Sidhani kama Africa na India ndo zinaongoza kwa ukatili duniani,,,,ila kweli bado tuna safari ndefuKweli kabisa ni upuuzi m2pu na ushenzi m2pu,,,afrika inaongoza kwa ukatiri duniani+india=full kuuwana. 2nasafali ndefu sana
Sidhani kama Africa na India ndo zinaongoza kwa ukatili duniani,,,,ila kweli bado tuna safari ndefu
Sawa mkuu kila mtu ni katili lakini kwa maoni yangu si waafrika wala wazungu wanaoongoza kwa ukatili kwa sasaMkuu,,,ukatili wa kuuana wenyewe kwa wenyewe sababu ya vi2 vidogo mfano, wa hii taarifa kisa kutochangia hela yanyama, wanauwana kisa mifugo, mashamba,, wivu wa mapenzi,, mwizi anachomwa petroli,, vikongwe kuuawa,, albino kuuawa kisa utajili,, baba anamtoa kafala ama kumchizisha mwanae kisa utajili n.k. miaka yanyuma wa2 warikuwa wakichunwa ngozi kisa utajili kwa maagizo ya mganga!! Yako mengi mnoo. So,, ukatili unatofautiana mkuu.
Ukienda nchi za mabeberu ukatiri wao kwenye uchumi/masilahi ikiwa pamoja na kuupoteza uisilamu jambo ambalo co rahisi na hawatafanikiwa kamwe ,,wako tayali kumwaga damu ili uchumi wao ucporomoke, na kuwaweka raia wao katika hali nzuli, mfano Iraq walichokifanya, libya, Afghanistan, syria n.k. wameshauwa mamilioni ya innocent people. Ni moja kati ya wa2 makatili duniani hawa mbwa koko.
Haya ni maono yangu mkuu,,,,
Sawa mkuu kila mtu ni katili lakini kwa maoni yangu si waafrika wala wazungu wanaoongoza kwa ukatili kwa sasa
Sijasema sio makatili ila nimesema hawaongozi wanazidiwa Na wengi Tu...hata hapa Tz kisa magufuli Ni katili ndo unaweza kuhitimisha Kuwa watz wote Ni wakatili??Em angalia mass population acha kutumia Dini kama kigezoIraq, libya mwafrika mwenzio ameuawa(gadafi), maelufu ya wananchi wamepoteza maisha. Syria, yemen, Afghanistan,,utasema mabeberu co makatili!!! Wananchi wanaweza kuwa wa2 wazuli ila viongozi ndiyo vichaa.
Ukienda kwa mayahudi ukatiri wao co mdogo kwa wapalestina,,,mpaka vitoto na vikongwe wanaviuwa utasema hawa co makatiri!!!! Yani wao hawachagui yoyote wanaekunananae wanamuuwa,, ndiyo utambuwe hiyo laana walishapata mzee.
Sijasema sio makatili ila nimesema hawaongozi wanazidiwa Na wengi Tu...hata hapa Tz kisa magufuli Ni katili ndo unaweza kuhitimisha Kuwa watz wote Ni wakatili??Em angalia mass population acha kutumia Dini kama kigezo
Okay Sawa...siwezi kupoteza Muda wangu hapaWanazidiwa ukatiri na nani sasa??? Huoni kuwa chuki bado zinakuendesha kwa wa2 fulani!!!! Still unakataa afrika, India's, Pakistans + mabeberu na mayahudi hawaongozi kwa ukatiri!!!! But co wote, ila ni makatiri zaidi ya jamii yoyote.
Nicwe mnafiki,, waarabu ni wa2 wenye roho nzuli na wakarimu hakuna mfanoe kwa jamii yotote, ila wachache co wa2 wazuri.
Ucku mwema ndugu.
Sime hiyo bila shaka.Kitu chenye ncha Kali
Sawa
Wachaga wamecharuka[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
JAMANI watu wana mahaba nyie si angemuacha tu[emoji23] dahh,,,leo yametokea bukoba,, mume kamkatakata panga mkewe na kuperekea kuuawa kisa wivu wa mapenzi [emoji23] afu wote ni waha/wakigoma.
JAMANI watu wana mahaba nyie si angemuacha tu
Kazi ipo[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]Ndiyo apo sasa,,, ni Upumbafu tuu. Acha akanyee debe adi umauti umfike.