Elections 2010 Kilichonishtua Juu Ya Dr Slaa Pale Mwembetogwa

Elections 2010 Kilichonishtua Juu Ya Dr Slaa Pale Mwembetogwa

Wewe Maggid, usifikiri Watanzania ni Mabwege; Wewe endelea na ndoa yako na hao jamaa, hizo pesa wanazokupa utakuja Kujuta nazo

Na huyu anapigania demokrasia.....and so was Kagame, Hitler, Museveni etc...damn even Fodey Sankoh was..sijamuongelea Meles na mwenzie Aferweki
 
Mpenda chongo, chongo huita kengeza. Kama Dr. Slaa alifanya anayoshutumiwa basi hakumtendea haki kiongozi MWENZIE!

Amandla........
Well, hata matatizo huzidiana..tuanze na tatizo kuu..tusafishe kwanza Magogoni..PERIOD.
 
Ama kweli kipendacho moyo! chongo huliita kengeza.
Yaani nyote mumeshindwa kumwelewa Maggid.
Utawala wa kihuni na kupayuka payuka anaoukusudia Dkt Slaa si kwamba hatuutaki tu bali haufai popote duniani. Hata Mrema alijaribu akashindwa.
Lakini huyu jamaa hashindwi na wala haoni vibaya na hilo.Ikiwa ameweza kupora mke wa mtu na kumshika mkono mbele ya umati akimdhalilisha mumewe,atashindwa na hilo?.
 
Ama kweli kipendacho moyo! chongo huliita kengeza.
Yaani nyote mumeshindwa kumwelewa Maggid.
Utawala wa kihuni na kupayuka payuka anaoukusudia Dkt Slaa si kwamba hatuutaki tu bali haufai popote duniani. Hata Mrema alijaribu akashindwa.
Lakini huyu jamaa hashindwi na wala haoni vibaya na hilo.Ikiwa ameweza kupora mke wa mtu na kumshika mkono mbele ya umati akimdhalilisha mumewe,atashindwa na hilo?.

Hivi kuna uhuni mwingine zaidi ya ule wa kuwa state funded corruption engineered by your saints CCM? tena sio moja? Hivi una akili timamu kweli wewe?
 
Ndugu zangu

So far,malengo ya Mjengwa yanaelekea kutimia: KU-DIVERT ATTENTION YETU.Hivi hakuna anayejiuliza kwamba kwanini ghafla huyu jamaa kahamisha nguvu zake kutoka kwenye kiblogu chake cha picha na kijarida mfu cha Kwanza Jamii (kilichozaliwa baada ya kifo cha asili cha Gozi Spoti) na kuja kwa KASI ZAIDI,ARI ZAIDI na NGUVU ZAIDI hapa JF huku mada zake zikilenga TUMJADILI YEYE BADALA YA KIKWETE NA MAFISADI WENZIE WA CCM?

Sidhani kama Mjengwa ni msahaulifu as such bali anajua sana anachofanya i.e ku-earn kihalali ujira wake.This is the same person ambaye jana "alitoa hukumu" kwa Chadema,CUF na CCM huku akijipa majukumu ya Jaji Lewis Makame kutangaza matokeo ya uchaguzi huo kabla hata ya siku ya kupiga kura.Leo anajifanya kasahau na kumtaka Dokta Slaa asimhukumu mgombea fisadi.Hili sio la kushangaza kwa "mwandishi" ambaye hajawahi kuona mapungufu,udhaifu au ubovu wa Jakaya Kikwete kwa muda wote ambao amekuwa madarakani.Kutarajia Mjengwa azungumzie list of shame,EPA,Richmond,Kagoda,Meremeta,etc ni sawa na kutarajia Kikwete aite independent health specialists wa kumpima afya yake na kuiweka hadharani.Au ni sawa na kutarajia Makamba aitishe press conference na kutueleza kwanini alifikuzwa ualimu zamani hizo.

