Itakuwa wanaona anaharibu soko la ndoa, mabinti watataka dau kubwa la mahari.Why does it matter to you if Aziz marries Hamisa or not?
You are not the one getting married, so why does it matter to you?
Your family is not paying for this wedding, so why does it matter to you?
Nilipoona tu maharusi hawa wanaweka fingerprint zao kwenye zile plastic nyeupe nikaelewa tayari mwamba kashatekwa kwenye ulimwengu wa giza.ugonile,
Ntakua wa mwisho kuamini kuwa Aziz Ki kafanya maamuzi ya kufunga ndoa na Hamisa bila kupigwa juju
Wanawake wengi wa kibongo wanatabia kwamba wakipata mchumba au danga lenye vijisenti wanamwendea kwa mganga ili wasiachike, wapo tayari kuwashirikisha hata mama zao ilo suala ili mambo yaende sawa. nakumbuka nmewahi kuwa na demu kutokea mbeya huko alitaka kuniletea huu upuuzi nikagundua mapema nikampiga chini.
Wanawake wa kibongo wakipata jimbo jipya lenye vijisenti au lipo kitengo wapo radhi wakope pesa kikoba wafunge safari na shoga zao kutafuta mganga wa kuweza kuwasaidia kushikilia ilo jimbo pasina kutiliwa shaka wala vikwazo vyovyote.
Wanaume wenzangu tuweni makini sana na hawa dada zetu, kwa ambao mlikua hamjui ayo mambo naisi mmejionea wenyewe kupitia Aziz Ki.
imagine mahari eti fuso mbili za ng`ombe na kama haitoshi akaongeza tena pesa taslim milioni 30, aisee huu ni uchawi wa kiwango cha SGR
STAY ALERT.!
Hii ndoa imekuathiri kitu gani?acha mapepe
Kama anajua karogwa kwanini hamsaidii Tena anamjua hata aliye mlogaSasa ubaya uko wapi. Ikiwa aliyelogwa ni Aziz Ki ambaye hata kukufahamu hakufahamu.
mwamba atakuja kukumbuka shuka jioni sana, uzuri kila dawa ina expire dateNilipoona tu maharusi hawa wanaweka fingerprint zao kwenye zile plastic nyeupe nikaelewa tayari mwamba kashatekwa kwenye ulimwengu wa giza.
USHAURI kwa eng wamuuze tu anapoelekea kengold inamsubiria kwa mkopougonile,
Ntakua wa mwisho kuamini kuwa Aziz Ki kafanya maamuzi ya kufunga ndoa na Hamisa bila kupigwa juju
Wanawake wengi wa kibongo wanatabia kwamba wakipata mchumba au danga lenye vijisenti wanamwendea kwa mganga ili wasiachike, wapo tayari kuwashirikisha hata mama zao ilo suala ili mambo yaende sawa. nakumbuka nmewahi kuwa na demu kutokea mbeya huko alitaka kuniletea huu upuuzi nikagundua mapema nikampiga chini.
Wanawake wa kibongo wakipata jimbo jipya lenye vijisenti au lipo kitengo wapo radhi wakope pesa kikoba wafunge safari na shoga zao kutafuta mganga wa kuweza kuwasaidia kushikilia ilo jimbo pasina kutiliwa shaka wala vikwazo vyovyote.
Wanaume wenzangu tuweni makini sana na hawa dada zetu, kwa ambao mlikua hamjui ayo mambo naisi mmejionea wenyewe kupitia Aziz Ki.
imagine mahari eti fuso mbili za ng`ombe na kama haitoshi akaongeza tena pesa taslim milioni 30, aisee huu ni uchawi wa kiwango cha SGR
STAY ALERT.!
Hiyo ni inferiority complex na ushamba tu.Labda wanaona waoaji wenye mbwembwe kubwa mfano wa Azizi K wanaharibu soko lo ndoa kwa kupandisha juu sana maturation ya mabinti.
