. Ukiuliza kwa nini utaambiwa kuwa wanafunzi wa Kenya mara nyingi huwa na ufaulu mzuri sana kwenye shahada zao za kwanza (first class) na wanapoomba nafasi za kwenda kusoma nje kama TAs wa Kiswahili wanapata. Na wanaishia kuunganisha jumla kuwa walimu permanent. Sisi wanafunzi 300 eti wanapata first class wawili [emoji706][emoji706]
Umeonaee!
 
Ndugu acha kukariri, siku hiz wakurugenzi wanateuliwa hata hawajawah Kuwa hta kwenye utumish wa umma, sembuse headmaster Tena unakuta amefanya vizuri kwenye kaz yake... Acha watu wale matunda.
Haya bas sawa.
 
... waswahili wakibugia kashata na kahawa vibarazani wanajazana upumbavu St. Francis wananunua mitihani! Labda shule nyingine kama kweli huo upuuzi upo ila sio St. Francis. Wale masista walivyo strict na nidhamu na academics wataanzia wapi huo ujinga.
Tunakutana nao advance na chuoni, tunawajua vizuri.
Ukitaka kuamini, mchukue huyo wa st francis afu advance akasome GVT utaona sasa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tuliwaambia kipindi cha jpm huu ujinga wa sant sijui nini kufaulisha wanafunzi wote ulipotea kabisa sasa umerudi tena kipindi cha mama
Kwani tangu aingie mama kuna form four ngapi au form six waliyomaliza ?au ndio chuki tu kila jumba bovu unamuangushia yy
 
Tuliwaambia kipindi cha jpm huu ujinga wa sant sijui nini kufaulisha wanafunzi wote ulipotea kabisa sasa umerudi tena kipindi cha mama
Aligeuza tu,saint Nini kuacha kufaulisha na kuanza kufaulisha saint Kayumba na kuongoza kabisa kitu ambacho si kweli hata kidogo...
 
... waswahili wakibugia kashata na kahawa vibarazani wanajazana upumbavu St. Francis wananunua mitihani! Labda shule nyingine kama kweli huo upuuzi upo ila sio St. Francis. Wale masista walivyo strict na nidhamu na academics wataanzia wapi huo ujinga.
HAKUNA aliemkamilifu
 
HABARI,

Kilichomtoa Msonde NECTA ni Kufaulisha sana, bila mpangilio, Rais agusia leo kwa kumwambia kimafumbo kamwacha palepale elimu akahakikishe vijana aliowafaulisha anawajengea uwezo kama sio kuwaajiri kabisa.

Na imeonekana na hasara kwa Serikali kufaulisha kisiasa, tutegemee matokeo ya kuanzia mwaka huu heshima ya div 0ne kurudi.

Sio kama ilivyo leo, ukipata one heshima hakuna tena.
lakini hiyo dv 1 ulishawahi kuipata jamani...sema dv3 kweli ila sio 1 ndugu
 
Hii haikuamriwa ama kuanzishwa na Msonde. Mabadiliko ya muundo wa mitihani haianzii na kuishia kwa Msonde.
kuna mtu aliitwa magembe kama mnamkumbuka mmmhh tulisoma commerce with bookeeping
 
Mkuu, siku hizi humu JF kumejaa wajinga. Alichokiandika mleta mada wala hakina mantiki kabisa. Wala haelewi hata michakato ya mitihani inaendaje mpk matokeo kutolewa.

Na wajinga wenzie wanatoa maoni kama mazuzu. Hata hayajiulizi
unatakiwa kuchangia hoja sasa,sio kudhihaki hauko sawa...hoja iko mezani changia kwa muono chanya sio kukashifu
 
kuna mtu aliitwa magembe kama mnamkumbuka mmmhh tulisoma commerce with bookeeping
Hapana. Aliyeunganisha physics/chemistry na kufuta Commerce, bookkeeping na agriculture alikuwa Joseph Mungai
 
Mimi mpaka kesho sikubali hii system ya one ya saba hata wachimbachumvi.

Warudishe system ya zamani za usahishai zile grade za miaka ile

A -81

sio A-70[emoji15]

ili tujue nani ni nani.

Na hio mitihani wakaze kidogo

Tunajenga Taifa ya wachimbachumvi wanaofaulu kwa mseleleko.
 
Mimi mpaka kesho sikubali hii system ya one ya saba hata wachimbachumvi.

Warudishe system ya zamani za usahishai zile grade za miaka ile

A -81

sio A-70[emoji15]

ili tujue nani ni nani.

Na hio mitihani wakaze kidogo

Tunajenga Taifa ya wachimbachumvi wanaofaulu kwa mseleleko.
Yani inabidi waweke penati kwa hesabu pia na gs a level
 
Kwanza ujue vyuo vikuu vyote vipo chini ya TCU. Kama lecturers wao hawakidhi viwango, hayo ni makosa ya TCU na sio vyuo husika. Chengine, hao graduates wa UDSM na vyuo vingine wengi tunafanya nao kazi. Wa UDSM wengi wao kazi ni kujigamba tumesomea UDSM, tumesomea UDSM. Hata application letters hawajui kuandika!
Mambo ya kutambia chuo yalishapitwa na wakati

Udsm chuo cha kawaida tu siku hizi wala hakitishi.

Kimebaki na jina kubwa tu

Hata wachimbachumvi wanasoma udsm siku hizi na wanagraduaate
 
Back
Top Bottom