Kilimanjaro: Mwanafunzi Ajinyonga kwa msongo wa Mawazo

Kilimanjaro: Mwanafunzi Ajinyonga kwa msongo wa Mawazo

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Mwananfunzi wa kidato cha nne Shule ya Sekondari Cyril Chami, Yasinta Mathew (17) amefariki dunia baada ya kujinyonga kwa kile kilichodaiwa kuwa na msongo wa mawazo

Kamanda Maigwa amesema tukio hilo lilitokea Agosti 16, 2021 maeneo ya Mweka kata ya Kibosho Mashariki ambapo mwanafunzi huyo alijinyonga kwa vitenge viwili alivyovifunga juu ya paa la nyumba aliyokuwa akiishi .

Ameeleza kuwa katika uchunguzi wa awali inadaiwa kuwa chanzo cha tukio hilo ni msongo wa mawazo baada ya kusimamishwa masomo na kwamba mwili wa marehemu tayari umefanyiwa uchunguzi na daktari na kukabidhiwa kwa ndugu zake kwa taratibu za mazishi.
 
Angepata mtu wa kumtia moyo dakika chache tuu angenusurika, lakini pengine maskini aliporudi nyumbani alikumbana na vichambo
Mkuu Alipangiwa atakufa hivyo pindi tu alipozaliwa. Jiulize wangapi wana usongo wa mawazo hata kumzidi na hata hawapati washauri na faraja lakini hawajiui.

This is true forces of nature.
 
Angepata mtu wa kumtia moyo dakika chache tuu angenusurika, lakini pengine maskini aliporudi nyumbani alikumbana na vichambo
Kweli Mkuu Jamii Zetu zimekuwa Judgemental sana Kama ni Mfuatiliaji wa Tuko Talks Kenya Hebu pitia Story ya 17/8/2021 Utaona ukatili wa Jamii zetu
 
Angepata mtu wa kumtia moyo dakika chache tuu angenusurika, lakini pengine maskini aliporudi nyumbani alikumbana na vichambo
Ni vigumu kumtia moyo haraka kiivyo,binti yako karudishwa nyumbani,unaamua kufuatilia unaambiwa kakamatwa akiwa bweni la wanaume ametoka kulala au kakamatwa uwanjani anafanya mapenzi,au alitoroka kaenda disco,hivi huyo unaanzaje kumfariji kwanza?
 
Mwananfunzi wa kidato cha nne Shule ya Sekondari Cyril Chami, Yasinta Mathew (17) amefariki dunia baada ya kujinyonga kwa kile kilichodaiwa kuwa na msongo wa mawazo

Kamanda Maigwa amesema tukio hilo lilitokea Agosti 16, 2021 maeneo ya Mweka kata ya Kibosho Mashariki ambapo mwanafunzi huyo alijinyonga kwa vitenge viwili alivyovifunga juu ya paa la nyumba aliyokuwa akiishi .

Ameeleza kuwa katika uchunguzi wa awali inadaiwa kuwa chanzo cha tukio hilo ni msongo wa mawazo baada ya kusimamishwa masomo na kwamba mwili wa marehemu tayari umefanyiwa uchunguzi na daktari na kukabidhiwa kwa ndugu zake kwa taratibu za mazishi.
Daaaah😭😭😭😭😭
 
Mkuu Alipangiwa atakufa hivyo pindi tu alipozaliwa. Jiulize wangapi wana usongo wa mawazo hata kumzidi na hata hawapati washauri na faraja lakini hawajiui.

This is true forces of nature.
hakuna kitu kama icho wewe sio vifo vyote Mungu anavipanga
 
Too young !RIP..mimi ni Kati ya wale wabishi waliiodhani "Mental health" was a western construct ,,lakini hizi kesi za kuua/kujiua kisa vitu vinavyoongeleka zimekua nyingi huku kwetu...

Kukutana na kuongea na watu tofauti ama marafiki ni muhimu sana kuliko hata kuongea kwenye masimu...Severity ya matatizo ya mtu sometimes utaijua mpaka umuone uso kwa uso.
 
Wachaga wanaisha kwa kasi sana ni mabalaa juu ya balaa
 
Ni vigumu kumtia moyo haraka kiivyo,binti yako karudishwa nyumbani,unaamua kufuatilia unaambiwa kakamatwa akiwa bweni la wanaume ametoka kulala au kakamatwa uwanjani anafanya mapenzi,au alitoroka kaenda disco,hivi huyo unaanzaje kumfariji kwanza?
Wanafarijika bila shaka.. Kukosea kupo katika maisha na wote tunakosea
 
Ni vigumu kumtia moyo haraka kiivyo,binti yako karudishwa nyumbani,unaamua kufuatilia unaambiwa kakamatwa akiwa bweni la wanaume ametoka kulala au kakamatwa uwanjani anafanya mapenzi,au alitoroka kaenda disco,hivi huyo unaanzaje kumfariji kwanza?

Unatakiwa ujue anafanya hivyo kwa sababu umeshindwa (wewe) kumlea kumwezesha kujisimamia.
 
Aisee ndiyo maana wanangu mimi ni rafki zangu, mtoto akimwogopa mzazi akaogopa na waalimu wake hiyo ni hatari[emoji22]
 
Mkuu Alipangiwa atakufa hivyo pindi tu alipozaliwa. Jiulize wangapi wana usongo wa mawazo hata kumzidi na hata hawapati washauri na faraja lakini hawajiui.

This is true forces of nature.
Alipangiwa nanani?
 
Back
Top Bottom