Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
sio fair kabisa... hatukatai michango ya msosi ila sio ilazimishwe maana wazazi hawafanani uwezoPamoja na elimu bure bado moshi michango ya chakula imekuepo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sio fair kabisa... hatukatai michango ya msosi ila sio ilazimishwe maana wazazi hawafanani uwezoPamoja na elimu bure bado moshi michango ya chakula imekuepo
Kweli kabisa,ilipaswa kuwa hiari,hapo ni kukumbiza watoto shulesio fair kabisa... hatukatai michango ya msosi ila sio ilazimishwe maana wazazi hawafanani uwezo
Kwa akili za watawala wetu huenda huo ndiyo mtazamo waoHata mimi najiuliza hilo swali, mzazi akifungwa mtoto ananufaikaje au atapewa chakla bure sababu mzazi yuko jela?
halafu eti kuna kupelekana mahakamani, tunajenga au tunabomoa?Kweli kabisa,ilipaswa kuwa hiari,hapo ni kukumbiza watoto shule