Kilichonitokea leo kwa muuza karanga

Kilichonitokea leo kwa muuza karanga

Mzawa Nation

Member
Joined
Feb 15, 2017
Posts
50
Reaction score
53
Kuna muuza karanga kanifanyia umafia hadi nimejishangaa maana Nilikua najiamini kuwa me born town. Nimenunua Kwake karanga za 100 kumbe mfukoni nilikua na msimbazi moja tu.

Basi ameniomba nimsubiri akatafute change me nibaki na kapu lake la karanga. Sasa ni masaa mawili tangu aondoke hajarudi. Nimepiga hesabu karanga zilizopo ni za 10,000 kwa hiyo hapa ndo nimeanza kuzitembeza ili nirudishe ten yangu. Maisha haya* jamani
 
Hahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahaahhahahahahahahahahahahahaahahahahahahahhahhahahahahahahahahahahahaahahahahhahahahahahah
 
Pole Mkuu,siku hizi lazima kuwa mwangalifu sanasana kwenye haya mambo ya fedha Na manunuzi..hapo labda hizo karanga hazifiki hata elfu tano ameuza jumla.
 
Kuna muuza karanga kanifanyia umafia hadi nimejishangaa maana Nilikua najiamini kuwa me born town. Nimenunua Kwake karanga za 100 kumbe mfukoni nilikua na msimbazi moja tu. Basi ameniomba nimsubiri akatafute change me nibaki na kapu lake la karanga. Sasa ni masaa mawili tangu aondoke hajarudi. Nimepiga hesabu karanga zilizopo ni za 10,000 kwa hiyo hapa ndo nimeanza kuzitembeza ili nirudishe ten yangu. Maisha haya* jamani
Duh,tutupie pic tukuone nahilo kapu km umependezaa ay lah
 
Pole Mkuu,siku hizi lazima kuwa mwangalifu sanasana kwenye haya mambo ya fedha Na manunuzi..hapo labda hizo karanga hazifi hata elfu tano ameuza jumla.

Ahahahaha
Leo nmepatikana mkuu
Watu wanaokuja wanakaz ya kuonja tuu [emoji15][emoji15][emoji15]
 
Huyo muuza karanga nae LOFA, hajaweka mahesabu ya ungo/kapu lake. So....ww bado ni wa born town, wala usiwaze.
 
Duh,tutupie pic tukuone nahilo kapu km umependezaa ay lah

Daah!! Kaka nmechoka
Hapa nmekaa nasubir na mm mtu aje na buku ten ili nifanye kam nilivyofanyiwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Chakushangaza sas kila mteja anakuja na 100 tu
 
Back
Top Bottom