Kilichotokea kwa Aziz Ki kimenifanya niamini kuwa asilimia kubwa ya wanawake wa kibongo wanatumia ndumba kwenye mahusiano

Kilichotokea kwa Aziz Ki kimenifanya niamini kuwa asilimia kubwa ya wanawake wa kibongo wanatumia ndumba kwenye mahusiano

Why does it matter to you if Aziz marries Hamisa or not?

You are not the one getting married, so why does it matter to you?

Your family is not paying for this wedding, so why does it matter to you?
Itakuwa wanaona anaharibu soko la ndoa, mabinti watataka dau kubwa la mahari.
 
ugonile,

Ntakua wa mwisho kuamini kuwa Aziz Ki kafanya maamuzi ya kufunga ndoa na Hamisa bila kupigwa juju

Wanawake wengi wa kibongo wanatabia kwamba wakipata mchumba au danga lenye vijisenti wanamwendea kwa mganga ili wasiachike, wapo tayari kuwashirikisha hata mama zao ilo suala ili mambo yaende sawa. nakumbuka nmewahi kuwa na demu kutokea mbeya huko alitaka kuniletea huu upuuzi nikagundua mapema nikampiga chini.

Wanawake wa kibongo wakipata jimbo jipya lenye vijisenti au lipo kitengo wapo radhi wakope pesa kikoba wafunge safari na shoga zao kutafuta mganga wa kuweza kuwasaidia kushikilia ilo jimbo pasina kutiliwa shaka wala vikwazo vyovyote.

Wanaume wenzangu tuweni makini sana na hawa dada zetu, kwa ambao mlikua hamjui ayo mambo naisi mmejionea wenyewe kupitia Aziz Ki.

imagine mahari eti fuso mbili za ng`ombe na kama haitoshi akaongeza tena pesa taslim milioni 30, aisee huu ni uchawi wa kiwango cha SGR

STAY ALERT.!
Nilipoona tu maharusi hawa wanaweka fingerprint zao kwenye zile plastic nyeupe nikaelewa tayari mwamba kashatekwa kwenye ulimwengu wa giza.
 
Nilipoona tu maharusi hawa wanaweka fingerprint zao kwenye zile plastic nyeupe nikaelewa tayari mwamba kashatekwa kwenye ulimwengu wa giza.
mwamba atakuja kukumbuka shuka jioni sana, uzuri kila dawa ina expire date
 
ugonile,

Ntakua wa mwisho kuamini kuwa Aziz Ki kafanya maamuzi ya kufunga ndoa na Hamisa bila kupigwa juju

Wanawake wengi wa kibongo wanatabia kwamba wakipata mchumba au danga lenye vijisenti wanamwendea kwa mganga ili wasiachike, wapo tayari kuwashirikisha hata mama zao ilo suala ili mambo yaende sawa. nakumbuka nmewahi kuwa na demu kutokea mbeya huko alitaka kuniletea huu upuuzi nikagundua mapema nikampiga chini.

Wanawake wa kibongo wakipata jimbo jipya lenye vijisenti au lipo kitengo wapo radhi wakope pesa kikoba wafunge safari na shoga zao kutafuta mganga wa kuweza kuwasaidia kushikilia ilo jimbo pasina kutiliwa shaka wala vikwazo vyovyote.

Wanaume wenzangu tuweni makini sana na hawa dada zetu, kwa ambao mlikua hamjui ayo mambo naisi mmejionea wenyewe kupitia Aziz Ki.

imagine mahari eti fuso mbili za ng`ombe na kama haitoshi akaongeza tena pesa taslim milioni 30, aisee huu ni uchawi wa kiwango cha SGR

STAY ALERT.!
USHAURI kwa eng wamuuze tu anapoelekea kengold inamsubiria kwa mkopo
 
Labda wanaona waoaji wenye mbwembwe kubwa mfano wa Azizi K wanaharibu soko lo ndoa kwa kupandisha juu sana maturation ya mabinti.
Hiyo ni inferiority complex na ushamba tu.

Yani mshamba Aziz Ki anawatia pressure washamba wa Bongo.

Wote washamba wamekutana.
 
Itakuwa wanaona anaharibu soko la ndoa, mabinti watataka dau kubwa la mahari.
Ukioa kwa mahari dunia ya leo ushapitwa na wakati na una tatizo kubwa sana zaidi ya Aziz Ki.

Someni hapo babu yenu alivyoiita mahari kitu kibaya sana.

"Nyerere describes bride prive as evil in posthumous bio"

 
ugonile,

Ntakua wa mwisho kuamini kuwa Aziz Ki kafanya maamuzi ya kufunga ndoa na Hamisa bila kupigwa juju

Wanawake wengi wa kibongo wanatabia kwamba wakipata mchumba au danga lenye vijisenti wanamwendea kwa mganga ili wasiachike, wapo tayari kuwashirikisha hata mama zao ilo suala ili mambo yaende sawa. nakumbuka nmewahi kuwa na demu kutokea mbeya huko alitaka kuniletea huu upuuzi nikagundua mapema nikampiga chini.

Wanawake wa kibongo wakipata jimbo jipya lenye vijisenti au lipo kitengo wapo radhi wakope pesa kikoba wafunge safari na shoga zao kutafuta mganga wa kuweza kuwasaidia kushikilia ilo jimbo pasina kutiliwa shaka wala vikwazo vyovyote.

Wanaume wenzangu tuweni makini sana na hawa dada zetu, kwa ambao mlikua hamjui ayo mambo naisi mmejionea wenyewe kupitia Aziz Ki.

imagine mahari eti fuso mbili za ng`ombe na kama haitoshi akaongeza tena pesa taslim milioni 30, aisee huu ni uchawi wa kiwango cha SGR

STAY ALERT.!
Yule Bi Sandra kama binadamu ana madhaifu yake lakini kwenye suala la kumlinda kijana wake anatakiwa kupewa pongezi. Diamond asingeweza kukwepa mishare ya hawa maslay queen bila ulinzi wa mama ake. Hata yule mtoto wa Hamisa inawezekana bi mkubwa ndio alimshtua diamond kwamba amepigwa.
 
Yule Bi Sandra kama binadamu ana madhaifu yake lakini kwenye suala la kumlinda kijana wake anatakiwa kupewa pongezi. Diamond asingeweza kukwepa mishare ya hawa maslay queen bila ulinzi wa mama ake. Hata yule mtoto wa Hamisa inawezekana bi mkubwa ndio alimshtua diamond kwamba amepigwa.
Siyo kwamba Bi Sandra anatiana na mwanwe kama masharti ya kusafisha nyota ya biashara ya muziki!!

Sidhani kama mama anamlinda ila ni wanapigana miti
 
Back
Top Bottom