Nasubiri akujibu hapo!Ni wap huko ambako hawajabarikiwa na vipaji vya kila aina????
Ukabila huuu
Mawazo yako..nmeamua kuyaheshimuMaudhui ya ule wimbo na hii thread yapo sawa tu..Wimbo unataja na kujivuna kuwa Kigoma ina wasanii, wana michezo, warembo, wanasiasa nguli na ndivyo thread inasema pia
Wapuuzi wote WASIKUELEWE WEWE TU?..wameelewa ndo mana wanakosoa upuuzi wako
Akasema tukiamua "SISI KAMA SISI" nyny kama nyny akina nani mpuuzi mkubwa mtoa madaMzee kwani kwenye thread kuna neno gani la kibaguzi? Yeye pia kafagilia kuwa kwao kuna vipaji vingi, kama wimbo wa Kigoma ulivyo
Kabisa Mkuu na hiyo ni tangu huko wana tabia za kujiona wao zaidi na huyu mpuuzi akataka kutuletea unyau wake kwenye jukwaa ni kumtandika hadi ajue huo upuuzi ulishapitwa na wakatNitajie neno moja tu la kibaguzi katika mashairi yale , toka lini kusema umezaliwa Kigoma.likawa neno la kibinafsi ? Narudia tena kuna watu wana ubaguzi wa kikanda hilo alipingiki hakuna haja ya kutoa mifano
Kama unafatilia muziki hata LORD EYEZ na FID Q walifanya ngoma "hakuna mahali kama A town" na Fid "anasema hakuna mahali kama mwanza"...bt ni sanaa na Kila mtu akapasifu kwake kwa jinsi anaweza ila siyo huyu kunguru eti " TUKIAMUA SISI KAMA SISI TUNAJITOSHELEZA" mpuuzi mmoja huyu.Maudhui ya ule wimbo na hii thread yapo sawa tu..Wimbo unataja na kujivuna kuwa Kigoma ina wasanii, wana michezo, warembo, wanasiasa nguli na ndivyo thread inasema pia
nimesoma post ya jamaa sijaona hayo manenoKama unafatilia muziki hata LORD EYEZ na FID Q walifanya ngoma "hakuna mahali kama A town" na Fid "anasema hakuna mahali kama mwanza"...bt ni sanaa na Kila mtu akapasifu kwake kwa jinsi anaweza ila siyo huyu kunguru eti " TUKIAMUA SISI KAMA SISI TUNAJITOSHELEZA" mpuuzi mmoja huyu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Utakuwa ww umekuja na id nyingine huwez tetea upuuzi huu au na ww Wa kulekulenimesoma post ya jamaa sijaona hayo maneno
Ninavyojua watu kutambiana kwao ni kawaida sana, wala hata sio bongo tu
Duh..! Upuuzi upi sasa, kusifu kwao?Utakuwa ww umekuja na id nyingine huwez tetea upuuzi huu au na ww Wa kulekule
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu achana nao ..naona level ya uelewa watu tunatofautianaDuh..! Upuuzi upi sasa, kusifu kwao?
Hapo umebase kwenye kabila au makazi ? Maana mtu anaweza akawa mchaga lakini hata moshi hajawahi kukaa , pia anaweza kukulia arusha lakini sio mmasai au mmeruHappynyerereday to everyone
Kilimanjaro na Arusha ni mikoa ambayo imebarikiwa vipaji vya Kila aina na watu ambao Wana ushawishi mkubwa sana katika nchi hii ya Tanzania
Mada hii itajikita zaidi katika katika music industry , Media na bongo movie industry (entertainment)
Producers
1) Master j
2) Dx
3) Nah reel
4) Chizan brain
Artists
Hip-hop
1) Joh makini
2) Nikki wa pili
3) Langa kileo
4) One the incredible
5) mabeste
6) bilnass
7) Rosa ree
8) King kapita ( It by proffesional)
9)salmin swag (OMG)
10)nay wa mitego
11) Mh temba
12) Lord eyez
13) g-nako
14) Bou nako
14) Stoper ryme
15) Dogo janja
16) Montra the future
17) Chin beez
18) jambo squad
19) jcb
20) chindoman
21) Chaba
22) Lard fire
23) Gentriez
24) Rafu mc
25) Ibra da hustler
26) Fido vatoloko
27) Roma
28) Dark master
29) Father neli ( X-plastaz)
30) Maujanja supply (Kulwa na dotto)
Singers
1) Mr nice
2) Barnaba boy classic
3) Vanessa mdee
4) Mimi Mars
5) Nandy
6) Haika (navykenzo)
7) Snura mushi (singeli)
8) Walter chilambo
9) Maua sama
10) Whozu
11) Rama dee
12) Wildad agripa
Bongo movies
1) Elizabeth michael (Lulu)
2) Irene uwoya
3) Irene Paul
4) Diana kimary
5)Sabrina rupia
6) Jackline wolper
Comedians
1) Katarina
2) Mr beneficial
3) Idris sultan
4) Kiwewe
5)Masawe mtata
Presenters
1)Milad-ayo
2) Sammisago
3)b-dozen
4) Adamchomvu
5) kenedy the remedy
6)jonijo
7) Ana Peter
8) Frida amani
DJ's
1) Dj summer
2) Dj mavufu
3) Dj d ommy
Video vixen
1) Cappuccino Tunda
Kilimanjaro na Arusha are best regions in this country katika entertainment Industry...
Happy nyerere day to everyone.....halla .....
Yaliyotokea kwenye wimbo wa kigoma all Star Yana majibu yoteHapo umebase kwenye kabila au makazi ? Maana mtu anaweza akawa mchaga lakini hata moshi hajawahi kukaa , pia anaweza kukulia arusha lakini sio mmasai au mmeru
Wasaka tonge, alafu wanabebana kusaidiana,Wanaweza wakawa hats mia mbili ila hawana vipaji,wanaforce.Ucheshi ni Moro,kuimba kigoma mbeya na mwanza na pwani(taarabu) mpira mbeya, kigoma pwani,songea.Wachaga biashara shule NATO huwa wanafirce hawana akili saana kama nshomile na sukuma.
Kilima kyaro
sio mahala fulani ni kwa muasisi mwenyewe father nation, nasi tunashikilia hapo hapo"raisi hawezi toka kasikazini"
Nime iskia mahala frani hii