Najua ni vigumu kuwapuuza watu wa aina ya Mjengwa lakini kwa vile tupo katika mapambano muhimu kwa future yetu na vizazi vijavyo basi yatupasa tuelekeze zaidi focus na nguvu zetu kwenye mapamabano hayo na kuwapuuza the Mjengwas.Tunapaswa kukumbuka kuwa wenzetu hawa wapo kazini,na ujira wao unategemea sana impact ya wanavyotekeleza maagizo ya waliowatuma.

Lakini kwa upande mwingine angalau kadri Mjengwa anavyojibidiisha kama attention seeker (i.e. attention ya mafisadi na yetu pia) ndivyo anavyowasaidia wale waliokuwa hawamjui vizuri "mwanafilosofia" huyu.Sie wengine tulishamfahamu mapema tangu alipoanza "kuteleza" kabla ya uchaguzi wa mwaka 2005,na jinsi alivyokuwa akihangaika kusaka attention kwa kuanzisha vijarida vilivyoishia kufa vifo vya asili (Gozi Spoti na sasa hilo Kwanza Jamii).Alidhani vijarida hivyo vingeweza kutumika kama forums nzuri ya kutughilibu lakini Inshallah Mungu hafichi mnafiki.

Pengine anatarajia japo u-DC baada ya kusahauliwa na JK mwaka 2005-2010....but my advice is to just ignore him.Best way to deal with attention seekers is to ignore them.Kama hatujihangaishi kubishana na Malaria Sugu au TandaleOne (in which case either of them might actually be Mjengwa) kwanini basi tupoteze muda wetu kumfanikishia Mjengwa mission yake ya ku-divert attention yetu?
 
Na huyu anapigania demokrasia.....and so was Kagame, Hitler, Museveni etc...damn even Fodey Sankoh was..sijamuongelea Meles na mwenzie Aferweki

Mwaka huu kufa hamfi LAKINI chamoto mtakiona, days are numbered!
 
Ndugu Zangu,

Nimeona mada niliyoianzisha kwenye mjengwablog imeingizwa humu na wengi wameshiriki kuichangia, na mimi pia. Mada inasema " Nilichokiona Jana pale Mwembetogwa". Lakini ziada ya pale Mwembetogwa ni ukweli kuwa mwanzoni kabisa mwa hotuba yake, Dr Slaa alitoa kauli mbele ya umati ule. Kauli ambayo binafsi niliisikia na ilinishtua sana. Dr Slaa alisikika akitamka kuwa kuna kiongozi wa mkoa ( CHADEMA) ( Alimtaja jina) ambaye amehongwa na mgombea ubunge wa CCM jimbo lingine la Iringa ( naye alimtaja jina) ili asirudishe fomu zake. Dr Slaa akataka kiongozi huyo wa zamani wa CHADEMA apuuzwe na akitaka aende mahakamani.

Nadhani katika wakati huu kuna umuhimu wa kuwafahamu zaidi wagombea wetu. Na kumtakia mema Dr Slaa ni pamoja na kumwambia yale tunayoyaona ni mapungufu. Si kummwagia sifa tu. Maana, kwa kitendo kile, Dr Slaa kwa mtazamo wangu alimdhalilisha kiongozi yule wa CHADEMA mbele ya umati ule. Na bahati mbaya au nzuri kiongozi huyo wa CHADEMA alikuwapo. Kwa macho yangu nilimwona kiongozi huyo wa CHADEMA akishiriki kupiga makofi kuungana na umati uliokuwa ukishangilia kauli ya Dr Slaa. Masikini, kiongozi yule wa CHADEMA, bila shaka alipigwa na butwaa na hakuwa na la kufanya bali naye kupiga makofi!

Kwangu nilishtushwa na kusikitishwa sana. Bado naamini Dr Slaa hakumtendea haki kiongozi yule wa CHADEMA. Kama Dr Slaa alikuwa na ushahidi wa alichokisema, basi, hakuwa na haja ya kumtuhumu na kumtolea hukumu kiongozi yule pale hadharani. Kiongozi yule wa CHADEMA aliyehukumiwa hadharani ni mwanajamii hapa Iringa. Ameshapigwa mhuri mbaya bila hata kupewa fursa ya kujitetea. Kwa mzazi kama mimi naelewa jinsi kiongozi yule atakavyojisikia vibaya mbele ya familia yake, mke na watoto wake. Kwamba ametoka kwenye mkutano wa mgombea urais huku yeye akitajwa hadharani kuwa amehongwa asirudishe fomu.

