Kilichonivutia kwa uchunguzi wa polisi juu ya Hamza

Wamesahau kwamba ukiwa muongo basi usiwe msahaulifu! Wamesahau waliyoyakoroga mengi sana huko nyuma!
 
Mungu akiamua kumuumbua mtu ni sekunde tu,tunakoelekea ni kuzuri sana
 
Tukubali yaishe na tuendelee na mengine,hakuna umuhimu wa kulumbana.
Tunatakiwa kuwatwii walioko madarakani,mengine tumuachie aliye umba mbingu na nchi.
Tungewatii wakoloni wazungu leo tungekuwa mbali sana. Hawa wakoloni weusi, hata ukiwatii haitakusaidia.
 
Mimi sina shaka hata kidogo na Uwezo wa kiuchunguzi wa Jeshi letu la POLISI kwenye maswala ya uchungu ni moja ya Majeshi bora sana duniani na inawataalamu na vifaa vya hali ya juu sana vya kiuchunguzi .Tatizo linakuja pale wanasiasa wanapoliingilia na kutaka wafanye vile wanavyotaka wao ndipo hapo watu wanaliona kama vile ni Jeshi la Hivyo .ila ni Jeshi zuri sana kama litapata wanasiasa wazuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…