Ukioa kwa mahari dunia ya leo ushapitwa na wakati na una tatizo kubwa sana zaidi ya Aziz Ki.Itakuwa wanaona anaharibu soko la ndoa, mabinti watataka dau kubwa la mahari.
Ndo hapo sasa.Kama anajua karogwa kwanini hamsaidii Tena anamjua hata aliye mloga
🤣🤣Masharti ya kuboost yanakuwa magumu...mganga anaweza omba agegede na yeye
Huna wakubwa kwenu unatukana wazee?nyie wazee wa humu JF akili zenu zishaanza kuexpire
Aombe awe ameandikisha mali zake kwa jina la mama yake. Maana yeye kaingia mzima mzima tofauti na akina dai.Ngoja akizinduka atakimbia kuliko dai na mwenzie
Yule Bi Sandra kama binadamu ana madhaifu yake lakini kwenye suala la kumlinda kijana wake anatakiwa kupewa pongezi. Diamond asingeweza kukwepa mishare ya hawa maslay queen bila ulinzi wa mama ake. Hata yule mtoto wa Hamisa inawezekana bi mkubwa ndio alimshtua diamond kwamba amepigwa.ugonile,
Ntakua wa mwisho kuamini kuwa Aziz Ki kafanya maamuzi ya kufunga ndoa na Hamisa bila kupigwa juju
Wanawake wengi wa kibongo wanatabia kwamba wakipata mchumba au danga lenye vijisenti wanamwendea kwa mganga ili wasiachike, wapo tayari kuwashirikisha hata mama zao ilo suala ili mambo yaende sawa. nakumbuka nmewahi kuwa na demu kutokea mbeya huko alitaka kuniletea huu upuuzi nikagundua mapema nikampiga chini.
Wanawake wa kibongo wakipata jimbo jipya lenye vijisenti au lipo kitengo wapo radhi wakope pesa kikoba wafunge safari na shoga zao kutafuta mganga wa kuweza kuwasaidia kushikilia ilo jimbo pasina kutiliwa shaka wala vikwazo vyovyote.
Wanaume wenzangu tuweni makini sana na hawa dada zetu, kwa ambao mlikua hamjui ayo mambo naisi mmejionea wenyewe kupitia Aziz Ki.
imagine mahari eti fuso mbili za ng`ombe na kama haitoshi akaongeza tena pesa taslim milioni 30, aisee huu ni uchawi wa kiwango cha SGR
STAY ALERT.!
As a man, if you manage to control your lust and sexualy desires you will prevent 85% of problems in your lifeHamna cha ushirikina au ndumba, ni tamaa za wanaume kufikiri kwamba wanawake wana jipya la kuwapa, ingekua hivo Mo na Bakresa kila wiki wangekua wana oa wa bongo wenye kufanya ndumba.
Hao wazee na mabroo wa kuanzia 40's sio wa kuwafuata kichwa kichwa. Upembuzi wao mara nyingi wanaufanya kwa kuujengea taswira ya kizazi chao wakati wapo 20's. Hawana objectively experience ya mambo yanavyoenda kwa watu wa age iyo kwa sasa.nyie wazee wa humu JF akili zenu zishaanza kuexpire
Siyo kwamba Bi Sandra anatiana na mwanwe kama masharti ya kusafisha nyota ya biashara ya muziki!!Yule Bi Sandra kama binadamu ana madhaifu yake lakini kwenye suala la kumlinda kijana wake anatakiwa kupewa pongezi. Diamond asingeweza kukwepa mishare ya hawa maslay queen bila ulinzi wa mama ake. Hata yule mtoto wa Hamisa inawezekana bi mkubwa ndio alimshtua diamond kwamba amepigwa.
Hayo ni mawazo ya kipuuziSiyo kwamba Bi Sandra anatiana na mwanwe kama masharti ya kusafisha nyota ya biashara ya muziki!!
Sidhani kama mama anamlinda ila ni wanapigana miti