Kilimanjaro: Padri Soka aliyedaiwa kubaka Watoto ashinda kesi 3 za Ubakaji, sasa yupo huru rasmi

Kila nikimkumbuka yule mama ambaye mtoto wake aliingiliwa alivyokua akilia napata uchungu sana. Huyo padre aishi kwa tahadhari sana yanaweza kumkuta makubwa watu wakachukua sheria mkononi.
 
Ila sheria hizi, mtu anaweza akacheza na vifungu ukaonekana hujaua ata kama ulionekana na watu
Mkuu inawezekana alibaka au alitengenezewa kesi...
kuna kitu humo ndani parokiani kimejificha...
Hizi kesi za kubaka nimesha shuhudia zaidi ya nne zilizotengenezwa na mtoto amefundishwa kuongea... Bahati Mbaya mbele ya mahakama anajisahau anasema nimeambiwa niseme hivi tofauti na maelezo polisi
 
Yote yanawezekana mkuu
 
Huyo Padre atafutiwe Kigango kingine, hapo alipo hatakuwa salama
 
Naona watu.wengi humu wanapenda wenzao yawafike mabaya. Yani Padre kushinda kesi watu hawataki kabisa yani tayari wana hukumu zao kuwa padre lazima atakuwa amebakq tu. Jamani !
 
Karma is a bitch.
Kama kweli Ni mbakaji Basi watoto wa hao mahakimu wakae mkao wa kuliwa na Padre.

Ushauri wa bure. Mapadre waoe au wawe na magel friend maana wengi wanatembea na wake za watu.
 
Naona watu.wengi humu wanapenda wenzao yawafike mabaya. Yani Padre kushinda kesi watu hawataki kabisa yani tayari wana hukumu zao kuwa padre lazima atakuwa amebakq tu. Jamani !
Mbakwaji na maandalizi ya hati ya mashitaka iliyomfanya Padri ashinde kesi anausikaje hapo!? Muaandaji wa hati ya mashitaka ni wakili wa serikali (DPP) sasa mapungufu ya DPP yanaamuhusi vipi Muathirika!? Mahakama iaache visingizio,isimamie haki,na isiruhusu kabisa mapungufu madogo ya kisheria kuchukua nafasi ya Haki!!!
 
1. Ni keli hakubaka? au legal technicalities zimemtoa?

UKWELI ANAUJUA MUNGU NA NAFSI YAKE PADRE
Mkuu, umepiga kwenye mshono.

Kila siku huwa nawaambia watu kwamba sio kila aliyefungwa ametenda kosa aliloshtakiwa nalo, na si kila aliyeachiwa huru hakutenda kosa aliloshtakiwa nalo, kuna wakati mtuhumiwa anafungwa kwa kushindwa kujitetea; au mwingine anaachiliwa huru kwa udhaifu wa upande wa mashtaka kuthibitisha kosa linalomkabili mtuhumiwa.

Uko sahihi, ukweli anaujua Mungu na Padre Soka.
 
Uzuri ukitoa mahakama Kanisa pia huchunguza kwa siri mwenendo wa mtuhumiwa ili kudhibitisha kama yapo mazingira yenye viashiria vya ukweli. Askofu wake atachukua hatua kama kuna viashiria vya ukweli.

Askofu akiwa si mtenda haki na Padri akatumia mianya ya kisheria kujinasua atakutana na hukumu ya muumba wake kwa namna ya kutisha maana ni mtumishi wake.

Ila ikiwa ni njama ovu dhidi ya Padre ni laana mbaya.
 
Huu Uzi utakosa wachangiaji , lakini ule wa kwanza wakati anahukumiwa Uzi ulitembea Kama moto nyikani. Ni wazi kwamba binadamu Ni wepesi kuhukumu, lakini hukumu imetoka padri kashinda kesi watu hawana la kuchangia.
 
Askofu wake ukweli anaujua unaweza ushinde mahakamani lakini bado kanisani ukapigwa ban…ngoja arudi apelekwe roma sabattical leave
Ila kweli inawezekana kosa amelitenda haiwezekani asingiziwe... sema ndo hivo hapo atahamishwa atupwe sabattical roma baada ya miaka 7 arudishwe bongo atupwe huko ruvuma au lindi
 
Hapa kuna jambo.Wizara ya ustawi wa Jamii na Watetezi wa watoto lazima waingilie kati na wakate rufaa . Huyu Padri atahamishwa na kwenda sehemu nyingine mpya na kuboresha mbinu zake za kuhadaa watoto wenye umri mdogo. Kesi hii ni nyeti na ilitakiwa ipewe uzito wake. Hapa kuna heshima ya Kanisa Katoliki ambayo inawezwa kulindwa kwa nguvu yoyote ile na kuwanyima haki waathirika.
 
Sidhani kama atarud
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…