Kilichotokea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, ndicho kitakachofanyika 2020 ikiwa ni mpango wa Rais Magufuli kubadili Katiba kuondoa ukomo wa Urais

Kilichotokea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, ndicho kitakachofanyika 2020 ikiwa ni mpango wa Rais Magufuli kubadili Katiba kuondoa ukomo wa Urais

Vitimbi na vituko vikivyotokea katika uchaguzi wa serikali za mitaa, mpaka kupelekea CCM kudai kushinda kwa asilimia mia moja serikali za mitaa na 99.8 vijiji.

Hizo ni njama zilizopangwa kuwahadaa Watanzania na ulimwengu wa kimataifa ionekane kuwa CCM na Rais Magufuli wanakubalika sana hivyo mwakani 2020 watafanya kila wawezalo ili ionekane CCM imeshinda over 95%.

Baada ya hapo bunge litakuwa na wabunge wengi wa CCM ndipo utapelekwa mswada wa sheria kubadili ukomo wa urais, vyanzo vya habari ambao ni wabunge waliopewa kazi ya kuzunguka nchi nzima kuwashawishi watu maarufu ili baadaye liibuke kundi la watu kumuomba Rais Magufuli aendelee na urais hata baada ya muda wake kuisha, mark my words.
Vijana wa CHADEMA naona ndio watamchukulia form raisi Magufuli na kumtaka awe Rais wa maisha! BAVICHA baana!
 
Vitimbi na vituko vikivyotokea katika uchaguzi wa serikali za mitaa, mpaka kupelekea CCM kudai kushinda kwa asilimia mia moja serikali za mitaa na 99.8 vijiji.

Hizo ni njama zilizopangwa kuwahadaa Watanzania na ulimwengu wa kimataifa ionekane kuwa CCM na Rais Magufuli wanakubalika sana hivyo mwakani 2020 watafanya kila wawezalo ili ionekane CCM imeshinda over 95%.

Baada ya hapo bunge litakuwa na wabunge wengi wa CCM ndipo utapelekwa mswada wa sheria kubadili ukomo wa urais, vyanzo vya habari ambao ni wabunge waliopewa kazi ya kuzunguka nchi nzima kuwashawishi watu maarufu ili baadaye liibuke kundi la watu kumuomba Rais Magufuli aendelee na urais hata baada ya muda wake kuisha, mark my words.
Badilisheni tuu, utawala ulikuwa miaka kumi wakristo, na miaka kumi waisilamu, nadhani tayarishen kuigawa nchi upande waisilamu na upande wakristo, kwa sababu utaratibu, nyie wakristo mnauvunja na sisi hatutakubali
 
Asithubutu Kubadili katiba atajuta hataamini macho yake yeye na akina bashite wake.
 
Mkapa na Pengo nashindwa kuwatofautisha.
Labda unisaidie.
Ni Mkapa tu anayeweza kujaribu, wengine kama Mwinyi na Kikwete hawana lolote.

Kwa bahati mbaya sana, huyo Mkapa ambaye tungetegemea angalau amwonye tu hata huko faraghani, inaonekana ni huyo huyo anayefurahia anayofanya huyu aliyemtafuta na kumleta.

Hata sielewi kabisa kwa kiongozi kama Mkapa kuyafurahia haya yanayotendeka sasa. Sielewi yeye ana maslahi gani nayo.
 
Hizi siasa za matusi ndizo tunazozikataa kwa nguvu zote.
Ndio maana awamu ya Tano inafanya inayofanya .
Mana Wasio na dola ndio walikuwa wakatili na wakaidi kuliko wenye dola.

Hamana dola mnakua na lugha mbaya na ubabe wa kuona kila hoja ya binadam mwingine ni ya kutukanwa ,ingekuwaje mngekua mmeingia madarakani? Wale amabao wangewakosoa Live mngewafanyaje kama sio kuwaua kwa risasi ?
Nilifikiri Demokrasia ni kusikiliza hoja za mtu na kuzijibu kumbe ni kutukanana? Hatuwezi kuacha Taifa la watu wanaotukanana kwa sababu ya kugombania madaraka. Mwishowe mkiona mnapuuzwa na matusi yenu mtashika silaha. Hatutawaruhusu kamwe.
Mbowe akirudi kwenye hicho chama kwa kutumia Wapambe wake wanaotukana watu na kuua watu asahau kabisa kuchukuliwa poa. Atakula jela na watu wake wote na Chama kitabaki cha Ukoo.
Badilikeni ,siasa sio vita na uhasama ,siasa ni kujenga ushawishi kwa hoja.?
Tushawishini wale tusiomtaka Mbowe ageuze chama kiwe Mali yake na ukoo wake ili tuone kana sisi ndio tunakosea au yeye ndio anakiuka Demokrasia tunayoipigania?
Anapigania nini sasa Mana kama ni kuingia madarakani tu na kututawala kwa mabavu tumeshachoka hali hiyo toka CCM !! Nilijua Chadema kina lengo la kujenga Taifa la kidemokrasia kumbe lengo lake ni madaraka kama ilivyo CCM huku wakitukana watu na kupinga kila hoja na wazo kinzani.
 
Back
Top Bottom