Kilichowatokea Yanga uwanja wa Ndege

Sasa mchezaji mnampeleka coco beach, tena kule kwenye mawe juu kuna wahuni wanavuta bang na wengine wanakunya kule... kwan beach nzuri hamna dsm au shida nin..?
 
Hivi Huyo Kipa Anatoka Morocco Au Comoros?..Af Tulia Uandike Vizuri Maana Huelezei Jambo Vizuri Ukaeleweka Unakuwa Kama Mnyama Pori Bhn [emoji23]
Kwa hyo kwenye mada umeona hyo Morocco tu mimi na yule nguruwe pori aliyeambia mnaanzia nusu fainali nani hana akili na mlivyo mazuzu mkakubali wakati mnajua mna 0.5 radius of trapezium utopolo kweli akili zipo mataqoni.
 
Sasa mchezaji mnampeleka coco beach, tena kule kwenye mawe juu kuna wahuni wanavuta bang na wengine wanakunya kule... kwan beach nzuri hamna dsm au shida nin..?
Kwa nn viongozi na mashabiki wa yanga wanalikwepa jina la kwanza la mchezaji wao anayeitwa JOYCE wanajifanya wanamuita jina la baba mchezaji kachukua cheti cha dada yake kaja kawajaza ujinga ni la kwake na kaze analeta wajomba zake kwenye team.
 
Kwa hiyo golikipa wa Azam ametoka Morocco, au Comoro? [emoji16][emoji16][emoji16] Nyinyi ndiyo maana Mudi anawavuruga kadiri apendavyo!
Nyie GSM hawavurugi. Hadi kwenye uongozi kamuweka kibaraka wake, hili hamlioni??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa hiyo golikipa wa Azam ametoka Morocco, au Comoro? 😁😁😁 Nyinyi ndiyo maana Mudi anawavuruga kadiri apendavyo!
Mliokuwapo airport ndio mtuambie huyo kipa wa Azam ametokea nchi gani. Wengine airport huwa tunaenda kusafiri, sio kupokea wasafiri
 
Kwa hiyo golikipa wa Azam ametoka Morocco, au Comoro? 😁😁😁 Nyinyi ndiyo maana Mudi anawavuruga kadiri apendavyo!
Muulize mleta mada acha kujitoa ufahamu kama asemavyo manara ukitoa mzee sunday na mzee manara mliobaki wote hamna akili na hata kwa ustar kawazidi sana kuliko hata klabu yenu uto
 
Njoo ubwabwaje hapa sasa kiuno umejaza shanga

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…