Kilichotokea kwenye mechi ya Belgium na Croatia

Unahisi huko kwao ni wazee kama kwenu huku?? Mchezaji wa ulaya aingie na ukurutu uwanjani..
Wewe bado una ulimbukeni wa kuona Ulaya kama mbingu fulani hivi.

Ulaya kuna magonjwa ya ngozi kuliko Afrika.

Nimekuuliza ukurutu ndiyo magonjwa yote, hujajibu.

Ni kwamba hujui kusoma au huna jibu tu?
 
Wewe bado una ulimbukeni wa kuona Ulaya kama mbingu fulani hivi.

Ulaya kuna magonjwa ya ngozi kuliko Afrika.

Nimekuuliza ukurutu ndiyo magonjwa yote, hujajibu.

Ni kwamba hujui kusoma au huna jibu tu?
Limbukeni ni wewe unauona umaskini wako upo dunia nzima, Wenzako hawapuuzi jambo kama kwenu,, hawampimi mtu kwa macho kama ufanyavyo wewe..Wenzako kila baada ya muda fulani wanaenda hospital kujua maendeleo ya miili yao sio sawa na wewe..Wenzako wakiwashwa kidogo tu wanawauliza wataalamu nini shida? Unadhani wao ni kama nyie...
 
Unaeleza ukweli na wa kitaalamu kiafya. Kwanza kubadilishana nguo chafu (jasho) na kuzivaa pasipo kufua ni kuvaa uchafu wa mwenzako! Labda wanapobadilishana wasiwe wanavaa, washike tu mkononi mpaka watakapofua
 
Wewe mwenyewe umeleta umbea umbea tu haujataja matokeo
 
Wewe ngumbaru bado hujaelewa kwamba Covid-19 ni paradigm shift.

Unataka kuwalazimisha wa Croatia kubadilishana jezi?
 

Mimi ni fan wa Argentina, lakini Belgium nawaheshimu. Akikutana na timu kutoka south amerika brazil au chile atajipigia tu 😄 chile kidogo wana afazali, brazili atapigwa nyingi sana😄
 
Huyu jamaa no mbishi wa kishamba sana, nilishampuuzaga
 
Wewe bado una ulimbukeni wa kuona Ulaya kama mbingu fulani hivi.

Ulaya kuna magonjwa ya ngozi kuliko Afrika.

Nimekuuliza ukurutu ndiyo magonjwa yote, hujajibu.

Ni kwamba hujui kusoma au huna jibu tu?
Kiranga[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]basi kaka naona unanipangulia mmoja baada ya mwingine bado kulifikia goli tu kufunga[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]mjingamimi kanyoosha [emoji119][emoji119]juu
 
Germany mashine kapiga mtu goli 7

List inaendelea
Saudi Arabia alinyukwa 8
Brazil alinyukwa 7
Latvia amenyukwa hii leo 7
N.k 🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…