Oya wadau kuna swala linanikera ni mkoa wa KILIMANJARO kukosa timu ligi kuu Tanzania bara.
Hivi tatizo ni nini kwa viongozi wetu tunakwama wapi hadi tukose timu ligi kuu?
Mimi tangu niijue ligi kuu bara sijawahi kusikia kuna timu ya same, mwanga, Moshi mjini, Moshi vijijini, Hai au Rombo inashiriki ligi kuu Tanzania Bara au mnashiriki ya ligi ya Kenya?
Lakini nimetembea maeneo kama Makanya, Hedaru, Gonja, Same, Kisiwani, Himo, Rombo & Machame kana vipaji kwelikweli Kwa vijana wa shuleni na mtaani.
Vipaji hivi nimevuona kweny michuano kama copacocala. Hivi hamjui Kupitia soka tunaweza tukatangaza zaidi vivutio vya utalii kama mbuga ya Mkomazi, maporomoko ya shengena, mlima KILIMANJARO N.K
My take hakikisheni mwakani tunatoa timu ligi kuu. Tunashindwa hadi na mikoa ya kusini shubamitiii
Hivi tatizo ni nini kwa viongozi wetu tunakwama wapi hadi tukose timu ligi kuu?
Mimi tangu niijue ligi kuu bara sijawahi kusikia kuna timu ya same, mwanga, Moshi mjini, Moshi vijijini, Hai au Rombo inashiriki ligi kuu Tanzania Bara au mnashiriki ya ligi ya Kenya?
Lakini nimetembea maeneo kama Makanya, Hedaru, Gonja, Same, Kisiwani, Himo, Rombo & Machame kana vipaji kwelikweli Kwa vijana wa shuleni na mtaani.
Vipaji hivi nimevuona kweny michuano kama copacocala. Hivi hamjui Kupitia soka tunaweza tukatangaza zaidi vivutio vya utalii kama mbuga ya Mkomazi, maporomoko ya shengena, mlima KILIMANJARO N.K
My take hakikisheni mwakani tunatoa timu ligi kuu. Tunashindwa hadi na mikoa ya kusini shubamitiii