CHADEMA wana vikao vyao, kwa kutanguliza busara wangeyamaliza ya kwao kwenye vikao vyao vya ndani, si hadharani. Na kama mgombea Urais, Dr Slaa anapaswa awe mfano wa kuheshimu utawala wa sheria. Hili ningelisema kama nilivyolisema hata kama lingefanywa na Kikwete wa CCM, Lipumba wa CUF au mgombea ye yote yule. Nisingelisikia nikalinyamazia. Kuandika ni kushauri pia. Tusingependa Dr Slaa apitishwe njia ya Mrema, ina miba na matope. Anayesoma na kuhusika na kilichoandikwa ana uhuru wa kupokea ushauri na kuufanyia kazi au kuachana nao. Nimechokoza mjadala....

Maggid,
Iringa.
Maggid,
Wakati mwalimu Nyerere alipoona mzee Malecela haendi vizuri wala hakusita kumtaja hadharani wakati huo Malecela akiwa waziri mkuu na hadharani hapo hapo akamshauri rais amuondoe madarakani na ikafanyika hivyo, ili kulinda heshima ya CHAMA. Na si hivyo tu alimtungia na kitabu na mpaka leo kinasomwa na kila mmoja. Kulinda heshima ya CHAMA.

Hii unayotaka kutuambia ni ubabaishaji uliotufikisha hapa tulipo. Mtu kafanya sabotage eti asisemwe hadharani? Mtu kashusha heshima ya chama sirini eti asisemwe hadharani? Wewe unajua heshima ya Dr Slaa imeletwaje? Kusema hadharani bila kificho. Ukiiba mali ya umma wasemwa hadharani, ebu niambie sasa, mbona yeye kasemwa hadharani kwa kisa cha mchumba? Acha hizo bana!

Na wewe Maggid wajuaje kwamba mpaka anamtaja hadharani bado vikao vya ndani vya chama havijafanyika? Ukifanya ujinga wacha jamii ikufahamu na hata watoto wako na familia yako wakufahamu na upate hukumu ya haki.
 
Nina hakika Maggid ameandika hii post si kwa utashi wake bali kuna msukosuko kaupata kutoka kwa makala yake ya "Nilichokiona Jana pale Mwembetogwa". Maggid aliongea kitu cha kweli kabisa kwenye makala yake kuwa hajawahi ona tokea 2004 umati wa watu kama ule kwenda kumsikiliza kiongozi yeyote zaidi ya Dr Slaa. Hapa anakili kuwa Dr. Slaa is charismatic and Tanzanians accept him as their next president.

Kutokana na michango iliyopatikana kwenye makala ile Maggid amefuatwa na strategists wa CCM kuwa alichoandika kinawaweka pabaya hasa litakapokuja suala la kuchakachua matokeo ya Kura. Hili limemtisha Maggid kwani naye kama binadamu ana nyongo hivyo ni lazima aangalie jinsi ya kuishi kwenye nchi ya kidictactor bila kugusa masilahi ya madictactor kwani wanaweza mshughulikia kama msemo wao waliouzoea.

Maggid kakaa chini kaona aje na stori ya kuchakachua ile makala yake ya mwanzo na kwa taabu akapata kitu ambacho kwake yeye kaona ni "weakness" badala ya "strength" of Dr Slaa. Hapa kweli hata yeye anajua kuwa kakosea na kama ana ID yoyote humu ndani ambayo si "Maggid" basi ninahisi naye ni katika waliochangia kuishambulia post yake hii.

Maggid amesahau kuwa JK na EL walikuwa wanawafukuza wafanyakazi wa serikali mbele ya watu (e.g Yule engineer wa Temeke wakati jengo lilipo fail), Makamba kadhalilisha sana watendaji wa mkoa alipokuwa RC wa Dar es Salaam, lakini yote haya Maggid kayasahau kwa kuwa anataka kunusuru sura yake mbele ya dictactors & tyrannies in the face of Serikali ya Tanzania.

