Kilichonishangaza kwenye Taarifa ya habari, ni chombo kimoja kilichorusha habari ya Makonda. Huu ni utaratibu mzuri dhidi ya Mabeberu

Impact yake ndio shida Paskali,Mkubwa ni mkubwa hata kama hayuko sahihi.Nimekumbuka IMF,World Bank vis Tanzania ya Raisi Nyerere miaka ya 80 nani alishinda?
Tuweke akiba ya maneno.
Naunga mkono hoja, hapa kanuni ya uzalendo applies.
Makonda ni mteule wa rais wa JMT, Wamarekani are outsiders, hivyo media ya Tanzania imeshikamana na mteule na kuwapuuza mabeberu.
P
 
Inabadili nini sasa.. We we ukijua ma kutokufahamu kutaondoa zuio hilo.. Kwanza zuio lenyewe ni kufumbua macho waTZ kama wewe wanaoona kila kitu ni shwari....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mumfwate huko aliko mkaishi naye, Tanzania ni nchi yetu ya asili hatukuomba kuwepo na yeye si Mungu ajifanye anatupangia maisha yetu...Apambambane na hali yake huko amerikani ambako wanakataa ushahidi wa kung'oa boss wake
Wengi wa watanzania hawaridhishwi na ujinga wenu Wakoromije nyinyi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu jamaa ana faida gani kwa nchi..kuliamsha dude tu hawezi...mchukueni aende ICC ...vijana wanataka green card lottery
 
Halafu siku hizi smartphones na mitandao ya jamii imekuwa source ya taarifa zaidi ya TVs na radios.. Kasi ya habari kusambaa ni kubwa.. Hamna lolote linaweza kufanywa kuzuia jamii kubwa kupata kile kinachoendelea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naunga mkono hoja, hapa kanuni ya uzalendo applies.
Makonda ni mteule wa rais wa JMT, Wamarekani are outsiders, hivyo media ya Tanzania imeshikamana na mteule na kuwapuuza mabeberu.
P
Mbona corana wanaripoti? Waache uchoko. Taarifa zozote zile za nchi za mabeberu wasizilete. Tutakuwa tuazitafuta wenyewe. Pumbavuuu in magu voice to wateule wake kbd and the like.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbuni anafukia kichwa ardhini halafu anajisifu kajificha

Jr[emoji769]
 

Who cares about these stupid media za TZ?

Sasa hivi wananchi wana lowest confidence na media za TZ!

Viewership ni lowest na imani imekua lowest ever!

No one trust these shitty media kabisa!
 
Zote hizo umeziangalia wewe una macho mangapi?
 
Naunga mkono hoja, hapa kanuni ya uzalendo applies.
Makonda ni mteule wa rais wa JMT, Wamarekani are outsiders, hivyo media ya Tanzania imeshikamana na mteule na kuwapuuza mabeberu.
P
Eeenh, na kwa vile wale "walionyimwa haki ya kuishi" ni outsiders; na kwa vile mengine yote yaliyosemwa na "US outsiders" yanawapata "outsiders" - "kanuni ya uzalendo" inawalazimu nyinyi wazalendo(feki) na media zenu "mshikamane na mteule" wenu ili muwakamuwe ipasavyo raia wa nchi hii.

Hopeless.
 
Kama vyombo vya habari vikiripoti kuhusu mikutano ya wapinzani wanapigwa faini sembuse hilo la Makonda? Hakuna cha uzalendo ila vyombo vya habari vimewekwa mfukoni. Wakitangaza tu, faini
Lakini hii ndio ingekuwa nafasi nzuri kwao (vyombo vya habari) kuandika habari hiyo kikamilifu kabisa na kwa uwazi ili wakisumbuliwa ionekane wazi kuwa wananyimwa nafasi ya kufanya kazi yao bila ya usumbufu.

Wanapoteza fursa nzuri sana hii.
 
Paschal Mayalla ni mwandishi wa habari asiye mnafiki ana future nzuri sana ninakutia moyo brother wewe mzalendo sana unatakiwa uchukue nafasi ya Dr Abbas

Kuna hoja ambazo Paschal hutoka nje ya gamba lakini bado siamini kama anahitaji ushindi wa mezani kwani kiasilia yeye ni mjasiriamali
 
nazi haishindani na jiwe itapasuka tu..tusijitoe akili watanzania kwenye hili swala linahatarisha diplomasia yetu iliyojegwa kwa jasho na damu na mwalimu nyerere..

ni lazima viongozi wetu wajue mipaka yao sio kila kitu ni kujimwambafai..
Diplomasia yenyu iliporomoka to negative levels tangu Magufuli alipo ingia madarakani.
Mleta mada ka mprove right mzee Pompeo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…