Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Wewe bado una ulimbukeni wa kuona Ulaya kama mbingu fulani hivi.Unahisi huko kwao ni wazee kama kwenu huku?? Mchezaji wa ulaya aingie na ukurutu uwanjani..
Ulaya kuna magonjwa ya ngozi kuliko Afrika.
Nimekuuliza ukurutu ndiyo magonjwa yote, hujajibu.
Ni kwamba hujui kusoma au huna jibu tu?