Kilichonikuta baada ya kumtafuta ex wangu

Kilichonikuta baada ya kumtafuta ex wangu

🤣🤣🤣🤣Yaane unekaa ukawazaa ukaona huu ndo uzi wakuka kuutundiaka hapa aisee duh.
Mle tuu mkuu kisha lete mrejesho wa kitakachokupataa
 
Nimejikabidhi kwa Mungu awasaulishe kuhusu mimi😂,
Majibu yamejibu Mungu kawasahaulisha kuhusu mimi,, chezea block ya Allah
 
Huyu dogo atakuja kupakatwa na msela wa EX wake mpaka ashangae tena utapigwa kavu mdogo wangu....
 
Wakuu mulibwanji?

Huku mambo ni mwagalayoooo.

Leo baada ya miaka 5 ya kuachana kwa matatzo na mtoto wa kinyiramba nimemtext leo kwa mara ya kwanza.
Nilianza kwa kumtext kwamba if i made u cry am sorry akajbu kwa kuuliza we nani nikajtambulisha rasmi tukaanza kuchart akanambia ameolewa yupo moshi. Na ana watoto wawili, akauliza khs mimi nikamjbu sjaoa na sina mpango huo kwasasa.

Kilichofata akaanza lawama nyng sn wakati tuko wote mambo mabaya nliyomfanyia mpk leo yanamuuma sn mi skuwa na maneno mengi zaidi ya kumjbu am sorry na kukubaliana na lawama zote na kustahili kuhukumiwa.

Akanambia ameshanisamehe niwe na amani tu. Nikamshukuru na kumtakia kheri yeye na familia yake ksha nikamwambia ninasktika na kuumia sana kwani.

Amekumbushia mambo yaliyopta wkt mi nimeamua tu leo kumsalimia. Akajbu hapana ye kaonyesha tu hisia zake vile aliumia nikamjbu sawa na nashukuru sn, nikatulia nikashangaa amepga simu nlipopokea tukasalimiana tu na nikamuliza nambie sasa.

Akasema hamna ktu mi nkamwambia basi takucol tommorow nipe muda mumeo aspokuwepo akajbu muda mzuri mchana nikamuaga.

Wakuu huyu ex inaelekea bdo ananihtaji au najdanganya tu?
NB: SIWEZI TEMBEA NAYE TENA NI MKE WA MTU SASA.
SAS Kama huwezi mgegeda unataka msaada gani Huku


Mwanmke kashaolewa Bado mnafatana fana HV mna akili kweli
 
Wakuu mulibwanji?

Huku mambo ni mwagalayoooo.

Leo baada ya miaka 5 ya kuachana kwa matatzo na mtoto wa kinyiramba nimemtext leo kwa mara ya kwanza.
Nilianza kwa kumtext kwamba if i made u cry am sorry akajbu kwa kuuliza we nani nikajtambulisha rasmi tukaanza kuchart akanambia ameolewa yupo moshi. Na ana watoto wawili, akauliza khs mimi nikamjbu sjaoa na sina mpango huo kwasasa.

Kilichofata akaanza lawama nyng sn wakati tuko wote mambo mabaya nliyomfanyia mpk leo yanamuuma sn mi skuwa na maneno mengi zaidi ya kumjbu am sorry na kukubaliana na lawama zote na kustahili kuhukumiwa.

Akanambia ameshanisamehe niwe na amani tu. Nikamshukuru na kumtakia kheri yeye na familia yake ksha nikamwambia ninasktika na kuumia sana kwani.

Amekumbushia mambo yaliyopta wkt mi nimeamua tu leo kumsalimia. Akajbu hapana ye kaonyesha tu hisia zake vile aliumia nikamjbu sawa na nashukuru sn, nikatulia nikashangaa amepga simu nlipopokea tukasalimiana tu na nikamuliza nambie sasa.

Akasema hamna ktu mi nkamwambia basi takucol tommorow nipe muda mumeo aspokuwepo akajbu muda mzuri mchana nikamuaga.

Wakuu huyu ex inaelekea bdo ananihtaji au najdanganya tu?
NB: SIWEZI TEMBEA NAYE TENA NI MKE WA MTU SASA.
Mkifinywaa uwani mnaanza kuona dunia mbaya kumbe upumbavu wako. Andaa mataqo kutobolewa
 
kimbia mtego huo kitendo Cha kupiga Simu ukaipokea ni hatari sana , mtu uliyewahi kukutana nae kimwili connection inabaki Ili uivunje inatakiwa kujizuia na kujikana nafsi unless unazama kilindini tena
 
Mwenye ile picha ya CHAI inafuka moshi hivi naiomba tafadhali........
 
Huyo manzi anatengenezwa na mume wake uingie kingi watu wafunue ukurasa wa n'nya!
 
Kuna mwamba nilimfuma kama wewe nikapita pharmacy nikanunua KY na nikapita maduka ya Sunna nikanunua vumbi la Kongo. Nikajenga nae yule mwamba urafiki kama sijui anataka kumla mwenza wangu. Wiki 2 zilizopita kaingia 18 zangu nimekwenda nae bar kama rafiki nikamnunulia Safari lager nikaweka panadol nusu mwamba chaliiii nikavuta pembeni nikatoa KY na vumbi la Kongo, mama..e kahama mji na kawacha usumbufu kwa mwenza wangu🤣.
 
Back
Top Bottom