Kilimanjaro: Polisi yamsaka Mwalimu kwa tuhuma za kumuua Mwanafunzi wa Darasa la Kwanza

Kilimanjaro: Polisi yamsaka Mwalimu kwa tuhuma za kumuua Mwanafunzi wa Darasa la Kwanza

Humu ndani tulishasemaga jmn.Walimu angalieni msiwaletee wanafunzi stress zenu za maisha.Umegombana na mke unapiga mwanafunzi kama unataka kuua,malengo hayajatimia piga mwanafunzi kama ngombe.Madhara ndio hayo sasa ameua kakosa vyote kazi na uhuru binafsi.Fundisha nenda zako nyumbani mengine achana nayo.
 
Tuliwaambia kuchapa chapa watoto sio wako ni kujialibia maisha

Ona uyu, walimu fundisha Rudi kwako nidhamu atafundishwa na wazazi wake....!

Sijui mmeelewa?
Hawawezi kukuelewa. Waalimu wana akili kama ya kuku. Hili limesemwa sana humu JF, lakini wanarudia kuchapa mitoto ya watu.
 
ni bora angebaki kwa kuwa inawezekana Mtoto alikuwa na changamoto zake nyingine za kiafya lakini kitendo cha yeye kukimbia inamaanisha kuna kitu kibaya alichomaanisha.
Kwahiyo hii ndo sentence ya hitimisho ya kipolisi!!!?
Hovyo kabisaa.
 
Back
Top Bottom