MWONA MBALI
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 460
- 611
Ama kweli hali ni tete, leo katika harambee ya kuchangia ujenzi wa nyumba yetu ya ibada hali imekuwa tete.
tumeanza na Kuku Jogoo mkubwa tukitegemea ushindani uwe mkubwa kama tulivyozoea tukaweka makisio ya pengine litafika hadi laki tatu na zaidi ila limeishia kuchukuliwa na mwanasiasa kwa tsh.50,000/= mara baada ya kulitoa jogoo ambalo hata mwanasiasa wetu hakulirusha linadiwe tena imebidi tuahirishe mnada hadi wakati mwengine.
mnada umehudhuriwa na watu wachache isivyo kawaida.
Dalali wetu ni yule yule, mahali na muda ni wakawaida siku zote, sijui waumini wamekasirika nini!!!
Mungu atawaona ndugu waumini.
tumeanza na Kuku Jogoo mkubwa tukitegemea ushindani uwe mkubwa kama tulivyozoea tukaweka makisio ya pengine litafika hadi laki tatu na zaidi ila limeishia kuchukuliwa na mwanasiasa kwa tsh.50,000/= mara baada ya kulitoa jogoo ambalo hata mwanasiasa wetu hakulirusha linadiwe tena imebidi tuahirishe mnada hadi wakati mwengine.
mnada umehudhuriwa na watu wachache isivyo kawaida.
Dalali wetu ni yule yule, mahali na muda ni wakawaida siku zote, sijui waumini wamekasirika nini!!!
Mungu atawaona ndugu waumini.