sheiza
JF-Expert Member
- Sep 29, 2010
- 7,640
- 11,680
Tatizo aliyezifungulia akiamini anamkomoa aliyezifungia. Mama alitakiwa ajiridhishe vya kutosha kabla hajazifungulia hizi NGOs.Wasiishie kulifunga, wawachukulie hatua na wahusika
Unaweza kukurupuka ukapuuza kazi kubwa iliyofanywa na mwenzio ukiaminibna wewe una uwezo, ukija shtuka umeshapotea.