amu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2012
- 16,132
- 31,149
Yaani hapa ndo natoka chimbo.
Biashara imekuwa ngumu sana.
Si unajua tena umri umeenda na kuna ingizo la watoto wapya.
Biashara imekuwa ngumu sana.
Si unajua tena umri umeenda na kuna ingizo la watoto wapya.
Nimesahau password yake si unajua miaka mingi. Vipi nawe Unaendeleaje na kudanga na watoto? 😂