Style hii ya Dr Slaa ya kuweka wazi mambo mbele ya wananchi is the best you can do if the Gov is for the people and by the people. The Opposite is the tyrannies, crooks and dictators who always wants secrets for things which are pro bono. These are fisadis style, kila kitu vikao vya ndani ya chama humo ndani mnajadili nini? kama kitu kipo wazi?.

Pole Maggid ninajua nafsi yako is opposite to what you have written but, be strong don't fear the dictactors because their days are numbered, sooner or later CCM will be out of power.
 
Ama kweli kipendacho moyo! chongo huliita kengeza.
Yaani nyote mumeshindwa kumwelewa Maggid.
Utawala wa kihuni na kupayuka payuka anaoukusudia Dkt Slaa si kwamba hatuutaki tu bali haufai popote duniani. Hata Mrema alijaribu akashindwa.
Lakini huyu jamaa hashindwi na wala haoni vibaya na hilo.Ikiwa ameweza kupora mke wa mtu na kumshika mkono mbele ya umati akimdhalilisha mumewe,atashindwa na hilo?.
Mkuu naona unatumia alama za freemassonary. Slaa akiingia madarakani, masuala ya wanajimu na ulinzi wa majini hautakuwa na nafasi tena. Jiandae tu na kimbembe cha kukosa ajira.
 
Ndugu zangu

So far,malengo ya Mjengwa yanaelekea kutimia: KU-DIVERT ATTENTION YETU.Hivi hakuna anayejiuliza kwamba kwanini ghafla huyu jamaa kahamisha nguvu zake kutoka kwenye kiblogu chake cha picha na kijarida mfu cha Kwanza Jamii (kilichozaliwa baada ya kifo cha asili cha Gozi Spoti) na kuja kwa KASI ZAIDI,ARI ZAIDI na NGUVU ZAIDI hapa JF huku mada zake zikilenga TUMJADILI YEYE BADALA YA KIKWETE NA MAFISADI WENZIE WA CCM?

Sidhani kama Mjengwa ni msahaulifu as such bali anajua sana anachofanya i.e ku-earn kihalali ujira wake.This is the same person ambaye jana "alitoa hukumu" kwa Chadema,CUF na CCM huku akijipa majukumu ya Jaji Lewis Makame kutangaza matokeo ya uchaguzi huo kabla hata ya siku ya kupiga kura.Leo anajifanya kasahau na kumtaka Dokta Slaa asimhukumu mgombea fisadi.Hili sio la kushangaza kwa "mwandishi" ambaye hajawahi kuona mapungufu,udhaifu au ubovu wa Jakaya Kikwete kwa muda wote ambao amekuwa madarakani.Kutarajia Mjengwa azungumzie list of shame,EPA,Richmond,Kagoda,Meremeta,etc ni sawa na kutarajia Kikwete aite independent health specialists wa kumpima afya yake na kuiweka hadharani.Au ni sawa na kutarajia Makamba aitishe press conference na kutueleza kwanini alifikuzwa ualimu zamani hizo.

Najua ni vigumu kuwapuuza watu wa aina ya Mjengwa lakini kwa vile tupo katika mapambano muhimu kwa future yetu na vizazi vijavyo basi yatupasa tuelekeze zaidi focus na nguvu zetu kwenye mapamabano hayo na kuwapuuza the Mjengwas.Tunapaswa kukumbuka kuwa wenzetu hawa wapo kazini,na ujira wao unategemea sana impact ya wanavyotekeleza maagizo ya waliowatuma.

Lakini kwa upande mwingine angalau kadri Mjengwa anavyojibidiisha kama attention seeker (i.e. attention ya mafisadi na yetu pia) ndivyo anavyowasaidia wale waliokuwa hawamjui vizuri "mwanafilosofia" huyu.Sie wengine tulishamfahamu mapema tangu alipoanza "kuteleza" kabla ya uchaguzi wa mwaka 2005,na jinsi alivyokuwa akihangaika kusaka attention kwa kuanzisha vijarida vilivyoishia kufa vifo vya asili (Gozi Spoti na sasa hilo Kwanza Jamii).Alidhani vijarida hivyo vingeweza kutumika kama forums nzuri ya kutughilibu lakini Inshallah Mungu hafichi mnafiki.

