Kilichotokea kwenye mechi ya Belgium na Croatia

Kilichotokea kwenye mechi ya Belgium na Croatia

Linguistic

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2021
Posts
3,669
Reaction score
8,268
Nilikuwa naangalia Mechi ya Belgium Vs Croatia.

Mechi imekwisha, Lukaku kavua jezi kumpatia mchezaji wa Croatia huku akimtaka nae ampatie yake!

Yule mchezaji akamwambia Lukaku wamekatazwa kubadilishana jezi, kwahiyo hata yako baki nayo tu!

Lukaku kashangaa! Eeh, kweli mmekatazwa? Jamaa akamwambia ndio! Halafu akaondoka kumuacha Lukaku ameshikilia jezi yake.

Nimeangalia wachezaji wote wa Croatia hakuna aliyevua jezi!

Inawezekana ni sababu ya Corona!

Ila najua Hii ya jezi ndio itatawala zaidi Habari kuliko matokeo ya Mechi yenyewe! [emoji3]
 
Kaka UNASIKITISHA.
NI Sawa ukae na mkeo sebuleni mpo wawili lakini mmevaa barakoa.alafu mkiingia chumbani mmevua TENA mpo uchi.
Inaonekana mimi na wewe hatupo katika ngazi moja.

Kwa hiyo, hatuwezi kuelewana.

Siku nyingine ukitaka kumvunjia mke heshima kwa mifano ya ajabu, tumia mfano wa mke wako.

Kabla ya Corona kubadilishana jezi ilikuwa ni njia ya kusambaza magonjwa mengine mengi tu.

Na sasa ni muda wa kufikiria mara mbili tamaduni hizi ambazo zilichukuliwa kawaida kabla ya Corona.

Kama hutaki kuelewa somo hilo utakuwa ama mjinga, ama mbishi tu.

Usitake niseme kwamba hujajipa jina lako kwa bahati mbaya tu.
 
Kuna mchezaji gani alipata GONJWA lolote sababu ya kubadilishana jezi?
Inaonekana mimi na wewe hatupo katika ngazi moja.

Kwa hiyo, hatuwezi kuelewana.

Siku nyingine ukitaka kumvunjia mke heshima kwa mifano ya ajabu, tumia mfano wa mke wako.

Kabla ya Corona kubadilishana jezi ilikuwa ni njia ya kusambaza magonjwa mengine mengi tu.

Na sasa ni muda wa kufikiria mara mbili tamaduni hizi ambazo zilichukuliwa kawaida kabla ya Corona.

Kama hutaki kuelewa somo hilo utakuwa ama mjinga, ama mbishi tu.

Usitake niseme kwamba hujajipa jina lako kwa bahati mbaya tu.
 
Kuna mchezaji gani alipata GONJWA lolote sababu ya kubadilishana jezi?
Unakataa na kubisha kwamba kubadilishana nguo zenye jasho si njia ya kusambaza magonjwa?

Unaelewa jezi yenye jasho ina bacteria, fungi, virus wa aina gani na kubadilishana jezi kunazidisha vipi kubadilishana hawa vijidudu?

Hebu soma watu wameandika haya mambo.

Kama unajua kusoma hii lugha.


 
Kumbe Kiswahili kigumu hivi.
Unakataa na kubisha kwamba kubadilishana nguo zenye jasho si njia ya kusambaza magonjwa?

Unaelewa jezi yenye jasho ina bacteria, fungi, virus wa aina gani na kubadilishana jezi kunazidisha vipi kubadilishana hawa vijidudu?

Hebu soma watu wameandika haya mambo.

Kama unajua kusoma hii lugha.

 
Na Coronavirus yote hii watu wanataka kubadilishana jezi tu?
Mbona wanabadilishana?

Mechi ya mwisho katika Bundes Liga Haaland alibadilishana jezi na Refa.

Kabla ya kuingia kambini unapimwa, kabla ya mechi unapimwa so kama mpo uwanjani inamaanisha wote mmepimwa na mko sawa.
 
Mbona wanabadilishana?

Mechi ya mwisho katika Bundes Liga Haaland alibadilishana jezi na Refa.

Kabla ya kuingia kambini unapimwa, kabla ya mechi unapimwa so kama mpo uwanjani inamaanisha wote mmepimwa na mko sawa.
That was a rhetorical question.

Wanapimwa magonjwa mangapi?

Ukurutu nao wanapimwa?

Wanapimwa herpes?
 
Huyo mkoreshia mbona wako na ujinga
Hvo Kama n covid huko uwanjan
C wamekabana Sana huko wenyewe
 
That was a rhetorical question.

Wanapimwa magonjwa mangapi?

Ukurutu nao wanapimwa?

Wanapimwa herpes?
Niliona umeandika coronavirus na jibu langu limejibu hiyo komenti.

Ila kama una hamu na ubishi anzia hapa sasa.
 
Back
Top Bottom