Kilichotokea kwenye mechi ya Belgium na Croatia

Kilichotokea kwenye mechi ya Belgium na Croatia

Niliona umeandika coronavirus na jibu langu limejibu hiyo komenti.

Ila kama una hamu na ubishi anzia hapa sasa.
Hebu labda nieleze tena kwa maneno mepesi.

Nimeeleza kwamba, hata kabla ya Coronavirus, kubadilishana jezi zenye jasho ilikiwa ni njia ya kusambaza maambukizi ya magonjwa.

Nimeweka links za baadhi ya magonjwa yanayoweza kuambukizwa kwa jinsi hii hapo juu

Mtu anatoka na herpes huko, anakugawia gratuitously kwenye jasho la jezi.

Kuja kwa Corona kume expose maambukizi. Watu wanaotumia akili zao wanatakiwa kupunguza chances za maambukizi ya magonjwa mengi tu, sio Corona tu, kwa kutumia somo la Corona.

Na kwa kuwa kubadilishana jezi ni vector ya maambukizi, mimi naweza kuwaelewa vizuri sana watu watakaokataa kubadilishana jezi.

Ila bado kuna watu wamezoea kuishi kwa kukariri watataka kuendelea kuishi kwa kukariri maisha ya kila siku yalivyokuwa kabla ya Covid-19.

Kama wewe huthamini afya yako, una haki ya kutothamini afya yako.

Lakini usilazimishe na wengine wasithamini afya zao kama wewe.
 
Hii habari uliiona
Kiswahili kigumu kwako, ndiyo maana umeshindwa kusoma kwa ufahamu.
Screenshot_20210607-072613.jpg
 
sio kwamba chanjo.mnazopigia Debe.hazina faida!?
Maana kabla ya chanjo walikuwa wanaenda vizuri Tu.
ILA baada ya chanjo namba IMEPAA.
Umejifunza nini?
Habari hii, inayotilia mkazo watu kujilinda afya zaidi na kutopuuzia maambukizi, ilitakiwa kukufanya uone umuhimu wa watu kuacha habari za kubadilishana jezi, sio kuendelea kuishi kwa kukariri habari hizo.

Inaelekea hujaelewa somo lililo katika habari uliyoileta wewe mwenyewe.
 
sio kwamba chanjo.mnazopigia Debe.hazina faida!?
Maana kabla ya chanjo walikuwa wanaenda vizuri Tu.
ILA baada ya chanjo namba IMEPAA.
Umejifunza nini?
Unachanganya habari. In a deliberate clausterfuck.

Umeshindwa kutetea hoja zako kwenye kubadilishana jezi, unaleta habari za chanjo.

Wapi nimetaja chanjo kwenye uzi huu?
 
Mbona unapanic?
Unachanganya habari. Ina deliberate clausterfuck.

Umeshindwa kutetea hoja zako kwenye kubadilishana jezi, unaleta habari za chanjo.

Wapi ninetaja chanjo kwenye uzi huu?
 
Nilikuwa naangalia Mechi ya Belgium Vs Croatia.
Mechi imekwisha, Lukaku kavua jezi kumpatia mchezaji wa Croatia huku akimtaka nae ampatie yake!
Yule mchezaji akamwambia Lukaku wamekatazwa kubadilishana jezi, kwahiyo hata yako baki nayo tu!
.....
Lukaku kashangaa! Eeh, kweli mmekatazwa??!! Jamaa akamwambia ndio! Halafu akaondoka kumuacha Lukaku ameshikilia jezi yake!!
.....
Nimeangalia wachezaji wote wa Croatia hakuna aliyevua jezi!!
Inawezekana ni sababu ya Corona!
Ila najua Hii ya jezi ndio itatawala zaidi Habari kuliko matokeo ya Mechi yenyewe! [emoji3]
Hapa kitakachotrend ni ubaguzi wa rangi.
 
Aaaaaaaah lukaku bwana!!Mara kasahau Kama Corona bado ipo na inatisha? Watu weusi tuna tabu sana
 
Hapa kitakachotrend ni ubaguzi wa rangi.
Wa Croatia wana haki ya kupewa uhuru wa kukataa kubadilishana jezi kipindi hiki cha Corona bila kuandamwa kwa ubaguzi wa rangi.

Kwani timu ya Ubelgiji ina watu weusi tupu?

Wachezaji wengine wasio weusi wamebadilishana jezi na wachezaji wa Croatia?
 
Hebu labda nieleze tena kwa maneno mepesi.

Nimeeleza kwamba, hata kabla ya Coronavirus, kubadilishana jezi zenye jasho ilikiwa ni njia ya kusambaza maambukizi ya magonjwa.

Nimeweka links za baadhi ya magonjwa yanayoweza kuambukizwa kwa jinsi hii hapo juu

Mtu anatoka na herpes huko, anakugawia gratuitously kwenye jasho la jezi.

Kuja kwa Corona kume expose maambukizi. Watu wanaotumia akili zao wanatakiwa kupunguza chances za maambukizi ya magonjwa mengi tu, sio Corona tu, kwa kutumia somo la Corona.

Na kwa kuwa kubadilishana jezi ni vector ya maambukizi, mimi naweza kuwaelewa vizuri sana watu watakaokataa kubadilishana jezi.

Ila bado kuna watu wamezoea kuishi kwa kukariri watataka kuendelea kuishi kwa kukariri maisha ya kila siku yalivyokuwa kabla ya Covid-19.

Kama wewe huthamini afya yako, una haki ya kutothamini afya yako.

Lakini usilazimishe na wengine wasithamini afya zao kama wewe.
Enhe tuendelee
 
Huyo mchezaji alikua sahihi,wanachokifanya kwasasa ni kuna baadhi ya mambo hawayafanyi hadharani ili kupeleka ujumbe kwa jamii kuhusu awareness ya corona,vitu kama kushikana mikono,kubadilishana jezi etc. hivyo wanavifanyia kwenye vyumba vyakubadilishia nguo ambapo hakuna camera.
 
Back
Top Bottom