Kilichomtoa Dkt. Msonde NECTA ni Kufaulisha sana bila mpangilio, Rais agusia leo, matokeo ya mwaka huu tutegemee heshima NECTA

Kilichomtoa Dkt. Msonde NECTA ni Kufaulisha sana bila mpangilio, Rais agusia leo, matokeo ya mwaka huu tutegemee heshima NECTA

HABARI,

Kilichomtoa Msonde NECTA ni Kufaulisha sana, bila mpangilio, Rais agusia leo kwa kumwambia kimafumbo kamwacha palepale elimu akahakikishe vijana aliowafaulisha anawajengea uwezo kama sio kuwaajiri kabisa.

Na imeonekana na hasara kwa Serikali kufaulisha kisiasa, tutegemee matokeo ya kuanzia mwaka huu heshima ya div 0ne kurudi.

Sio kama ilivyo leo, ukipata one heshima hakuna tena.
Lakini watakaokosa nafasi wameandaliwa kwenda wapi? Au ndio watatelekezwa? Vyuo vya ufundi vinatosha?
 
Msonde = Ndalichako na wametoka eneo moja. Kuwaondoa kwenye Elimu ni jambo Muhimu.
Waliwahi kumchukua Headmaster wa shule na kumfanya afisaelimu Mkoa wa Mara.
 
Ufaulu kabla hata ya 'kushika karatasi ya mwanafunzi' kuisahihisha, unabidi ulete normal distribution curve. Inapotokea negatively skewed curve ina maana wanafunzi wengi sana wamefaulu. Kwa hiyo una standardise kwa kuongeza pass mark.
Inapotokea curve imekuwa positively skewed ina maana mtihani ulikuwa mgumu na wengi wamefelishwa, kwa hiyo inabidi u standarise kwa kushusha pass mark.
images.png

download (2).jpeg
 
HABARI,

Kilichomtoa Msonde NECTA ni Kufaulisha sana, bila mpangilio, Rais agusia leo kwa kumwambia kimafumbo kamwacha palepale elimu akahakikishe vijana aliowafaulisha anawajengea uwezo kama sio kuwaajiri kabisa.

Na imeonekana na hasara kwa Serikali kufaulisha kisiasa, tutegemee matokeo ya kuanzia mwaka huu heshima ya div 0ne kurudi.

Sio kama ilivyo leo, ukipata one heshima hakuna tena.

Hapo NECTA hata akiwekwa imamu awe katibu mtendaji kamwe unguja na pemba hawawezi kuacha kutoa shule za mwisho
Shule za St zinafaulusha kwa sasa wanafundisha vizuri na wanajipanga vizuri......
 
HABARI,

Kilichomtoa Msonde NECTA ni Kufaulisha sana, bila mpangilio, Rais agusia leo kwa kumwambia kimafumbo kamwacha palepale elimu akahakikishe vijana aliowafaulisha anawajengea uwezo kama sio kuwaajiri kabisa.

Na imeonekana na hasara kwa Serikali kufaulisha kisiasa, tutegemee matokeo ya kuanzia mwaka huu heshima ya div 0ne kurudi.

Sio kama ilivyo leo, ukipata one heshima hakuna tena.
Kwa wanafunzi wengi waliosomea UDSM wana ujinga wa kuamini wanafunzi kufali sana ndio elimu bora. Unakuta Professa anajigamba eti katika course yangu wamesap 180 katika ya 194! Ujinga huo huo wa maprofesa wanaubebesha wanafunzi wao kama wewe blogger boy.
 
Kuna shida gani wanafunzi kufaulu na kupata A tatu? Kwani mwanafunzi kufeli ndio kipimo cha nini? Huu ujinga mnautoa wapi?
Uko sahihi lengo la kumpeleka mtoto shule mi aelewe anachofundishwa na afaulu vizuri

Kufeli sii kipimo cha kumpima mwanafunzi ni cha kumpima mwalimu kuwa hana uwezo wa kufundisha.Ndio maana shule za private zinazojali performance hufukuza walimu na kuleta wengine sababu wanajua shida haiko kwa mwanafunzi bali mwalimu

Lengo la elimu ni mtoto aelewe na afaulu sio afeli

Uko sahihi mkuu
 
Darasa eti linapata division 1 point 7 lote

Hapo lazima kuna shida somewhere
Huu mchezo mchafu unafanywa zaid na private schools, wananunua mitihali kwa lengo la kibiashara.
Wanapofaulisha wapate sifa na kuongeza idadi ya wanafunzi wapya.
 
HABARI,

Kilichomtoa Msonde NECTA ni Kufaulisha sana, bila mpangilio, Rais agusia leo kwa kumwambia kimafumbo kamwacha palepale elimu akahakikishe vijana aliowafaulisha anawajengea uwezo kama sio kuwaajiri kabisa.

Na imeonekana na hasara kwa Serikali kufaulisha kisiasa, tutegemee matokeo ya kuanzia mwaka huu heshima ya div 0ne kurudi.

Sio kama ilivyo leo, ukipata one heshima hakuna tena.
elimu ya tanzania na maajabu yake. kufaulisha sana na kufelisha sana ndio kipimo cha ubora wa elimu.
 
Kwa wanafunzi wengi waliosomea UDSM wana ujinga wa kuamini wanafunzi kufali sana ndio elimu bora. Unakuta Professa anajigamba eti katika course yangu wamesap 180 katika ya 194! Ujinga huo huo wa maprofesa wanaubebesha wanafunzi wao kama wewe blogger boy.
kwa hiyo kipimo cha elimu bora ni mwanafunzi kupata A? ,mbona wapo mtaani na hawawezi kujiajiri kila siku kuilaumu serikali,

lengo la SSH ni kutengeneza wanafunzi watakaoajirika siku za usoni.
 
U
kwa hiyo kipimo cha elimu bora ni mwanafunzi kupata A? ,mbona wapo mtaani na hawawezi kujiajiri kila siku kuilaumu serikali,

lengo la SSH ni kutengeneza wanafunzi watakaoajirika siku za usoni.
Unaweza kutoa ushahidi kwa nchi zilizo na elimu bora kama vile Marekani, Uingereza, China na Japan kwa kutaja chache zinatoa 'graduates ' walio na uwezo wa kujiajiri tofauti na Tanzania?
 
Back
Top Bottom