Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
🤣Umesahau kimara temboni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣Umesahau kimara temboni
Najua basi ndugu yanguTunachangia wapi ndugu? Nani anakusanya?😅
Lahaulaaa! Dah! Inji hii..... 😠ðŸ˜Rudisheni kwanza zile pesa zilizochangwa za tetemeko la Kagera/Bukoba ndio mtuambie tuchange tena za Manyara. Maana mpaka leo za tetemeko hazijawafikia wahanga.
CC: Machawa wote wa mama.Punguza wivu utakufa na pressure ndugu mvua zimeanza tulime, kwa kufauta maelekezo ya watalamu wa kilimo, ili mwakani kipindi cha mwezi wa saba wa nane tuuze na sisi twende Dubai inawezekama kabisa
unawaamini hawa watu?Najua basi ndugu yangu
Ila kuna watu humu huwa wanachangisha kwa wahitaji
Nasubiri
Nikushtue au
Sanaunawaamini hawa watu?
Unapata wapi imani nao? Watatupiga hawaSana
Ipo siku ntakutafuta usijali na usiogope msaada ukaenda pengine sawaSana
Hapana wala usiogope ni watu na heshima zao na hawana njaa na Imani zimewajaa teleUnapata wapi imani nao? Watatupiga hawa
Ninashukuru kwa msimamo huo. Lazima zifikwe. Shida ni nani wa kuhkikisha zimefika na taarifa kamilifu itolewe. SI kufa kufaana tu hapa. Nchi hii ngumu. Gari inapata ajali watu wanawaibia marehemu.Kwanini zisifike lazima jitahada wafanye zifike
Haya mambo ya kusema sijui mungu atakubariki ,kama umetoa na zisifike
Wale waroho walaji hata hawajali
Msemo huo
Pesa kama zitachangwa lazima zifike
Ova