Kilichonikuta baada ya kumtafuta ex wangu

Khah! Kwa hiyo,kupokea simu yako au kukupigia,wewe umeshajiaminisha kuwa anakutaka wewe? Angekuona wa maana angekomaa na wewe miaka ile! Ila kwa juice za watoto na hamu na chips ulizokua ukinunua,poa tu
Mwache ajichanganye awe baba mchangiaji huduma za familia ya Mwanaume mwingine na papuchi hapati, 🤪
 
Umwmtongoza hakafu unatuuliza kama bado anakutaka?

Uchawi kweli upo
 
Uliponiona wapi?
Si kule ulikokua? Nikajua tu yule pale,analo. Nikawa nasogea tu taratibu nikijua unakuja tunakutana. Nikawa najiuliza huyu anatembea kinyume nyume! Basi nikaongeza mwendo. Kukaribia,kumbe na wewe tuko njia moja. Kifupi wezele hamna. Ukiwa unaenda,watu wanahisi unakuja. Mbele na nyuma no diferent
 
Ha haaa hujakosea kabisa
 
'Usipende kumfanyia mwenzio kitu usichopenda ww kufanyiwa"
Kumbuka na mkeo mtarajiwa ni x wa fulani huko je siku ukigundua wanapasha utajiskiaje? Staki unijibu endelea na mambo yako
huyo kuna dogo form 3 anamkula mke wake, hapo ni kwamba et anataka kulipiza kisasi.
 
Akifeli nitag na Mimi nitume karata yangu 🤪
Kumbe na we fala tu. Hapa napambana mwenyewe huku unachungulia! Nikiangusha mfugo,utajipitisha kuuliza kama nahitaji msaada. Sasa ni hivi. 50/50. Ukiwin unanipa na mimi. Nikiwin nakupa na wewe.

Copy Demi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…