Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Arusha na Kilimanjaro nadhani tuna aina nyingine specie za kiume sio hizi za Watu wa Kawaida.
Kuna species nyingine za wanawake zinazotaka kuwa kichwa cha familia...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Arusha na Kilimanjaro nadhani tuna aina nyingine specie za kiume sio hizi za Watu wa Kawaida.
Ila umri wa miaka 57 mnapigana!!!Unaingilia ugomvi unamtetea mama, baadae unakuja kugundua mama ndiye mwenye kosa,
Mambo yao unawaachia wamalizane nayo wao wenyewe
Kawaida sanaIla umri wa miaka 57 mnapigana!!!
Kupigana wanandoa huwa naona ni kama upumbavu kabisa tena haswa mwanaume kupiga mwanamkeKawaida sana
Na mtoto mwenye akili unampigaje baba yako, hiyo ni laana, usipige bali achanisha.Acha ujinga.......Yaani Baba anampiga mama nisiingilie?
Kwanza Baba Mwenye Akili unampigaje Mke wako.
? Huko ni kukosa akili na kutojiamini
Mkuu; Na kweli ww ni Bush Dokta.Acha ujinga.......Yaani Baba anampiga mama nisiingilie?
Kwanza Baba Mwenye Akili unampigaje Mke wako.
? Huko ni kukosa akili na kutojiamini
Siku hizi wanawake ndo wanaotembeza kichapo balaa.Kupigana wanandoa huwa naona ni kama upumbavu kabisa tena haswa mwanaume kupiga mwanamke
Hongera sana mkuu, jumba bovu bhana huwa linadondoka siku hutegemei kabisa.jumapili moja kuna mtoto wa watu alitaka kuniletea kesi kama hii nashukuru niliikwepa.nilitaka nimsukume hata kumbamiza ukutani.nikawaza mengi sana,moja wapo kijana kama mimi niende jela kwa kitu ninachoweza kukikwepa sio kweli.
Exactly Yeees. Ulitumia busara ya kiwango cha lami. Hongera sana.jumapili moja kuna mtoto wa watu alitaka kuniletea kesi kama hii nashukuru niliikwepa.nilitaka nimsukume hata kumbamiza ukutani.nikawaza mengi sana,moja wapo kijana kama mimi niende jela kwa kitu ninachoweza kukikwepa sio kweli.
Je huyo Oppressor ni nani kwako???Ujinga huu, why be neutral wakatu unamuona Oppressor ?
Swali zuri sana. i.e. Je, Uhusiano wako na oppressor unakuruhusu utende kama unavyokusudia? Fikiri kwa makini kwanza kabla ya kutenda. Kongole mkuu.Je huyo Oppressor ni nani kwako???
Unajua mkuu kuna vijana wanaongozwa na mihemko ya hisia tu na s hakili.Swali zuri sana. i.e. Je, Uhusiano wako na oppressor unakuruhusu utende kama unavyokusudia? Fikiri kwa makini kwanza kabla ya kutenda. Kongole mkuu.
Mnooo wanakabiaga kwa juu hadi raha..ngoja wangu wakuepo. dadekNdo maana napenda kuzaa watoto wa kiume, walinzi wa kweli.
Ila baba zao wanakosaga raha, wanaona ufalme unaingiliwa.Mnooo wanakabiaga kwa juu hadi raha..ngoja wangu wakuepo. dadek
Many will take this statement lightly and as a joke but I believe this is a sad truth and it goes way beyond.Huko yamezidi.....Ukatiri uko kiwango cha juu hadi Mmewaharibu wanawake.
Women in the North No Longer Believe in Men's Love.
Ila angalau mwanamke kupga wanaume syo?Kupigana wanandoa huwa naona ni kama upumbavu kabisa tena haswa mwanaume kupiga mwanamke