Kilichopo nyuma ya pazia Wema Sepetu kujiunga na Wasafi

Numbisa Hukuwai Sema Kitu Cha Uwongo

Ngoja Tuone
 
Huu ushenz unanichukiza sana

Clouds Ni ccm
Wasafi TV Ni ccm

Siku wakiamua kuweka tofaut zao pembeni wanamabadiliko tutabak tumeduwaa tu

Tuzikatae zote hizo media za mabadiliko Ni Itv na ipp angalau na azam anajtahid kwa umbali

Huwez kyshuhudia mijadala ya kipuuzi Itv km wanavyofanya Hao clouds
 
Una logic mkuu,upinzani ni wakati sasa wa kuwa na mkakati wa kuwa agenda kwenye media na sio kuyaaachia maccm yatambe
 
Umetumia vigezo gani mpaka kuaminisha watu kutwa zari na mond wameachana mazima?
 
Hizi ni propaganda za clouds dhidi ya wasafi kama kawaida yao wasiotaka kushindwa.Mondi goooo ni muda wako huu
 
mshana jr nilisikia kuwa Zari as a bisnesswoman alitamani kumcontrol na kumnyanyua Dai ila kikwazo kilikuwa mtu mmoja ambaye ndiye alikuwa anammilk Dai tumuite R. R kina anapoona Zari anajidhatiti, yeye anamleta Wema na kuonesha wanarudiana na Dai. Kawa vile Zari ana wivu sana, inabidi awe busy na kuhakikisha Wema hasogelei Dai na dili za R zinapeta. Je, haiwezekani ukawa ni mkakati wa R nao huo?
 

Ulishawahi kuona Zamaradi kapiga na Ruge kipindi wana-date
 
Kwahiyo unataka kusema Zari ni jina kubwa kuliko Diamond sio!!

Kama jibu lako ni NDIYO, unaweza kutujuza kabla ya uhusiano wa Zari na Diamond; Watanzania walikuwa wanamfahamu Zari kupitia nini hasa?!
 
Nini wewe unaniangalia kwa jicho la hasira namna hiyo, unanijua? Hunitishi na wala sikuogopi, rusha ngumi uuone mziki wake ulivyo mtamu
Mtaalamu wa mambo ya giza huyo atajua namna ya kukufanya
 
Uzuri ruge huwa haongei......
Nadhani muda Ndio utaamua na Ndio utakuja kuwa mwisho wa mmoja wapo!

Ruge ameshatukiswa sana na Ant- virus na Vinega Mara TID Mara Rubi na wengine Wengi!

Na wabongo huwa wanaushabiki wa muda hasa nikiangalia hao waliokuwa wanapambana na clouds walipongezwa sana ila muda Ndio uliamua!

Nadhani Diamond angefikiri vizuri na wanaomzunguka wangemshauri vizuri ila bahati mbaya hawaoni hili ingawa siungi mkono hicho ambacho huwa wanalamika kusema clouds inawanyonya( kama ni kweli)

Muda ni hakimu wa kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…