Kilichopo nyuma ya pazia Mo Dewji kuonekana kuidai Simba mabilioni ya pesa

Kilichopo nyuma ya pazia Mo Dewji kuonekana kuidai Simba mabilioni ya pesa

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Kwa sasa hali ya hewa ndani ya Simba sc haipo sawa baada yakuibuka madai tofautofauti juu ya Muwekezaji wao Mo Dewji kuidai Simba pesa zake ambazo alikuwa anazitoa nje ya mkataba wake wa uwekezaji wa Bilioni 20.

Hayo yalibainishwa Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba upande wa Wanachama CPA Issa Masoud
"Lakini cha ajabu kilichotokea ni kwamba tuliletewa taarifa kwenye kamati yetu ya ukaguzi,kwamba fedha zote Mo alikuwa anatoa za kununua mchicha,kandambili,boxer za wachezaji zozote alizotoa kwenye Simba sport club anazidai na alielekeza zibadilishwe na ziwe mtaji wake ambao anatakiwa autoe SImba sc,kama ni ishu ya kukopa hizo hela kwani lazima tukope kwa Mo taasisi za fedha si sipo nyingi tunaweza tukakopa,kwanza kama ni mkopo aujafata taratibu"

sasa ukilitazama hili jambo inaonyesha ni vita kwa kimasilai ndani ya Simba ambayo ipo na imefikia hatua mwenye nguvu kutumia nguvu aliyokuwa nayo ili apate faida yeye kiukweli ni kwamba Mo Dewji anaitaka Simba iwe yake yani aimiliki yeye kila kitu,sasa inaonekana amezungumza na viongozi wake ndani ya Simba inaonyesha ajapata majibu mazuri na kuna mgawanyiko kuna wale wanaotaka Simba iwe mazima kwa Bw Mo na kuna wengi awataki iwe kwa Mo .

Hii sasa Mo anaamua kutumia njia nyingine ili afanikishe jambo lake,na mara kadhaa Mo Dewji kwenye mahojiano na vyombo vya habari amewahi kusema miongoni mwa jambo kubwa ambalo amaelifanya ni kuinunua Simba Sc.

Kupitia kauli hii na nyingine za Bw Mo Dewji inaonyesha wazi anaitaka Simba iwe timu yake kama ilivyo Azam fc.

Mimi naachia hapo!

Pia Soma: Kimeumana: Mo ameanza kudai Hadi pesa zilizonunua mchicha, ndala na boxer za wachezaji


images.jpg
 
Ni vile mnafanya vibaya ila wakati Simba anashinda makombe 4 mfululizo mashabiki wote walikuwa upande wa Mo wengine walikuwa tayari hata kuona anapewa Simba mazima wao wabaki kushabikia ila Sasa mambo si shwari ndio anaonekana hatoi pesa mara anasajili vibaya
Anyway msimu ujao ni hapohapo 3
 
Kwa sasa hali ya hewa ndani ya Simba sc haipo sawa baada yakuibuka madai tofautofauti juu ya Muwekezaji wao Mo Dewji kuidai Simba pesa zake ambazo alikuwa anazitoa nje ya mkataba wake wa uwekezaji wa Bilioni 20.

Hayo yalibainishwa Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba upande wa Wanachama CPA Issa Masoud
"Lakini cha ajabu kilichotokea ni kwamba tuliletewa taarifa kwenye kamati yetu ya ukaguzi,kwamba fedha zote Mo alikuwa anatoa za kununua mchicha,kandambili,boxer za wachezaji zozote alizotoa kwenye Simba sport club anazidai na alielekeza zibadilishwe na ziwe mtaji wake ambao anatakiwa autoe SImba sc,kama ni ishu ya kukopa hizo hela kwani lazima tukope kwa Mo taasisi za fedha si sipo nyingi tunaweza tukakopa,kwanza kama ni mkopo aujafata taratibu"

sasa ukilitazama hili jambo inaonyesha ni vita kwa kimasilai ndani ya Simba ambayo ipo na imefikia hatua mwenye nguvu kutumia nguvu aliyokuwa nayo ili apate faida yeye kiukweli ni kwamba Mo Dewji anaitaka Simba iwe yake yani aimiliki yeye kila kitu,sasa inaonekana amezungumza na viongozi wake ndani ya Simba inaonyesha ajapata majibu mazuri na kuna mgawanyiko kuna wale wanaotaka Simba iwe mazima kwa Bw Mo na kuna wengi awataki iwe kwa Mo .

Hii sasa Mo anaamua kutumia njia nyingine ili afanikishe jambo lake,na mara kadhaa Mo Dewji kwenye mahojiano na vyombo vya habari amewahi kusema miongoni mwa jambo kubwa ambalo amaelifanya ni kuinunua Simba Sc.

Kupitia kauli hii na nyingine za Bw Mo Dewji inaonyesha wazi anaitaka Simba iwe timu yake kama ilivyo Azam fc.

Mimi naachia hapo!


View attachment 3013826

 
Mo ni tapeli Ila wanachama wa Simba ni mbumbumbu waliwezaje kumpitisha mwekezaji mmoja wakati Sheria inasemaje wawekezaji wasipunguzane

Kabla ya kumuita MO tapeli na kutujumuisha mashabiki wote wa Simba kwenye hilo tusi lako ulitakiwa kuweka kumbukumbu zako sawa kwanza.