Pengine anatarajia japo u-DC baada ya kusahauliwa na JK mwaka 2005-2010....but my advice is to just ignore him.Best way to deal with attention seekers is to ignore them.Kama hatujihangaishi kubishana na Malaria Sugu au TandaleOne (in which case either of them might actually be Mjengwa) kwanini basi tupoteze muda wetu kumfanikishia Mjengwa mission yake ya ku-divert attention yetu?

The Following User Says Thank You to Mlalahoi For This Useful Post: https://www.jamiiforums.com/member.php?u=9456

Ndege ya Uchumi (Today)
 
Kinachomsumbua Mjengwa ni njaa tu.......Ukiwa na njaa huna mawazo huru!
Kama kazi ya kuandika balanced news umeshindwa muombe Muhingo uingie kwenye Team ya Campaign!
 
Maggid yuko kimyaaaaaaaaa!!!!!!!!!! najua yupo hapa JF anasoma michango yenu Kimyaaaaaaaaaaa na anaweza asiseme kitu kabisaaaaaaaaaa maana anajua hila zake ziko nje
 
Kinachomsumbua Mjengwa ni njaa tu.......Ukiwa na njaa huna mawazo huru!
Kama kazi ya kuandika balanced news umeshindwa muombe Muhingo uingie kwenye Team ya Campaign!

Mkuu unawaumbua vijana hivi hivi ... damn! Ni sawa na timu moja ambayo inafadhiliwa na tajiri moja akifa na team imekufa.
 
Mr Mjengwa, in the past you were activist blogger openly supporting CUF. I don't know what has happened to your relationship with CUF. I see you are indirectly trying to infiltrate CCM by bashing Dr Slaa. No way!
CCM supporters do not like your tricks and we condone your low class behavior.
You better stick with what you write and believe in your nonesense and useless blog. All you write and post in your cheap blog is telling people "ooh I was in Sweden, ooh This morning I was in Moro, Oooh I was in KLM flight etc"...who cares or give a sh-it!
Unlike your cheap blog, this is JF where everybody is allowed to express his/her thoughts.
My advice to you: Do keep taking those funny street photos about things or events that make no sense and continue to write those dumb poems of yours.
This is not a blog for small minded and dumb folks like you. JF is open for everybody.
Please do not come here. Don't even come to Dar. Stay in Iringa. Stay with CUF or TLP!
Vote CCM
 
Maggid,
Mkuu wangu nadhani sasa hivi ndio unacheza mchezo wa kihuni kabisa kama ule ulotuhadithia kule Ilala ulipokuwa ukirudi na kundi lako wakati watu wengine wanakwenda mpirani uwanja wa Karume, ili mradi tu usikie watu wakijiuliza kama mpira umeahirishwa. Sasa matokeo ya vitu kama hivi ni kwamba watu wanapoteza muda wao kufikiri kama mlivyopoteza wenyewe.

Nina hakika siku hiyo, mlipofika Uwanjani mlikuta watu kibao wamewatangulia na hamkupata seat ambazo mngezipata kama mngekwenda moja kwa moja pasipo mchezo wa kihuni ambao haukuwa na matunda yeyote zaidi ya kusikia watu wakijiuliza kama Mpira umeahirishwa au laa.

Kimoja tu labda nikufahamishe kwamba uwanja huu sii sawa na wale watu ulowakuta huko Ilala, ni mkubwa kuliko fikra zako kwani Dr.Slaa kufanya hayo alofanya ndio haswa wananchi wanataka kiongozi ambaye hawezi kumbeba mtu kwa sababu yupo chama kimoja, ndugu au mshikaji. Unasema machafu yake hata mbele ya babake, kama Nyerere alivyokuwa akiwatoa nishai viongozi walioharibu..Mabadiliko wanayoyataka wananchi ni pamoja na uwezo wa kiongozi kuwa mkali na mwenye kukemea nyendo za kiasherati..

