Elections 2010 Kilichonishtua Juu Ya Dr Slaa Pale Mwembetogwa

  1. Chadema siku zote hawana siri wala kumsubili mtu aje kujitetea.
  2. Chadema huwa wawazi kwa kila jambo ndo maana tumekuwa na mafanikio
  3. chadema hatuna cha huyu mkubwa wala mdogo unapewa palepale makosa yako
  4. chadema huwa haiogopi mtu wa aina yoyote kama unabishaa muulize kikwete mwenyewe au Shimbo​
 
Omarilyas,
Hii ndio tunapigia kelele hapa. Kama unawafahamu watu hapa na una hakika si taja kwa majina? Huu ndio ujasiri wa hapa JF "dare to talk openly"Lakini naona unaturudisha kwa Maggid huko huko.
Just talk. Sema ni fulani na fulani!


I am sure u r not ready for that............its big and very disappointing in all aspects..connect the dots
 
OMG!
Maggid what have you done sasa?
kuna hoja nyingi hapa hutaki kuzijibu ilihali umeanzisha mjadala.
ntaomba nikutukane tena ohoooo!!!!!
 
Maggid yuko kimyaaaaaaaaa!!!!!!!!!! najua yupo hapa JF anasoma michango yenu Kimyaaaaaaaaaaa na anaweza asiseme kitu kabisaaaaaaaaaa maana anajua hila zake ziko nje

Ama anaanda makala nyingine moto zaidi..............
 
What if wapenzi wa Dr Slaa wangemvaa na kumrarua mtuhumiwa huyo.....bado tungeendelea ndoto za Utawala bora kutoka kwake???? ust thinking loudly........As a duty for critical citizenry..

Walau katika kupandisha kwangu kutoka Jangwani nikiwa peke yangu nimemsikia huyu aliyethubutu kufikiri kwa sauti katika umati unaoelekea Jangwani.
 

Hapo kenye red....Hizo ndizo siasa za CCM zilizopitwa na wakati. Ndiyo maana watu wanakuwa recycled all the years, ikifanya kosa hapa anapelekwa kule ajilekebishe kisha kesho anapewa utamu zaidi!!!
 
Mara kwa mkuu wa wilaya....PANDA JUU YA JUKWAA!
Mara kwa mkuu wa majeshi...NAKUPA SIKU SABA UOMBE RADHI!
Sasa leo munampongeza kwa kumdhalilisha mtu hadharani baada ya kupora mke wa watu.

Huyu jamaa hafai kabisa na haambiliki.Mumemuandaa vyema lakini si chaguo jema. Kwa mtindo huu wangapi watachomwa moto kwa kudhaniwa ni wezi,wangapi wataozea gerezani kwa kudhaniwa magaidi!.
Eee! Mungu (Allah).Pitisha hukumu yako huyu mbakaji asiingize mguu wake pale ikulu.
 

ukamwambie na shehe yahaya aongeze sara zake pia!
 

Mjengwa, makosa na changamoto za kisiasa hutatuliwa kisiasa, tena hadharani. Vinginevyo itakuwa ni kuruhusu rumours kutawala, na huo ndio utakuwa mwisho wa political grouping yako.
Dr. Silaa alikuwa sahihi kutoa tamko lake hadharani.
 


Sasa bwana Maggid ulitaka huyo kiongozi asifiwe kama anavyofanya Kikwete kuwasifia mafisadi majukwaani huku raia wakibaki wanaulizana kulikoni?
Sikutaraji kama Kikwete angeweza kumsifia mtu kama Chenge au Lowassa! Huu ndiyo unafiki tusioutaka tunataka uongozi kama wa Slaa, tunakupa za uso papo hapo!
Maggid vipi bwana, kijana mdogo unaleta sera za kizamani za kufichana?
 
What if wapenzi wa Dr Slaa wangemvaa na kumrarua mtuhumiwa huyo.....bado tungeendelea ndoto za Utawala bora kutoka kwake???? ust thinking loudly........As a duty for critical citizenry..

Hatupo kwenye ulimwengu huo wa masumbwi mkuu, huku ni sera za ukweli na uwazi. Ndiyo maana pamoja na yote hayo sijasikia kama kuna mtu kamgusa au kumnyanyasa.
Hiyo ndiyo aina ya siasa tunayoihitaji Tanzania hii
 
What if wapenzi wa Dr Slaa wangemvaa na kumrarua mtuhumiwa huyo.....bado tungeendelea ndoto za Utawala bora kutoka kwake???? ust thinking loudly........As a duty for critical citizenry..

What if......!!! Didn't happen my bro...... What was he doing there anyway. If he was smart upstairs.................I think he shouldn't have been there!!!
 
Aaamin!.
 
What if......!!! Didn't happen my bro...... What was he doing there anyway. If he was smart upstairs.................I think he shouldn't have been there!!!

Isn't leaders' duty to be responsible and critically measure his or her public utterance ???
 

nakubaliana na mengi uliyoyasema katika makala yako. Kazi kubwa iliyofanyika mapaka sasa ni kuwatoa uoga watanzania, baada ya woga kutoka sasa chama kinaweza kujiimarisha nchi nzima. Kumbuka pia kuwa sheria zetu na katiba viko very unfriendly. Inawezekana kwa muda mchache aliokuwa hapa mwembetongwa hakuzungumzia katiba lakini ameshazungumza suala hilo sana na wananchi sasa wanaelewa kuwa endapo dr slaa atafanikiwa kuwa rais mchakato wa kurekebisha katiba utaanzishwa ndani ya siku 100.
 
Kwani wewe gaba...li una tofauti na huyu unayeita followers wake stupid?
Kwa taarifa yako maandishi yako na hoja zako hapa JF hazina tofauti kabisa na za Maggid.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…