Hiyo sheria ya BMT ilitungwa na serikali mwaka 2017 wakati tayari Club ya Simba imeingia Mkataba na MO.

Simba ilitumia kanuni ya mwaka 1999.

Hilo swala lilijadiliwa na kuafikiwa kuwa sheria ya kugawa 49% kwa wawekezaji zaidi ya watatu itaanza kufanyika baada ya Simba kumalizana na MO.

Au vilabu vingine ambavyo kwa wakati huo vilikuwa bado havijaingia mkataba na mwekezaji.
 
Kabla ya kumuita MO tapeli na kutujumuisha mashabiki wote wa Simba kwenye hilo tusi lako ulitakiwa kuweka kumbukumbu zako sawa kwanza.

Hiyo sheria ya BMT ilitungwa na serikali mwaka 2017 wakati tayari Club ya Simba imeingia Mkataba na MO.

Simba ilitumia kanuni ya mwaka 1999.

Hilo swala lilijadiliwa na kuafikiwa kuwa sheria ya kugawa 49% kwa wawekezaji zaidi ya watatu itaanza kufanyika baada ya Simba kumalizana na MO.

Au vilabu vingine ambavyo kwa wakati huo vilikuwa bado havijaingia mkataba na mwekezaji.
Haya nenda MeTL kachukue posho yako
 
Ni vile mnafanya vibaya ila wakati Simba anashinda makombe 4 mfululizo mashabiki wote walikuwa upande wa Mo wengine walikuwa tayari hata kuona anapewa Simba mazima wao wabaki kushabikia ila Sasa mambo si shwari ndio anaonekana hatoi pesa mara anasajili vibaya
Anyway msimu ujao ni hapohapo 3
Aaahaaa

Warudishe Hela zake za boksa
 
Glezabhai akabidhiwe timu yake alishainunua miaka mitano iliyopita, hakuna wa kumlipa hela anayodai
 
Kabla ya kumuita MO tapeli na kutujumuisha mashabiki wote wa Simba kwenye hilo tusi lako ulitakiwa kuweka kumbukumbu zako sawa kwanza.

Hiyo sheria ya BMT ilitungwa na serikali mwaka 2017 wakati tayari Club ya Simba imeingia Mkataba na MO.

Simba ilitumia kanuni ya mwaka 1999.

Hilo swala lilijadiliwa na kuafikiwa kuwa sheria ya kugawa 49% kwa wawekezaji zaidi ya watatu itaanza kufanyika baada ya Simba kumalizana na MO.

Au vilabu vingine ambavyo kwa wakati huo vilikuwa bado havijaingia mkataba na mwekezaji.
Samahani Mkuu, sheria ya 49% kwa Wawekezaji Watatu imeanza kutumika mwaka gani?
 
Kwa sasa hali ya hewa ndani ya Simba sc haipo sawa baada yakuibuka madai tofautofauti juu ya Muwekezaji wao Mo Dewji kuidai Simba pesa zake ambazo alikuwa anazitoa nje ya mkataba wake wa uwekezaji wa Bilioni 20.

Hayo yalibainishwa Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba upande wa Wanachama CPA Issa Masoud
"Lakini cha ajabu kilichotokea ni kwamba tuliletewa taarifa kwenye kamati yetu ya ukaguzi,kwamba fedha zote Mo alikuwa anatoa za kununua mchicha,kandambili,boxer za wachezaji zozote alizotoa kwenye Simba sport club anazidai na alielekeza zibadilishwe na ziwe mtaji wake ambao anatakiwa autoe SImba sc,kama ni ishu ya kukopa hizo hela kwani lazima tukope kwa Mo taasisi za fedha si sipo nyingi tunaweza tukakopa,kwanza kama ni mkopo aujafata taratibu"

sasa ukilitazama hili jambo inaonyesha ni vita kwa kimasilai ndani ya Simba ambayo ipo na imefikia hatua mwenye nguvu kutumia nguvu aliyokuwa nayo ili apate faida yeye kiukweli ni kwamba Mo Dewji anaitaka Simba iwe yake yani aimiliki yeye kila kitu,sasa inaonekana amezungumza na viongozi wake ndani ya Simba inaonyesha ajapata majibu mazuri na kuna mgawanyiko kuna wale wanaotaka Simba iwe mazima kwa Bw Mo na kuna wengi awataki iwe kwa Mo .

Hii sasa Mo anaamua kutumia njia nyingine ili afanikishe jambo lake,na mara kadhaa Mo Dewji kwenye mahojiano na vyombo vya habari amewahi kusema miongoni mwa jambo kubwa ambalo amaelifanya ni kuinunua Simba Sc.

Kupitia kauli hii na nyingine za Bw Mo Dewji inaonyesha wazi anaitaka Simba iwe timu yake kama ilivyo Azam fc.

Mimi naachia hapo!

Pia Soma: Kimeumana: Mo ameanza kudai Hadi pesa zilizonunua mchicha, ndala na boxer za wachezaji


View attachment 3013826
Alisema 5imba ni mke wake wa pili.
 
Back
Top Bottom