Na pengine wewe ungejiuliza zaidi kwa nini kiongozi wa chama afikie kukubali kuhongwa na chama kingine ili asiwasilishe form yake. Huyu mtu tunamhitaji kweli hata kufikia kuficha maovu yake..Unapocheza na uhai wa chama inatakiwa utolewe na wananchi wajue kilichokupata kwani kesho huyu huyu mkuilu atakuja sema amerudi CCM kwa sababu Chadema wana mapungufu kadhaa wakadhaa na watu kama wewe mkaamini. Sasa maadam katolewa ubaya wake hawezi kusingizia kitu chochote abakie na aibu yake na hata huko CCM kwenyewe hawatampokea zaidi ya kumwona mchawi tu.
 
Mjengwa umeanza tena mjomba!! hutulii??

Utake usitake Mwaka huu ccm kazi kwenu cha moto mtakiona. Wewe tunakujua tangu mwanzo ni CCM. Usitudanganye bwana! eti hata kama angelisema Kikwete ungemwambia wewe huyu????

Ndugu Zangu,

Nimeona mada niliyoianzisha kwenye mjengwablog imeingizwa humu na wengi wameshiriki kuichangia, na mimi pia. Mada inasema " Nilichokiona Jana pale Mwembetogwa". Lakini ziada ya pale Mwembetogwa ni ukweli kuwa mwanzoni kabisa mwa hotuba yake, Dr Slaa alitoa kauli mbele ya umati ule. Kauli ambayo binafsi niliisikia na ilinishtua sana. Dr Slaa alisikika akitamka kuwa kuna kiongozi wa mkoa ( CHADEMA) ( Alimtaja jina) ambaye amehongwa na mgombea ubunge wa CCM jimbo lingine la Iringa ( naye alimtaja jina) ili asirudishe fomu zake. Dr Slaa akataka kiongozi huyo wa zamani wa CHADEMA apuuzwe na akitaka aende mahakamani.

Nadhani katika wakati huu kuna umuhimu wa kuwafahamu zaidi wagombea wetu. Na kumtakia mema Dr Slaa ni pamoja na kumwambia yale tunayoyaona ni mapungufu. Si kummwagia sifa tu. Maana, kwa kitendo kile, Dr Slaa kwa mtazamo wangu alimdhalilisha kiongozi yule wa CHADEMA mbele ya umati ule. Na bahati mbaya au nzuri kiongozi huyo wa CHADEMA alikuwapo. Kwa macho yangu nilimwona kiongozi huyo wa CHADEMA akishiriki kupiga makofi kuungana na umati uliokuwa ukishangilia kauli ya Dr Slaa. Masikini, kiongozi yule wa CHADEMA, bila shaka alipigwa na butwaa na hakuwa na la kufanya bali naye kupiga makofi!

Kwangu nilishtushwa na kusikitishwa sana. Bado naamini Dr Slaa hakumtendea haki kiongozi yule wa CHADEMA. Kama Dr Slaa alikuwa na ushahidi wa alichokisema, basi, hakuwa na haja ya kumtuhumu na kumtolea hukumu kiongozi yule pale hadharani. Kiongozi yule wa CHADEMA aliyehukumiwa hadharani ni mwanajamii hapa Iringa. Ameshapigwa mhuri mbaya bila hata kupewa fursa ya kujitetea. Kwa mzazi kama mimi naelewa jinsi kiongozi yule atakavyojisikia vibaya mbele ya familia yake, mke na watoto wake. Kwamba ametoka kwenye mkutano wa mgombea urais huku yeye akitajwa hadharani kuwa amehongwa asirudishe fomu.

