Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Tàtizo hayo maeneo yenu hayana maendeleo kwenye upande wa vyombo vya habari. Matukio yanaishia kwa mtendaji wa kijiji.Huko yamezidi.....Ukatiri uko kiwango cha juu hadi Mmewaharibu wanawake.
Women in the North No Longer Believe in Men's Love.
Upo sahihi ila kuamua ni vizuri inapobidi, kuna watu wanaishi na majuto ya kushindwa kutoa msaada kwa kuamua ugomvi na kuwapoteza wapendwa wao mifano ipo mingi ni vile tu haiwekwi hadharani.Ugomvi wa wenza/wazazi usiingilie
Fuatilia kusaga Tv and Gadi Tv , kuna matukio huko ...Jana tu nimeona kuna jamaa kamlawiti mwanawe wa miezi 11 mpaka kufa.Juzi ilikuwa arusha nao kilimanjaro wameona wasibaki nyuma.
kwa umri wa wazazi wetu kwasasa, tukikuta wanagombana wataambulia bakora nyingi tu,...maana watakuwa wametukosea adabu sana,....Ugomvi wa wenza/wazazi usiingilie
Unatakiwa kuingilia ili kuwaamua na si kuingilia kwa lengo la kumpiga kwa kumchangia huo ni upumbavu na kujaa laana.Acha ujinga.......Yaani Baba anampiga mama nisiingilie?
Kwanza Baba Mwenye Akili unampigaje Mke wako.
? Huko ni kukosa akili na kutojiamini
Busara🙏jumapili moja kuna mtoto wa watu alitaka kuniletea kesi kama hii nashukuru niliikwepa.nilitaka nimsukume hata kumbamiza ukutani.nikawaza mengi sana,moja wapo kijana kama mimi niende jela kwa kitu ninachoweza kukikwepa sio kweli.
Hapo unakuta mwanamke ameshaota mapembe ni jeuri kama ngiriJeshi la polisi mkoani Kilamanjaro linamshikilia mwanamke mmoja maarufu kama mama Baraka pamoja na mwanae wa kiume aitwae Baraka mwenye umri wa miaka 20 kwa kosa la mauji ya mumewe ajulikanae kwa jina la Fasil Herman mwenye umri wa miaka 57.
Mauaji hayo yametokea katika maeneo ya Forest, kata ya Ngarenairobi, wilaya ya Siha,
Mdogo wa marehemu anasema kuwa kwa mujibu wa mashuhuda waliowahi eneo la tukio ni kuwa mke na mume walikuwa wakipigana na ndipo kijana nae kuingilia ugomvi na hatimae mume kudondoka chini na kufariki dunia.
Dah 😀 umenifanya nicheke uzi wa majonzi jamani.Aisee baraka kampeleka baba yake mawinguni
Ila jamani mnatudharau wanawake ngiri tena?Hapo unakuta mwanamke ameshaota mapembe ni jeuri kama ngiri
Hebu fafanunua kidogo..nikajua wanawake ndo wenye matatizoWanaume wa kaskazini ni watu wa hovyo sana.
Wamekuwa Hostile kiasi kwamba Wanawake wako kwenye Defence Mode all the Time.
Kuna Prof wa Chuo hapo Morogoro na Mke wake ambaye pia ni msomi sana wanazichapa kila leo.
Arusha na Kilimanjaro nadhani tuna aina nyingine specie za kiume sio hizi za Watu wa Kawaida.
Inasikitisha sana..sasa anamlawiti mpk kufa huwa nawaza mengi mnoo wakati wa tukio huwa wanawafunika midomo?.maana mtt lazima atalia tuu..au huwa wanawanyonga thena ndo wanawaingilia..huwa nawaza mno..kifo cha kikatili sana aiseeFuatilia kusaga Tv and Gadi Tv , kuna matukio huko ...Jana tu nimeona kuna jamaa kamlawiti mwanawe wa miezi 11 mpaka kufa.
Majority ni wachagga.Kwa hiyo wanaume wote wanaokaa Kilimanjaro ni wa chagga?
Mkuu sio kukosa akili huo ni mtazamo wako tuu. Maana kuna watu wengne pia huona hata kunywa pombe ni kukosa akili.Acha ujinga.......Yaani Baba anampiga mama nisiingilie?
Kwanza Baba Mwenye Akili unampigaje Mke wako.
? Huko ni kukosa akili na kutojiamini
Hom swty hom mmeshaaribu cv tayariii😱😱😱Juzi ilikuwa arusha nao kilimanjaro wameona wasibaki nyuma.