Kilichotokea weekend hii kati ya mimi na binti alokula nauli yangu wiki mbili zilizopita. Mabinti kuweni na adabu na hela za wanaume rijali, mtaumia

Kilichotokea weekend hii kati ya mimi na binti alokula nauli yangu wiki mbili zilizopita. Mabinti kuweni na adabu na hela za wanaume rijali, mtaumia

Aisee[emoji23][emoji23],

Mungu awaepushie madogo zet waliopo huko vyuoni.
 
Huyo demu siyo Pipytida kweli [emoji3][emoji3][emoji3]

Pipytida mnenguaji wa Tiktok [emoji23][emoji39] huwa namtamani huyo mtoto yan yupo natural hajichubui wala havai mawigi aseeh, nampenda kinoma
 
Sisi Vibamia tuachane na huu uzi hautuhusu.

Turudi kwenye uzi;
Ila ulivyo mpuuzi, unadhani umemkomoa huyo mwanamke?
1. Umeacha kwenda kazini, kisa kumkomoa malaya
2. Umetumia zaidi ya laki saba
3. Umechoka na kucharara
4. Huenda umeambukizwa magonjwa kedekede

Wewe ni katoto. Sometimes learn to let go. Siku alipokula 50k na kupotea, usingepaswa kujihangaisha naye tena. Gentlemen never turn around for Malayas

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wenye vibamia mna kelele
Tulia tafadhali
 
Ndoto za vijana wengi hupotea kwa anasa ambazo hazina maana yeyote. Hapo story kama ni kweli umetumia hiyo zaidi ya 600k sina budi kukuita wewe ni kijana wa hovyo kabisa.
 
Teslarati hiyo inshu iliwahi kunitokea chuo ila sio kwa kunikomoa ila niliskip kuja kwa mtu niliye mdanganya kuwa nakuja kwake ila kunasiku alinidaka ,aisee mashine ilifanywa yakukobolewa yaani nimefika home nawaka moto ukiweka maji ya wali inachemka nakukauka aisee 7 days nilikuwa home naugulia vikali makali
 
Back
Top Bottom