Kilichonifanya na aliyenivutia mpaka nikajiunga JamiiForums

Yaani hapa ndo natoka chimbo.
Biashara imekuwa ngumu sana.
Si unajua tena umri umeenda na kuna ingizo la watoto wapya.
Ndo changamoto za biashara usikonde. Kaza moyo, wengine wanapenda watu wazima sababu ya uzoefu. Mimi pia nlivutiwa kuingia JF sababu yako sababu ya huduma ulinipa. Legeza kiuno na endeleza mapambano hawa watoto wasikutishe.uzoefu utakubeba na usikate tamaa. Karibu pia nikuunganishe na Kalyinda.
 
Nashukuru. Tupo pamoja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…