CHADEMA wana vikao vyao, kwa kutanguliza busara wangeyamaliza ya kwao kwenye vikao vyao vya ndani, si hadharani. Na kama mgombea Urais, Dr Slaa anapaswa awe mfano wa kuheshimu utawala wa sheria. Hili ningelisema kama nilivyolisema hata kama lingefanywa na Kikwete wa CCM, Lipumba wa CUF au mgombea ye yote yule. Nisingelisikia nikalinyamazia. Kuandika ni kushauri pia. Tusingependa Dr Slaa apitishwe njia ya Mrema, ina miba na matope. Anayesoma na kuhusika na kilichoandikwa ana uhuru wa kupokea ushauri na kuufanyia kazi au kuachana nao. Nimechokoza mjadala....

Maggid,
Iringa.
 
ndugu zangu,

nimeona mada niliyoianzisha kwenye mjengwablog imeingizwa humu na wengi wameshiriki kuichangia, na mimi pia. Mada inasema " nilichokiona jana pale mwembetogwa". Lakini ziada ya pale mwembetogwa ni ukweli kuwa mwanzoni kabisa mwa hotuba yake, dr slaa alitoa kauli mbele ya umati ule. Kauli ambayo binafsi niliisikia na ilinishtua sana. Dr slaa alisikika akitamka kuwa kuna kiongozi wa mkoa ( chadema) ( alimtaja jina) ambaye amehongwa na mgombea ubunge wa ccm jimbo lingine la iringa ( naye alimtaja jina) ili asirudishe fomu zake. Dr slaa akataka kiongozi huyo wa zamani wa chadema apuuzwe na akitaka aende mahakamani.

Nadhani katika wakati huu kuna umuhimu wa kuwafahamu zaidi wagombea wetu. Na kumtakia mema dr slaa ni pamoja na kumwambia yale tunayoyaona ni mapungufu. Si kummwagia sifa tu. Maana, kwa kitendo kile, dr slaa kwa mtazamo wangu alimdhalilisha kiongozi yule wa chadema mbele ya umati ule. Na bahati mbaya au nzuri kiongozi huyo wa chadema alikuwapo. Kwa macho yangu nilimwona kiongozi huyo wa chadema akishiriki kupiga makofi kuungana na umati uliokuwa ukishangilia kauli ya dr slaa. Masikini, kiongozi yule wa chadema, bila shaka alipigwa na butwaa na hakuwa na la kufanya bali naye kupiga makofi!

Kwangu nilishtushwa na kusikitishwa sana. Bado naamini dr slaa hakumtendea haki kiongozi yule wa chadema. Kama dr slaa alikuwa na ushahidi wa alichokisema, basi, hakuwa na haja ya kumtuhumu na kumtolea hukumu kiongozi yule pale hadharani. Kiongozi yule wa chadema aliyehukumiwa hadharani ni mwanajamii hapa iringa. Ameshapigwa mhuri mbaya bila hata kupewa fursa ya kujitetea. Kwa mzazi kama mimi naelewa jinsi kiongozi yule atakavyojisikia vibaya mbele ya familia yake, mke na watoto wake. Kwamba ametoka kwenye mkutano wa mgombea urais huku yeye akitajwa hadharani kuwa amehongwa asirudishe fomu.

Chadema wana vikao vyao, kwa kutanguliza busara wangeyamaliza ya kwao kwenye vikao vyao vya ndani, si hadharani. Na kama mgombea urais, dr slaa anapaswa awe mfano wa kuheshimu utawala wa sheria. Hili ningelisema kama nilivyolisema hata kama lingefanywa na kikwete wa ccm, lipumba wa cuf au mgombea ye yote yule. Nisingelisikia nikalinyamazia. Kuandika ni kushauri pia. Tusingependa dr slaa apitishwe njia ya mrema, ina miba na matope. Anayesoma na kuhusika na kilichoandikwa ana uhuru wa kupokea ushauri na kuufanyia kazi au kuachana nao. Nimechokoza mjadala....

Maggid,
iringa.


toa pia mapungufu ya jk, ushauri wa bure, andika kuhusu riz 1, alivyotimuliwa iringa, wakati akitaka ku2mia shule kufanya kampeni, andika makala kwenye raia mwema,
 
eh kiherehere! eh kuherehere! duh kiherehere! kiherehere! aiseee kiherehere! nambari one kiherehere! mafisadi viherehere!
 
Back
Top Bottom