Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kinachokusikisha zaidi ni nini? nimesoma Uzi bado sijaielewa concern yako😇ugonile,
Ntakua wa mwisho kuamini kuwa Aziz Ki kafanya maamuzi ya kufunga ndoa na Hamisa bila kupigwa juju
Wanawake wengi wa kibongo wanatabia kwamba wakipata mchumba au danga lenye vijisenti wanamwendea kwa mganga ili wasiachike, wapo tayari kuwashirikisha hata mama zao ilo suala ili mambo yaende sawa. nakumbuka nmewahi kuwa na demu kutokea mbeya huko alitaka kuniletea huu upuuzi nikagundua mapema nikampiga chini.
Wanawake wa kibongo wakipata jimbo jipya lenye vijisenti au lipo kitengo wapo radhi wakope pesa kikoba wafunge safari na shoga zao kutafuta mganga wa kuweza kuwasaidia kushikilia ilo jimbo pasina vikwazo vyovyote.
Wanaume wenzangu tuweni makini sana na hawa dada zetu, kwa ambao mlikua hamjui ayo mambo naisi mmejionea wenyewe kupitia Aziz Ki.
imagine mahari eti fuso mbili za ng`ombe na kama haitoshi akaongeza tena pesa taslim milioni 30, aisee huu ni uchawi wa kiwango cha SGR
STAY ALERT.!
If your mama did not teach you to respect other people's decisions in kife, you will not know that abusing Aziz for his personal choice is also a mistake.Allow us call a spade a spade
We are saying what we can see and it matters cause we want to learn from Aziz k mistake
utopolo mtupuIf your mama did not teach you to respect other people's decisions in kife, you will not know that abusing Aziz for his personal choice is also a mistake.
You want to learn to not make a mistake while making a mistake.
But how would you know that?
You can't.
You have no home training.
Wajinga halafu makatili, si wajinga tu.Watu ni wajinga Sana mkuu
Sasa unatowa ng'ombe 30 ili kuowa ng'ombe mmoja? Akili iko wapi hapo?Watu wa jamii ya kiafrika hovyo sana, yani kutokana na umasikini wanadhani nyama na samaki ni mboga ya kutafunia vitu vingine kama ugali, mihogo, magimbi na wali... Hawako tayari kukubali nyama na samaki vinaweza kuliwa vyenyewe kama chakula 🤣🤣
Kinachowauma sio Hamisa kuolewa bali ni mahari kwa ng'ombe fuso 2 na hiyo milioni 30
Wamezoea kutoa mahari za laki 5 hivyo wanaona kama Aziz kakosea
Sasa hata kama Aziz kakosea si hela zake, maisha yake. Wao kinachowauma nini kama si wivu tu?Watu wa jamii ya kiafrika hovyo sana, yani kutokana na umasikini wanadhani nyama na samaki ni mboga ya kutafunia vitu vingine kama ugali, mihogo, magimbi na wali... Hawako tayari kukubali nyama na samaki vinaweza kuliwa vyenyewe kama chakula 🤣🤣
Kinachowauma sio Hamisa kuolewa bali ni mahari kwa ng'ombe fuso 2 na hiyo milioni 30
Wamezoea kutoa mahari za laki 5 hivyo wanaona kama Aziz kakosea
Cha muhimu mambo yao tuwaachie wenyeweSasa unatowa ng'ombe 30 ili kuowa ng'ombe mmoja? Akili iko wapi hapo?
Mkuu,Sasa unatowa ng'ombe 30 ili kuowa ng'ombe mmoja? Akili iko wapi hapo?
Wewe chawa mchafu hujui hata mpagani maana yake nini.Wewe mpagani punguza hasira 😁
we mzee toka juani akili zinayeyukaMkuu,
Kama Aziz ndiyo kaamua hivyo wewe kinakuuma nini?
Ulitaka kuolewa wewe sasa hujaolewa unaona wivu?
Halafu wengi wao wanafuata mkumbo tuWajinga halafu makatili, si wajinga tu.
Wanafurahia kumkejeli kijinga, mtu wasiyemjua, kwenye jambo wasilolifahamu, bila sababu ya maana.
Mimi nipo kwenye winter sasa hivi wewe ngedere wacha kuanika matako yako hapa.we mzee toka juani akili zinayeyuka
Kwahiyo Diamond aliyepiga chini hiki kigagula alikuwa anamuonea wivu?Mkuu,
Kama Aziz ndiyo kaamua hivyo wewe kinakuuma nini?
