Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Watumishi wa TRA wengi (sio wote) kila mmoja kwa kitengo chake hutumia nafasi hiyo kujipatia pesa kinyume na taratibu. Serikali inakosa mapato kwasababu watumishi wa TRA na taasisi zingine wako busy kutafuta pesa.
Mmoja wa watumishi wa TRA ambaye kafariki ninafahamiana naye kiasi cha kuweza kupiga story mbili tatu, huwa ananisimulia issue zao nyingi tu za kupiga pesa
Hata usajili wa magari ya magumashi hufanywa na hao watumishi wa TRA kisha watumishi wengine wasiohusika na dili hilo hufuatilia na kumalizana kimyakimya.
Kama wangemkamata wangemalizana naye basi na wananchi kujua nini kinaendelea
Kila mmoja shahidi, Watanzania wengi leseni za vyombo vya moto tumepewa na watumishi wa TRA pasipo kuwa na sifa.
Kuna umuhimu wa serikali kuunda taasisi ya kufuatilia maadili , mienendo na utendaji wa taasisi za umma na watumishi wote nchini.
Hali ya rushwa na ufisadi ni kubwa sana kuliko watu wanavyodhani.
Mmoja wa watumishi wa TRA ambaye kafariki ninafahamiana naye kiasi cha kuweza kupiga story mbili tatu, huwa ananisimulia issue zao nyingi tu za kupiga pesa
Hata usajili wa magari ya magumashi hufanywa na hao watumishi wa TRA kisha watumishi wengine wasiohusika na dili hilo hufuatilia na kumalizana kimyakimya.
Kama wangemkamata wangemalizana naye basi na wananchi kujua nini kinaendelea
Kila mmoja shahidi, Watanzania wengi leseni za vyombo vya moto tumepewa na watumishi wa TRA pasipo kuwa na sifa.
Kuna umuhimu wa serikali kuunda taasisi ya kufuatilia maadili , mienendo na utendaji wa taasisi za umma na watumishi wote nchini.
Hali ya rushwa na ufisadi ni kubwa sana kuliko watu wanavyodhani.