Kilimanjaro: Mwanafunzi Ajinyonga kwa msongo wa Mawazo

Kilimanjaro: Mwanafunzi Ajinyonga kwa msongo wa Mawazo

Ni vigumu kumtia moyo haraka kiivyo,binti yako karudishwa nyumbani,unaamua kufuatilia unaambiwa kakamatwa akiwa bweni la wanaume ametoka kulala au kakamatwa uwanjani anafanya mapenzi,au alitoroka kaenda disco,hivi huyo unaanzaje kumfariji kwanza?
Kwahiyo kama ni hivyo unafanyaje, unamchapa? Hivo ndiyo mnavoharibu watoto.
 
Counselling ilibidi ianzie shuleni. Sasa hao wamemsimamisha masomo na matusi juu.

Ukute kesi ni ya mapenzi na huyo mwalimu wa nidhamu aliyemsimamisha masomo si ajabu anatembea na wanafunzi kwa siri.

Yesu alisema "asiye na dhambi awe wa kwanza kurusha jiwe...".
 
Kwahiyo kama ni hivyo unafanyaje, unamchapa? Hivo ndiyo mnavoharibu watoto.
Unaweza kumchapa au usimchape, lakini lazima umkanye kwa hizo tabia zake na umueleze madhara ya matendo yake na kwamba asirudie,hivyo achukulie kusimamishwa kwake kama somo na wakati anasubiri adhabu kwisha atafakari kubadili mwenendo wake kwani akirudia madhara yanaweza kuwa makubwa zaidi.

Je wewe mtoto wako akisimamishwa shule utampongeza?au ukimkuta nyumbani ndio utaanza kulaumu walimu?
 
Unatakiwa ujue anafanya hivyo kwa sababu umeshindwa (wewe) kumlea kumwezesha kujisimamia.
Sio kweli,katika malezi, mzazi anafanya kile anachopaswa kufanya na mtoto ana sehemu yake ya uamuzi,tena huyo wa sekondari ana uelewa mzuri tu.

Kwahio akifanya jambo baya sio kwamba wazazi ndio wana kosa,kosa ni lake na anapaswa ajue akifanya kosa yeye ndio atakumbana na madhara yake kabla ya wazazi.

Hata wewe kuna tabia fulani umefanya ukiwa shuleni sio kwamba wazazi hawajawahi kukuonya ila ulifanya ukiamini hutapata madhara kwa kuamua tu mwenyewe kichwani kwako au kushawishiwa na wenzako.

Kwahio tusilaumu tu wazazi,Kuna kipindi Kikwete aliwahi kuwaambia wanafunzi waache kiherehere,sababu alijua nao wana changia katika tatizo.
 
Sio kweli,katika malezi, mzazi anafanya kile anachopaswa kufanya na mtoto ana sehemu yake ya uamuzi,tena huyo wa sekondari ana uelewa mzuri tu.

Kwahio akifanya jambo baya sio kwamba wazazi ndio wana kosa,kosa ni lake na anapaswa ajue akifanya kosa yeye ndio atakumbana na madhara yake kabla ya wazazi.

Hata wewe kuna tabia fulani umefanya ukiwa shuleni sio kwamba wazazi hawajawahi kukuonya ila ulifanya ukiamini hutapata madhara kwa kuamua tu mwenyewe kichwani kwako au kushawishiwa na wenzako.

Kwahio tusilaumu tu wazazi,Kuna kipindi Kikwete aliwahi kuwaambia wanafunzi waache kiherehere,sababu alijua nao wana changia katika tatizo.

Mtoto anapozaliwa is empty he knows A and B from parents, anakoalekea ni matokeo ya malezi ya Baba na Mama, this include every decisions they make!
 
Msongo wa mawazo husababishwa na matatizo ya afya ya akili.
 
Miaka kumi na minne iliyopita deskmate wangu alifariki kwa tukio kama hili 🙁 🙁 🙁
 
Ni vigumu kumtia moyo haraka kiivyo,binti yako karudishwa nyumbani,unaamua kufuatilia unaambiwa kakamatwa akiwa bweni la wanaume ametoka kulala au kakamatwa uwanjani anafanya mapenzi,au alitoroka kaenda disco,hivi huyo unaanzaje kumfariji kwanza?
Mbona Grace wa ifm mamaye alimuwahi Yuko kitaa anadunda. Na Tena atapata mme na familia fresh tu maisha yataenda. Ni Nani asiyefanya zinaa anyooshe mkono
 
Wanafarijika bila shaka.. Kukosea kupo katika maisha na wote tunakosea
Umenikumbusha story moja iliwahi kutokea huku zenj. Kuna msichana wa form four picha zake za uchi zilirushwa kwenye mitandao. Yule mtt inaonekana alipata ushauri wa kisaikolojia. Baada ya siku chache alirudi tena kwenye mtandao kuomba radhi kwa wazazi wake, kwa Serikali pamoja na jamii yote. Wako waliombeza lkn inaonekana wazazi wake walimsameh na kuwa upande wake kwa kujua binaadam anakosea wakati wowote. Hakuna mkamilifu.

Sisi mpaka kufika tulipofika hapa tushafanya maovu mengi tu. Tushaumiza wengi tu. Tumesamehewa na maisha yameendelea na sasa ni watu tunaoheshimika katika jamii zetu.
 
Back
Top Bottom