Ulitaka kuolewa wewe sasa hujaolewa unaona wivu?
Kwa sababu hawana shughuli maalum ya kuwafanya kuwa busy, na hawana akili za kufikiri zaidi ya mambo ya personal drama.Halafu wengi wao wanafuata mkumbo tu
Huyu ni wa ajabu sikuzote....ni wa kumpuuza tu mkuuKuna watu wanaandika kama wamekasirika walitaka waolewe wao vile.
Waachieni watu waoe au waolewe wanavyotaka.
Kuwaingilia kwenye maamuzi yao hayo ni ushamba tu.
Diamond hata hakujui wewe, acha kufuatilia maisha ya watu hao washaamua kuishi yao. Akimuonea wivu, asimuonee wivu, kivyao, the matter is immaterial.Kwahiyo Diamond aliyepiga chini hiki kigagula alikuwa anamuonea wivu?
Diamond hata hakujui wewe, acha kufuatilia maisha ya watu hao washaamua kuishi yao. Akimuonea wivu, asimuonee wivu, kivyao, the matter is immaterial.
Wewe ishi maisha yako. Hizi habari za kumpangia mwanamme mwenzako mtu baki aoe vipi mwishowe utataka uwe msenge akuoe wewe. Utasema wanawake wote hawafai wewe ndiye unafaa kuolewa.
Mwanamme hampangii mwanamme mwenzake jinsi ya kuoa mkuu.
Wanawake wote watakaokuja hapa kumsema Aziz Ki kaoa vibaya nitawaona hawana home training, hawajui kuheshimu privacy ya mtu, lakini kuna point moja nitawaelewa. Wale wapo katika competition na Hamisa kuolewa na Aziz.
Wewe mwanamme ukiisema hii ndoa pia utakuwa umekosa home training, hujui kuheshimu privacy ya ndoa za watu. Lakini pia utakuwa umeingia kwenye competition na Hamisa kutaka kuolewa na Aziz.
Why the heck would a man care who Aziz marries?
we mzee ushazeeka unaandika upupu tu hauelewekiDiamond hata hakujui wewe, acha kufuatilia maisha ya watu hao washaamua kuishi yao. Akimuonea wivu, asimuonee wivu, kivyao, the matter is immaterial.
Wewe ishi maisha yako. Hizi habari za kumpangia mwanamme mwenzako mtu baki aoe vipi mwishowe utataka uwe msenge akuoe wewe. Utasema wanawake wote hawafai wewe ndiye unafaa kuolewa.
Mwanamme hampangii mwanamme mwenzake jinsi ya kuoa mkuu.
Wanawake wote watakaokuja hapa kumsema Aziz Ki kaoa vibaya nitawaona hawana home training, hawajui kuheshimu privacy ya mtu, lakini kuna point moja nitawaelewa. Wale wapo katika competition na Hamisa kuolewa na Aziz.
Wewe mwanamme ukiisema hii ndoa pia utakuwa umekosa home training, hujui kuheshimu privacy ya ndoa za watu. Lakini pia utakuwa umeingia kwenye competition na Hamisa kutaka kuolewa na Aziz.
Why the heck would a man care who Aziz marries?
Diamond hata hakujui wewe, acha kufuatilia maisha ya watu hao washaamua kuishi yao. Akimuonea wivu, asimuonee wivu, kivyao, the matter is immaterial.
Wewe ishi maisha yako. Hizi habari za kumpangia mwanamme mwenzako mtu baki aoe vipi mwishowe utataka uwe msenge akuoe wewe. Utasema wanawake wote hawafai wewe ndiye unafaa kuolewa.
Mwanamme hampangii mwanamme mwenzake jinsi ya kuoa mkuu.
Wanawake wote watakaokuja hapa kumsema Aziz Ki kaoa vibaya nitawaona hawana home training, hawajui kuheshimu privacy ya mtu, lakini kuna point moja nitawaelewa. Wale wapo katika competition na Hamisa kuolewa na Aziz.
Wewe mwanamme ukiisema hii ndoa pia utakuwa umekosa home training, hujui kuheshimu privacy ya ndoa za watu. Lakini pia utakuwa umeingia kwenye competition na Hamisa kutaka kuolewa na Aziz.
Why the heck would a man care who Aziz marries?