Mtoto anapozaliwa is empty he knows A and B from parents, anakoalekea ni matokeo ya malezi ya Baba na Mama, this include every decisions they make!
Hapo kwenye kubarehe hua pabaya sana. Mimi nlivofika form two siku moja nlijitafakari nkaona nmebadlika sana na nkiendelea huko nnakoelekea ntaishia pabaya, nashkuru mungu nlifanikiwa kujirudsha kwenye mstari.
Nlikua shule ya boarding. Utukutu mwingi, nlikua na kesi karibia na kila mwalimu, nlianza kujiamini sana, prepo usiku mi natoroka na wa4m4 (wazoefu) naingia mtaani knunua soft drinks na chips + kuzurura (atleast mara tatu kwa wiki) + vitabia vingine vingi vya ujingaujinga.
Hapo tayari nlikua na kesi pia ambazo kama zingefuatiliwa vizuri ningefukuzwa shule bila kujitetea.
Kitu kilchonpa alarm nkaona nnakoelekea napotea ni siku ambayo nlifanya mtihani wa terminal. Tangu nmeanza darasa la kwnza skuwahkua nje ya top5 katka matokeo, ila ile pepa nlikua ktka nafas 6 za mwisho out of 42 (private), na katika somo langu pendwa la b/math nligundua nmekua kilaza sana sababu skujib chochote cha maana na tayar nlikua nmeamua kulko aibu ya kupata F, bora niache kukusanya niztafte answersheet japo msimamiz aliniwah kabla sjaanza kutekeleza uamzi wangu.
In short nlikua nshakua mjinga sana na nakiri nlikua nafanya vitu vya kijinga na vyaovyoovyo sana.
Nafikiri mama yangu alikua ananiombea sana, na sala zake ndizo zilinisaidia kubadlika mpaka kufikia mwisho wa mwaka kpind tunafanya mtihan wa taifa nlikunmerudia form yangu ya sku zote.
Wito kwa wazazi, jitahidi kufanya followup kwa mtoto hasa pale anapoanza kuingia adolesence, apo hua kuna uharibifu mwingi uspokaa makini,