ngosha wa mwanza
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 3,832
- 11,964
Mke wa mtu ni sumu ..unachokitafuta utakipata ushauri wangu nunua wese kabisa maana siku hizi watu km nyie nikuwabaka tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akishindwa nitag, 🤪Ndo upambane kunishawishi sasa, bado hujafanikiwa
😆😆😆🤪 Anunue backup ya mafuta kabisa akinasa ajiongeze au sio?Mke wa mtu ni sumu ..unachokitafuta utakipata ushauri wangu nunua wese kabisa maana siku hizi watu km nyie nikuwabaka tu.
Mwache ajichanganye awe baba mchangiaji huduma za familia ya Mwanaume mwingine na papuchi hapati, 🤪Khah! Kwa hiyo,kupokea simu yako au kukupigia,wewe umeshajiaminisha kuwa anakutaka wewe? Angekuona wa maana angekomaa na wewe miaka ile! Ila kwa juice za watoto na hamu na chips ulizokua ukinunua,poa tu
Umwmtongoza hakafu unatuuliza kama bado anakutaka?Wakuu mulibwanji?
Huku mambo ni mwagalayoooo.
Leo baada ya miaka 5 ya kuachana kwa matatzo na mtoto wa kinyiramba nimemtext leo kwa mara ya kwanza.
Nilianza kwa kumtext kwamba if i made u cry am sorry akajbu kwa kuuliza we nani nikajtambulisha rasmi tukaanza kuchart akanambia ameolewa yupo moshi. Na ana watoto wawili, akauliza khs mimi nikamjbu sjaoa na sina mpango huo kwasasa.
Kilichofata akaanza lawama nyng sn wakati tuko wote mambo mabaya nliyomfanyia mpk leo yanamuuma sn mi skuwa na maneno mengi zaidi ya kumjbu am sorry na kukubaliana na lawama zote na kustahili kuhukumiwa.
Akanambia ameshanisamehe niwe na amani tu. Nikamshukuru na kumtakia kheri yeye na familia yake ksha nikamwambia ninasktika na kuumia sana kwani.
Amekumbushia mambo yaliyopta wkt mi nimeamua tu leo kumsalimia. Akajbu hapana ye kaonyesha tu hisia zake vile aliumia nikamjbu sawa na nashukuru sn, nikatulia nikashangaa amepga simu nlipopokea tukasalimiana tu na nikamuliza nambie sasa.
Akasema hamna ktu mi nkamwambia basi takucol tommorow nipe muda mumeo aspokuwepo akajbu muda mzuri mchana nikamuaga.
Wakuu huyu ex inaelekea bdo ananihtaji au najdanganya tu?
NB: SIWEZI TEMBEA NAYE TENA NI MKE WA MTU SASA.
Si kule ulikokua? Nikajua tu yule pale,analo. Nikawa nasogea tu taratibu nikijua unakuja tunakutana. Nikawa najiuliza huyu anatembea kinyume nyume! Basi nikaongeza mwendo. Kukaribia,kumbe na wewe tuko njia moja. Kifupi wezele hamna. Ukiwa unaenda,watu wanahisi unakuja. Mbele na nyuma no diferentUliponiona wapi?
Kesho atarudi kujiliza hapa kwama amepigwaMwache ajichanganye awe baba mchangiaji huduma za familia ya Mwanaume mwingine na papuchi hapati, 🤪
Basi kesho njo tukutane Ruvu beachNdo upambane kunishawishi sasa, bado hujafanikiwa
Ha haaa hujakosea kabisaSi kule ulikokua? Nikajua tu yule pale,analo. Nikawa nasogea tu taratibu nikijua unakuja tunakutana. Nikawa najiuliza huyu anatembea kinyume nyume! Basi nikaongeza mwendo. Kukaribia,kumbe na wewe tuko njia moja. Kifupi wezele hamna. Ukiwa unaenda,watu wanahisi unakuja. Mbele na nyuma no diferent
Tuma na ya kutoleaBasi kesho njo tukutane Ruvu beach
huyo kuna dogo form 3 anamkula mke wake, hapo ni kwamba et anataka kulipiza kisasi.'Usipende kumfanyia mwenzio kitu usichopenda ww kufanyiwa"
Kumbuka na mkeo mtarajiwa ni x wa fulani huko je siku ukigundua wanapasha utajiskiaje? Staki unijibu endelea na mambo yako
Nikiferi? Mandazi yangu unarudisha?Ndo upambane kunishawishi sasa, bado hujafanikiwa
Muache aanze kuchangia matunzo ya watoto wa Mwanaume mwingine asiemjua na papuchi hapewi ng'o, 🤪Kesho atarudi kujiliza hapa kwama amepigwa
Ukifeli umefeliNikiferi? Mandazi yangu unarudisha?
Akifeli nitag na Mimi nitume karata yangu 🤪Ukifeli umefeli
Si unaona sasa. Wasije kuta tumesimama wakahisi naiba mbaoHa haaa hujakosea kabisa
SidanganyikiiiiTuma na ya kutolea
Keshafeli long timeAkifeli nitag na Mimi nitume karata yangu 🤪
Kumbe na we fala tu. Hapa napambana mwenyewe huku unachungulia! Nikiangusha mfugo,utajipitisha kuuliza kama nahitaji msaada. Sasa ni hivi. 50/50. Ukiwin unanipa na mimi. Nikiwin nakupa na wewe.Akifeli nitag na Mimi nitume karata yangu 🤪