Kilichotokea kwa Aziz Ki kimenifanya niamini kuwa asilimia kubwa ya wanawake wa kibongo wanatumia ndumba kwenye mahusiano

Kilichotokea kwa Aziz Ki kimenifanya niamini kuwa asilimia kubwa ya wanawake wa kibongo wanatumia ndumba kwenye mahusiano

Mbona watu wamekasirika sana..

Shida ni nini

Kwani Aziz Ki ndio mwanaume mwenye pesa, maarufu au mvuto kati ya exes wa hamisa kiasi kumuoa iwe issue kubwa ?..

Na isitoshe waliofunga ndo wameamua kwa utashi wao na kama kuachana ku po ni sawa pia maana hata sasa mitaani kuna ndoa nyingi sana za futari na Ramadhan ikiisha nazo zitaisha.


Yani hii issue inaonekana imewauma wengi sana kwenye personal level
Mkuu una ona ni kwanini imewauma ?
 
Mbona watu wamekasirika sana..

Shida ni nini

Kwani Aziz Ki ndio mwanaume mwenye pesa, maarufu au mvuto kati ya exes wa hamisa kiasi kumuoa iwe issue kubwa ?..

Na isitoshe waliofunga ndo wameamua kwa utashi wao na kama kuachana ku po ni sawa pia maana hata sasa mitaani kuna ndoa nyingi sana za futari na Ramadhan ikiisha nazo zitaisha.


Yani hii issue inaonekana imewauma wengi sana kwenye personal level
Bwana wee roho mbaya tuu...wacha aziz akojolee pazuri bwana. Cheki limsambwanda lile
 
Aziz k alipokelewa vizuri na Hamisa kama ulikuwa hujui ,walikuwa na ukaribu muda mrefu sana kafundishwa mambo mengi .

Hata wakiachana bora wamehalalisha ,wajinga ni wale waliomzalisha na kumtupa kama wangemuoa angetulia tangu kwa Majizzo.
unaongea kama mtu alokunywa uji wa dengu, wanaume hatupo ivo

na kitu kingine usichokijua ni kuwa wanaume hatutumii hisia linapokuja suala la kuoa, ukiona mwanaume kaoa kwa kutumia hisia mfano kusitiri vibibi au vichangudoa ujue ndumba imehusika kwa sana na ulimbukeni kwa mbali
 
Mbona watu wamekasirika sana..

Shida ni nini

Kwani Aziz Ki ndio mwanaume mwenye pesa, maarufu au mvuto kati ya exes wa hamisa kiasi kumuoa iwe issue kubwa ?..

Na isitoshe waliofunga ndo wameamua kwa utashi wao na kama kuachana ku po ni sawa pia maana hata sasa mitaani kuna ndoa nyingi sana za futari na Ramadhan ikiisha nazo zitaisha.


Yani hii issue inaonekana imewauma wengi sana kwenye personal level
Utapeli unapofanyika hadharani huwezi kuwazuia watu kujadili.

Hiyo mahari tu ya Hamisa tayari ni utapeli mtupu.

Mama wa watoto wawili utowe mahari ya ng'ombe 30 na pesa kibao?
 
Si ajabu Azizi Ki hajawahi kua na pisi kali namna ile.
Hata mwanamke aliyezaa nae ni mzuri Tu. Lakini pia hamisa ni maarufu sana ila haimaanishi kuwa ndiye mwanamke mrembo kuliko wote na si ajabu ukimpitisha kwenye classic whores anaweza kuonekana wa kawaida tu.

Yawezekana Aziz Ki amefanya kosa au la hamisa pia kafanya kosa kuolewa pia. Kwa hiyo sio mbaya kama watajiufunza wakiachana na wakafaana kama kheri itakuwa upande wao
 
Bwana wee roho mbaya tuu...wacha aziz akojolee pazuri bwana. Cheki limsambwanda lile
Wewe itabidi ukalowee kwa wanyiramba kama hamisa ndio type zako🤣🤣
 
Badili jinsia
Tumia ndumba
Alafu ukaolewe pacome
 
Mwanaume akiwa mshamba wa K. Tena akipewa K na pisikali nyeupe yenye tako, haraka haraka hata siku ya kwanza bila longolongo akapewa kwa mwendelezo kama mara 50 hivi lazima mwanaume alegeee
 
Hata mwanamke aliyezaa nae ni mzuri Tu. Lakini pia hamisa ni maarufu sana ila haimaanishi kuwa ndiye mwanamke mrembo kuliko wote na si ajabu ukimpitisha kwenye classic whores anaweza kuonekana wa kawaida tu.

Yawezekana Aziz Ki amefanya kosa au la hamisa pia kafanya kosa kuolewa pia. Kwa hiyo sio mbaya kama watajiufunza wakiachana na wakafaana kama kheri itakuwa upande wao
Kila mtu kaona kitu kwa mwenzake, sidhani kama Azizi atakua hajui background ya mwenzie pamoja na tech yote hii.
 
Utapeli unapofanyika hadharani huwezi kuwazuia watu kujadili.

Hiyo mahari tu ya Hamisa tayari ni utapeli mtupu.

Mama wa watoto wawili utowe mahari ya ng'ombe 30 na pesa kibao?

Hamisa sio mwanamke wa kawaida. Ni top celebrity kwa hiyo hata Aziz K ataongeza mileage kwenye market ambazo Hamisa anajulikana

Kwa hiyo ndoa za watu maarufu huwa ni zaidi ya kupendana. Ni transaction ya kibiashara pia. Kwa hiyo Aziz ameona Hamisa anastahili hiyo mahari
 
Hajarogwa bwana yeye kapenda tako lile...mobeto mzuri nyie achine kwanza ukimvua kyupi yule unaweza anza kupiga sala kushukuru bahati ya kukojolea pale.

Aziz baba wee kula mali safi hiyo maisha ndio haya haya
Mzee wa mbususu nakukubali sana kwa kuhusudu tako. Ila ukweli dogo pale dogo kaingia chaka ile mbususu ni mali ya umma, subiri Yanga wamuuze uone kama hamisa ataenda misri.
Au ashuke kiwango akaungane na Morrison huko songwe.
 
Back
Top Bottom