Kilichonifanya na aliyenivutia mpaka nikajiunga JamiiForums

Kilichonifanya na aliyenivutia mpaka nikajiunga JamiiForums

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Mimi nlijiunga miaka mingi iliyopita kufuatilia habari za siasa. Ofisi ilinitaka niwe karibu sana na kila habari ya siasa humu ndani hasa kwa kuwa kuna mengi yalikuwa yanaendelea.

Miaka hiyo hbr za uchunguzi nyingi na files nyingi za siri zilikuwa zinaibukia humu. Kuna watu walikuwa wanatema madini kinyama.

Baadaye nikajikuta navisit pia Habari Mchanganyiko na Mapenzi na Mahusiano. Huko kuna wamba/miamba 3 siwezi wasahau.
1. GuDume
2. General Galadudu
3. CHIEF MKWAWA

Hawa jamaa huwa kipindi flani nakaa tu naanza soma nyuzi zao za kale.
 
Mimi nlijiunga miaka mingi iliyopita kufuatilia habari za siasa. Ofisi ilinitaka niwe karibu sana na kila habari ya siasa humu ndani hasa kwa kuwa kuna mengi yalikuwa yanaendelea.

Miaka hiyo hbr za uchunguzi nyingi na files nyingi za siri zilikuwa zinaibukia humu. Kuna watu walikuwa wanatema madini kinyama.

Baadaye nikajikuta navisit pia Habari Mchanganyiko na Mapenzi na Mahusiano. Huko kuna wamba/miamba 3 siwezi wasahau.
1. GuDume
2. General Galadudu
3. CHIEF MKWAWA

Hawa jamaa huwa kipindi flani nakaa tu naanza soma nyuzi zao za kale.

Mkuu, kati ya hizo IDs moja ni ya kwako sio? Kwamba umeamua kuja kujimuagia masifa kemkem, 😁😁 au sio mzee babaa?

Ijumaa Mubarak
 
Mimi nlijiunga miaka mingi iliyopita kufuatilia habari za siasa. Ofisi ilinitaka niwe karibu sana na kila habari ya siasa humu ndani hasa kwa kuwa kuna mengi yalikuwa yanaendelea.

Miaka hiyo hbr za uchunguzi nyingi na files nyingi za siri zilikuwa zinaibukia humu. Kuna watu walikuwa wanatema madini kinyama.

Baadaye nikajikuta navisit pia Habari Mchanganyiko na Mapenzi na Mahusiano. Huko kuna wamba/miamba 3 siwezi wasahau.
1. GuDume
2. General Galadudu
3. CHIEF MKWAWA

Hawa jamaa huwa kipindi flani nakaa tu naanza soma nyuzi zao za kale.
Unatak utushawishi, Democracy
 
Unajisikiaje umewa-tag watu tangu jana na mpaka sasa hawajasema chcht.?
Muhimu: Tujifunze ku-balance shobo
Mbona kama umeumia sana? Its just normal. They dont need to say anything sababu most of them arent active. But pia they dont need to say anything mimi nime wa appreciate tu. Ila naona kama wewe umeumia sana. Why? Mbona these are minor things. Haya maisha usiwe na stress na makasiriko... Utaishi kwa shida sana dogo. Wewe pambana tu utatoka kimaisha na utagundua maisha ni ku enjoy.
 
Mimi nlijiunga miaka mingi iliyopita kufuatilia habari za siasa. Ofisi ilinitaka niwe karibu sana na kila habari ya siasa humu ndani hasa kwa kuwa kuna mengi yalikuwa yanaendelea.

Miaka hiyo hbr za uchunguzi nyingi na files nyingi za siri zilikuwa zinaibukia humu. Kuna watu walikuwa wanatema madini kinyama.

Baadaye nikajikuta navisit pia Habari Mchanganyiko na Mapenzi na Mahusiano. Huko kuna wamba/miamba 3 siwezi wasahau.
1. GuDume
2. General Galadudu
3. CHIEF MKWAWA

Hawa jamaa huwa kipindi flani nakaa tu naanza soma nyuzi zao za kale.
Hivi hao miamba wapo?

Gudume!!

Siku hizi JF inakeraaa

Nimeangalia michango ya uzi hii, nikasikitika tu, watu wako so negative in everything.

Sijui ji stress ama akili?
 
Hivi hao miamba wapo?

Gudume!!

Siku hizi JF inakeraaa

Nimeangalia michango ya uzi hii, nikasikitika tu, watu wako so negative in everything.

Sijui ji stress ama akili?
Watu wana stress zinapelekea wanakuwa na MAKASIRIKO WAKATI WOTE...😂
 
Back
Top Bottom