Kilimanjaro na Arusha mikoa iliyobarikiwa vipaji vya kila aina

[emoji2][emoji3][emoji3][emoji3] Mbunge wa wapi huyo
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Tattizo wewe ukabila umekujaa kichwani na unakupa upofu.

Hebu taja waarusha wapo wangapi hapa:-


1) Young D

2) Shilole

3) Country Boy

4) King Kapita

5) Baba Levo

6) Cyril

7) Jux

8) Mo Racka

9) Young Killa

10) Nyandu Tozi

11) Mr Blue*

12) DuduBaya

13) Kala Pina

14) Masawe mtata

15) Shetta

16) H Baba

17) Chibwa

18) Dogo Mfaume

19) Sam Machozi

20) Queen Darline

21) Kimbunga

22) Bonta

23) Keysha

24) Berry White

25) Berry Black

26) Gerry Wa Rhymes

27) Mansuli

28) Ney Wa Mitego

30) Isha Mashauzi*

31) Omar Tego*

32) Q Chilla*

33) Izzo Bizness

34) Whitness

35) Mataluma*

36) Manzese Crew

37) Mh Temba*

38) KR

39) Bibi Cheka

40) Babuu Wa Kitaa

41) Mbishi Real

42) Timbulo

43) Bonge La Nyau

44) Abdu Kiba

45) Tunda Man

46) Recho

47) Barnaba*

48) Menina

49) Baby Madaha

50) Snura
 
Kigoma ni habar nyingine :mtua post inabd uwe mpole tu wasanii wachuga hawana impact yoyote
 
Appreciate Dingii,japo kuna watu kwenye List sio wa Waenduru wa MS/Kilimanjaro na Chugastan/Arusha...hadi Langa?..Roma ni Tanga,Jonijoo na Nahreel ni Mara
 
Mbona hujatuletea na list ya wapigaji
 
Mhandisi inakuwaje? Niko kambi ya nyoka kesho nitakuwa engaruka embu nipe koodineti kama unafikika.😘

mhandisi Nadhani usalama upo......baada ya kukusoma...... nadhani koodineti nikupe za Lokii kupitia Terat..... ni muda sana toka tusitishe zoezi la miundo mbinu..... fanya mchakato ili tuboreshe soko la mbuzi kwa Mrombooo.....
 
mhandisi Nadhani usalama upo......baada ya kukusoma...... nadhani koodineti nikupe za Lokii kupitia Terat..... ni muda sana toka tusitishe zoezi la miundo mbinu..... fanya mchakato ili tuboreshe soko la mbuzi kwa Mrombooo.....
Roja roja mhandisi nimekukopi vilivyo, wacha nikikaribia niku📞
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…